Teknolojia
132 subscribers
3.73K photos
4.39K videos
90 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
HAJIMURON255🌏 (Instagram)

Teknolojia ni Yetu sote......!!!!

Hi ni nembo yetu mpya vipi ni nzuri ebu tuambie ?

Karibu kwenye ulimwengu wa teknolojia Kwa lugha ya kiswahili Karibu ujifunze maujanja mbalimbali kuhusu simu kompyuta apps games matatizo na suluhisho zake 😊.

Kupitia page yetu @bongotech255

Kama una matatizo kuhusu Instagram Karibu kwenye page yetu tutakusaidia kutatua shida mbalimbali kwenye page yetu 🤗.

Follow @bongotech255

#teknoloji #teknolojia #fahamu #fahamuzaidi #maujanja #bongo #bongotech255 #bongotrendings #bongocatmemes #bongoupdatetrends #logo #maujuzi #mafunzoyaurembo #harmony #techyaman #techy #tech
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
HAJIMURON255🌏 (Instagram)

Badil simu Yako kuwa kwenye mfumo wa kompyuta 2021

Kama ulikua Unapenda kumiliki kompyuta na Hauna sio mbaya ukaifanya simu Yako kuwa kompyuta kabisa 😊 na kuendelezea ku enjoy au nini !!

Tizama sasa njia ya kubadili simu kuwa kompyuta ni rahisi sana 🙈

Usisahau kutu follow Kwa maujanja mbalimbali zaidi @bongotech255

#smartphone #android #launcher #windows #windows10 #maujanja #fahamu #fahamuzaidi #badilimtazamo #harmonize #kondegang #teknolojia #techy #tech #novalauncher #windowlaunch #bongotech255 #bongotrendings #bongo5updates #bongo5 #udakutz #udakumagazine #umbeausioumiza #umbeawadunia
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

fahamu maajabu haya kwenye simu yako
#bongotech255
#bongo #swahiliflix #swahiliinspiration #swahiliquotes #fahamu #fahamuzaidi #washikajizangu #umbea #umbeawadunia #pambanahaliyako #teknolojia #tech #elimubilamipaka #shure #bongofive #watapatatabusana😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌 #harmonize #kondegang4everybody #samia #bbcswahili #tehama Fahamu maajabu ya beta program kwenye simu

Unajua kuna kitu watu wengi hawakijui kuhusu beta program kwenye simu zetu yani " testing the program before realasing to the public"

Fanya majaribo ya app mbalimbali Kwenye simu yako kabla haijaachiwa public 😊

Sikiliza makala hii kisha tuachie maoni yako

🔆Utaweza kuijua

🔆Utaweza kujua jinsi ya kujiunga

🔆Utaweza kujua jinsi ya kufix tatizo la beta program is full

Ulikua unaijua hii beta program au ndo unasikia sasa ?

#bongotech255 #fahamu #fahamuzaid ...
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Fahamu website Kumi hatarishi zilizopo kwenye dark web
Leo nimekuletea muendelezo wa Dark web ambapo nimekutajia website Kumi zilizo hatari kwenye tovuti ya Giza ni hatari 😭 sana.

ukitaka kujua jinsi ya kuingia kwenye dark web kupitia simu au kompyuta yako tizama hapa 👇

https://youtu.be/EBiCKFqOQLo

usisahau ku subscribe likes comment & share for more videos

Teknolojia ni Yetu sote ✍️

#swahili #bongo #darkweb #darkwebstories #bongomovie #tech

join our telegram 👇

https://t.me/bongoTechs255
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Tanzania : kuja magari yanayo paa Angani
Teknolojia Inazidi kushika Kasi bhana ulishawahi kuwaza kuhusu kupanda gari ambalo linalo paa 😁 ?

Muda sio mrefu utaanza kukutana mtaani na magari yanayopaa mpaka 😀kufikia 2030 inshallah basi ndege zitakua kha bodaboda

Inaitwa flying car au roadable aircraft ni aina ya usafiri ambao unaweza kutumika kama gari binafsi pia inaweza kutumika kama ndege angani .

unaionaje hii Teknolojia ikija Tanzania 😀 itaweza kutatua kero ya usafiri au lah tuachie maoni yako ?

#magari #tanzania #bongotech #swahili #flying #cars #tech
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Tumia App hii kupata Pesa kwenye simu yako
ulikua na shida ya kupata Pesa kwa kutumia simu yako okay Leo nimekuletea makala nzuri ya kupata pesa kwenye simu yako kwa kuweza kuiweka hii app kwenye simu yako Sasa

kazi yetu ni kusambaza mchongo sio Uongo

teknolojia ni Yetu sote

usisahau ku subscribe kwa kupata video mbalimbali zaidi 🔗

link hipo kwenye comment hapo 👇👇

#hela #patapesaonline #swahili #bongotech255 #tech
bongotech255 - Umewahi kujiuliza wapi utapata spea org za...
bongotech255

Umewahi kujiuliza wapi utapata spea org za laptop na kwa garama nafuu

Njoo @wikeltechnologies_tz ujipatie kwa bei poa kabisa Pia tunatuma mizigo mikoa yote kwa uaminifu mkubwa Tuna bidhaa zifuatazo ssd hdd ram vioo vya laptop flash keyboard mouse battery Na nyingine nyingi Tupo ilala machinga complex. Gorofa la upande wa kariakoo, gorofa ya kwanza room number E2-43 Ukifika tupigie 👇 namba zetu 👇mikoani tunatuma +255692630904 | +255765171270 @hyatz_computers #keyboard #tech #techupdate #technews #fahamuzaidi #bongotech255 #wikel #pcaccessories #pcrepair #laptoprepair
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

MAAJABU YA iOS 18 !! UTALOCK APPLICATION KWA FACEID NA KUIFICHA ISIONEKANE KABISA PRIVACY HATARII!!!
#simukitaa #sanukakitaani #bongo #maboss #tech #TEKNOLOJIA
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

Kazi Ambazo Zimechukuliwa na Technology ! HUJUI
#technology #AI #tech
Kazi Ambazo Zimechukuliwa na Technology ! HUJUI