Teknolojia
Photo
chamomobile - Instagram Bridge
Kampuni ya Nokia Yazindua Simu Mpya ya Nokia 2.3 TSH 280,000...
https://scontent-cdg2-1.cdninstagram.com/v/t51.2885-15/e35/92753167_1457073507817984_8146354948144033074_n.jpg?_nc_ht=scontent-cdg2-1.cdninstagram.com&_nc_cat=104&_nc_ohc=_LYlFPh78eQAX-Y_Zj2&oh=0428ea5388b0c1b1c6435284232ec504&oe=5EBC883A
https://scontent-cdg2-1.cdninstagram.com/v/t51.2885-15/e35/92693896_147064320178560_3477805258871479207_n.jpg?_nc_ht=scontent-cdg2-1.cdninstagram.com&_nc_cat=100&_nc_ohc=QUmPIurT4fUAX9NjvsO&oh=f2e72756b9bdcdb5a0ec9dc55dc2ee26&oe=5EBAB5CD
Kampuni ya Nokia Yazindua Simu Mpya ya Nokia 2.3 TSH 280,000
🌻🌻🌻
kampuni ya Nokia imetangaza simu yake mpya ya Nokia 2.3 toleo la maboresho kwa simu ya Nokia 2.2 iliyotoka mwezi wa sita mwaka jana 2019.
🌻🌻🌻
Simu hii mpya inakuja na maboresho machache ukilinganisha na toleo la awali la Nokia 2.2, Simu hii inakuja na kioo cha inch 6.2 kilicho tengenezwa kwa teknolojia ya IPS LCD chenye resolution ya pixel 720 kwa 1520.
🌻🌻🌻
Mbali na hayo, Nokia 2.3 inakuja ikiwa inaendeshwa na Processor ya Mediatek Helio A22, inayosaidiwa na RAM ya GB 2 pamoja na ukubwa wa ndani wa GB 32 huku ikiwa na uwezo wa kuongezewa ukubwa huo kwa kutumia memory card hadi ya GB 512.
🌻🌻🌻
Kwa upande wa kamera , Nokia 2.3 inakuja na kamera mbili kwa nyuma, Kamera kuu inakuja na Megapixel 13 huku nyingine ikiwa na megapixel 2. Kamera zote hizo kwa pamoja zinaweza kuchukua video ya hadi 1080p@30fps.
🌻🌻🌻
Kwa mbele Nokia 2.3 inakuja na kamera moja ya selfie yenye uwezo wa Megapixel 5, kamera hii inakuja na teknolojia ya kutambua uso ambayo ni sehemu ya ulinzi wa simu hii.
🌻🌻🌻
Nokia 2.3 inaendeshwa na mfumo wa Android 9 (Pie), mfumo ambao juu yake kuna mfumo wa muonekano wa Android One kutoka Google. 🌻🌻🌻. Battery...
Simu hii inapewa nguvu na battery isiyotoka ya Li-Ion (Lithium Ion) yenye uwezo wa 5000 mAh ambayo kwa mujibu wa Nokia inauwezo wa kudumu na chaji kwa siku mbili pale inapochajiwa na kujaa.
🌻🌻🌻 Bei ya Nokia 2.3
Simu hii ya nokia 2.3 inapatikana#chamomobile kwa Tsh 280,000
🔥🔥🔥
Simu hii ni simu ya bei nafuu kwaajili ya wapenzi wa simu za Nokia
😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘💞
#nokia #nokia2 #nokia23 #nokia2point3 #nokia2_3 #nokiamobile #smartphone #realme5s #vivou10 #redmi8 #redmi8a #redminote8pro #redminote8 #vivou20 #realme5pro #nokia6point2 #nokia62 #technews #techz #tech #android #android10 #androidone #redmiy3 #realmec2 #oppoa5 #oppoa52020
Kampuni ya Nokia Yazindua Simu Mpya ya Nokia 2.3 TSH 280,000...
https://scontent-cdg2-1.cdninstagram.com/v/t51.2885-15/e35/92753167_1457073507817984_8146354948144033074_n.jpg?_nc_ht=scontent-cdg2-1.cdninstagram.com&_nc_cat=104&_nc_ohc=_LYlFPh78eQAX-Y_Zj2&oh=0428ea5388b0c1b1c6435284232ec504&oe=5EBC883A
https://scontent-cdg2-1.cdninstagram.com/v/t51.2885-15/e35/92693896_147064320178560_3477805258871479207_n.jpg?_nc_ht=scontent-cdg2-1.cdninstagram.com&_nc_cat=100&_nc_ohc=QUmPIurT4fUAX9NjvsO&oh=f2e72756b9bdcdb5a0ec9dc55dc2ee26&oe=5EBAB5CD
Kampuni ya Nokia Yazindua Simu Mpya ya Nokia 2.3 TSH 280,000
🌻🌻🌻
kampuni ya Nokia imetangaza simu yake mpya ya Nokia 2.3 toleo la maboresho kwa simu ya Nokia 2.2 iliyotoka mwezi wa sita mwaka jana 2019.
🌻🌻🌻
Simu hii mpya inakuja na maboresho machache ukilinganisha na toleo la awali la Nokia 2.2, Simu hii inakuja na kioo cha inch 6.2 kilicho tengenezwa kwa teknolojia ya IPS LCD chenye resolution ya pixel 720 kwa 1520.
🌻🌻🌻
Mbali na hayo, Nokia 2.3 inakuja ikiwa inaendeshwa na Processor ya Mediatek Helio A22, inayosaidiwa na RAM ya GB 2 pamoja na ukubwa wa ndani wa GB 32 huku ikiwa na uwezo wa kuongezewa ukubwa huo kwa kutumia memory card hadi ya GB 512.
🌻🌻🌻
Kwa upande wa kamera , Nokia 2.3 inakuja na kamera mbili kwa nyuma, Kamera kuu inakuja na Megapixel 13 huku nyingine ikiwa na megapixel 2. Kamera zote hizo kwa pamoja zinaweza kuchukua video ya hadi 1080p@30fps.
🌻🌻🌻
Kwa mbele Nokia 2.3 inakuja na kamera moja ya selfie yenye uwezo wa Megapixel 5, kamera hii inakuja na teknolojia ya kutambua uso ambayo ni sehemu ya ulinzi wa simu hii.
🌻🌻🌻
Nokia 2.3 inaendeshwa na mfumo wa Android 9 (Pie), mfumo ambao juu yake kuna mfumo wa muonekano wa Android One kutoka Google. 🌻🌻🌻. Battery...
Simu hii inapewa nguvu na battery isiyotoka ya Li-Ion (Lithium Ion) yenye uwezo wa 5000 mAh ambayo kwa mujibu wa Nokia inauwezo wa kudumu na chaji kwa siku mbili pale inapochajiwa na kujaa.
🌻🌻🌻 Bei ya Nokia 2.3
Simu hii ya nokia 2.3 inapatikana#chamomobile kwa Tsh 280,000
🔥🔥🔥
Simu hii ni simu ya bei nafuu kwaajili ya wapenzi wa simu za Nokia
😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘💞
#nokia #nokia2 #nokia23 #nokia2point3 #nokia2_3 #nokiamobile #smartphone #realme5s #vivou10 #redmi8 #redmi8a #redminote8pro #redminote8 #vivou20 #realme5pro #nokia6point2 #nokia62 #technews #techz #tech #android #android10 #androidone #redmiy3 #realmec2 #oppoa5 #oppoa52020
bongotech255 - Umewahi kujiuliza wapi utapata spea org za...
bongotech255
Umewahi kujiuliza wapi utapata spea org za laptop na kwa garama nafuu
Njoo @wikeltechnologies_tz ujipatie kwa bei poa kabisa Pia tunatuma mizigo mikoa yote kwa uaminifu mkubwa Tuna bidhaa zifuatazo ssd hdd ram vioo vya laptop flash keyboard mouse battery Na nyingine nyingi Tupo ilala machinga complex. Gorofa la upande wa kariakoo, gorofa ya kwanza room number E2-43 Ukifika tupigie 👇 namba zetu 👇mikoani tunatuma +255692630904 | +255765171270 @hyatz_computers #keyboard #tech #techupdate #technews #fahamuzaidi #bongotech255 #wikel #pcaccessories #pcrepair #laptoprepair
bongotech255
Umewahi kujiuliza wapi utapata spea org za laptop na kwa garama nafuu
Njoo @wikeltechnologies_tz ujipatie kwa bei poa kabisa Pia tunatuma mizigo mikoa yote kwa uaminifu mkubwa Tuna bidhaa zifuatazo ssd hdd ram vioo vya laptop flash keyboard mouse battery Na nyingine nyingi Tupo ilala machinga complex. Gorofa la upande wa kariakoo, gorofa ya kwanza room number E2-43 Ukifika tupigie 👇 namba zetu 👇mikoani tunatuma +255692630904 | +255765171270 @hyatz_computers #keyboard #tech #techupdate #technews #fahamuzaidi #bongotech255 #wikel #pcaccessories #pcrepair #laptoprepair
Kama ulikua unasuburi kwa hamu juu ya ujio mpya wa toleo jingine la Game ya spider man basi weka on Notification kwani mwezi huu October ni moto.
Kampuni ya insomanic imetoa tarehe ramsi ya kuachiwa game mpya ya Spider man 2. Tarehe 20 /10 /2023 ila itatoka kwa watumiaji wa playstation kwanza.
Storyteller kwa ufupi 👇
Wahusika wakuu Kwenye spider man ni peter parker na Miles Morales ambao utakutana nao Kwenye rangi mbili spider mweusi na mwekundu.
Spider mweusi anakua na uwezo wa kutoa mabawa sio poa. Kuna adui mmoja ni Venom anapiga na mwenye nguvu sana.
pia wahalifu wako wengi wa kila namna wanasumbua Kwenye jiji la new york city kila mmoja kwa upande wake anahitaji kuonekana shujaa kwa kupambana nao.
Kuna jamaa anaitwa kraven the hunter anavaa chuma vizito😃 anapiga huyo kuna wakati spider 🕷️ ataomba poa akanywe maji.
Pia Utakutana na maroboti Ina nguvu balaa , show sio ya kitoto kwa Sasa itaanza kupatikana kwa watumiaji wa playstation 5 TU.
Umeshawahi kucheza game ya spider man unazionaje?
#spiderman #spiderman2game #playstation5 #playstation #sonygames #ps5 #spiderman2 #technews #fahamuzaidi #bongotech255
Kampuni ya insomanic imetoa tarehe ramsi ya kuachiwa game mpya ya Spider man 2. Tarehe 20 /10 /2023 ila itatoka kwa watumiaji wa playstation kwanza.
Storyteller kwa ufupi 👇
Wahusika wakuu Kwenye spider man ni peter parker na Miles Morales ambao utakutana nao Kwenye rangi mbili spider mweusi na mwekundu.
Spider mweusi anakua na uwezo wa kutoa mabawa sio poa. Kuna adui mmoja ni Venom anapiga na mwenye nguvu sana.
pia wahalifu wako wengi wa kila namna wanasumbua Kwenye jiji la new york city kila mmoja kwa upande wake anahitaji kuonekana shujaa kwa kupambana nao.
Kuna jamaa anaitwa kraven the hunter anavaa chuma vizito😃 anapiga huyo kuna wakati spider 🕷️ ataomba poa akanywe maji.
Pia Utakutana na maroboti Ina nguvu balaa , show sio ya kitoto kwa Sasa itaanza kupatikana kwa watumiaji wa playstation 5 TU.
Umeshawahi kucheza game ya spider man unazionaje?
#spiderman #spiderman2game #playstation5 #playstation #sonygames #ps5 #spiderman2 #technews #fahamuzaidi #bongotech255