Teknolojia
132 subscribers
3.73K photos
4.39K videos
90 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
HAJIMURON255🌏 (Instagram)

Teknolojia ni Yetu sote......!!!!

Hi ni nembo yetu mpya vipi ni nzuri ebu tuambie ?

Karibu kwenye ulimwengu wa teknolojia Kwa lugha ya kiswahili Karibu ujifunze maujanja mbalimbali kuhusu simu kompyuta apps games matatizo na suluhisho zake 😊.

Kupitia page yetu @bongotech255

Kama una matatizo kuhusu Instagram Karibu kwenye page yetu tutakusaidia kutatua shida mbalimbali kwenye page yetu πŸ€—.

Follow @bongotech255

#teknoloji #teknolojia #fahamu #fahamuzaidi #maujanja #bongo #bongotech255 #bongotrendings #bongocatmemes #bongoupdatetrends #logo #maujuzi #mafunzoyaurembo #harmony #techyaman #techy #tech
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
HAJIMURON255🌏 (Instagram)

Simu Yako hiko slow fanya hivi kuongeza Kasi Kwa haraka πŸ‘‡

Kama ulikua unapatwa na shida ya jinsi Gani ya kuongeza Kasi kwenye simu Yako basi jifunze Leo njia rahisi ya kufanya Ili kuongeza Kasi Kwa haraka 😊

Usisahau kutu follow Sasa @bongotech255

Follow @bongotech255

#bongo #bongomovie #bongotech255 #maujanja #fahamuzaidi #fahamu #ongeza #kasi #kwenye #simu #speed #accessories #information #faster #android #smartphone #bongΓ³ #bongotrendings #bongoupdatetrends #udakutz #teknolojia #techy
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
HAJIMURON255🌏 (Instagram)

Badil simu Yako kuwa kwenye mfumo wa kompyuta 2021

Kama ulikua Unapenda kumiliki kompyuta na Hauna sio mbaya ukaifanya simu Yako kuwa kompyuta kabisa 😊 na kuendelezea ku enjoy au nini !!

Tizama sasa njia ya kubadili simu kuwa kompyuta ni rahisi sana πŸ™ˆ

Usisahau kutu follow Kwa maujanja mbalimbali zaidi @bongotech255

#smartphone #android #launcher #windows #windows10 #maujanja #fahamu #fahamuzaidi #badilimtazamo #harmonize #kondegang #teknolojia #techy #tech #novalauncher #windowlaunch #bongotech255 #bongotrendings #bongo5updates #bongo5 #udakutz #udakumagazine #umbeausioumiza #umbeawadunia
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

jinsi ya kuondoa tatizo la Instagram couldn't refresh feed Kwa njia rahisi @Bongotech255
fahamu njia rahisi ya kuweza kuondoa tatizo la Instagram couldn't refreshing feed kwenye akaunti yako

kwani tatizo hili usababishwq na mambo kadhaa

1️⃣ Intaneti kuwa slow
2️⃣ server kuwa down
3️⃣ Instagram kutokuwa updated
4️⃣ Instagram wamekuzuia kutokana vitu mbalimbali na nk.

usisahau ku subscribe like na kukomenti Kwa video zaidi 🌏

#techy #instagram #fix #maujanja #bongotech #swahili