Teknolojia
132 subscribers
3.73K photos
4.39K videos
90 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

Teknolojia ni Yetu sote......!!!!

Hi ni nembo yetu mpya vipi ni nzuri ebu tuambie ?

Karibu kwenye ulimwengu wa teknolojia Kwa lugha ya kiswahili Karibu ujifunze maujanja mbalimbali kuhusu simu kompyuta apps games matatizo na suluhisho zake ๐Ÿ˜Š.

Kupitia page yetu @bongotech255

Kama una matatizo kuhusu Instagram Karibu kwenye page yetu tutakusaidia kutatua shida mbalimbali kwenye page yetu ๐Ÿค—.

Follow @bongotech255

#teknoloji #teknolojia #fahamu #fahamuzaidi #maujanja #bongo #bongotech255 #bongotrendings #bongocatmemes #bongoupdatetrends #logo #maujuzi #mafunzoyaurembo #harmony #techyaman #techy #tech
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

Simu Yako hiko slow fanya hivi kuongeza Kasi Kwa haraka ๐Ÿ‘‡

Kama ulikua unapatwa na shida ya jinsi Gani ya kuongeza Kasi kwenye simu Yako basi jifunze Leo njia rahisi ya kufanya Ili kuongeza Kasi Kwa haraka ๐Ÿ˜Š

Usisahau kutu follow Sasa @bongotech255

Follow @bongotech255

#bongo #bongomovie #bongotech255 #maujanja #fahamuzaidi #fahamu #ongeza #kasi #kwenye #simu #speed #accessories #information #faster #android #smartphone #bongรณ #bongotrendings #bongoupdatetrends #udakutz #teknolojia #techy
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Tumia apps mbili Kwa wakati mmoja kwenye simu Yako
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

fahamu njia rahisi ya kuweza kutumia apps mbili Kwa wakati mmoja kwenye simu Kwa njia rahisi sana utaweza kutumia apps hizo Kwenye simu Yako

pia usisahau kupakua app inayoitwa split screen shortcut Kwenye simu Yako kama aina uwezo huo hapo juu

usisahau kutu follow kwenye page @bongotech255 Kwa maujanja mbalimbali kuhusu teknolojia Kwa lugha ya kiswahili ๐ŸŒŽ๐ŸŒŽ

subscribe kwenye chaneli yetu Kwa maujanja mengi ya Siri kwenye teknolojia

link hipo kwenye bio yetu au search YouTube #bongotech255 Sasa

#bongotech255 #fahamu #fahamuzaidi #split #screen #smartphone #tumia #apps #mbili #kwenye #simu #yako #maujanja #harmonize #ayotv #millardayoupdates #millardayosports #bongoupdatetrends #bongomitupio #bongo5updates #bongo5 #wasafitv #cloudstv #udaku #umbea #umbeaunalipa #misemo
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

Badil simu Yako kuwa kwenye mfumo wa kompyuta 2021

Kama ulikua Unapenda kumiliki kompyuta na Hauna sio mbaya ukaifanya simu Yako kuwa kompyuta kabisa ๐Ÿ˜Š na kuendelezea ku enjoy au nini !!

Tizama sasa njia ya kubadili simu kuwa kompyuta ni rahisi sana ๐Ÿ™ˆ

Usisahau kutu follow Kwa maujanja mbalimbali zaidi @bongotech255

#smartphone #android #launcher #windows #windows10 #maujanja #fahamu #fahamuzaidi #badilimtazamo #harmonize #kondegang #teknolojia #techy #tech #novalauncher #windowlaunch #bongotech255 #bongotrendings #bongo5updates #bongo5 #udakutz #udakumagazine #umbeausioumiza #umbeawadunia
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

mfahamu mtu aliyechezea simu yako bila wewe kujua

Kama ulikua unapata shida kumjua Nina anayechezea simu yako wakati wewe umeweka chaji | mahali Fulani basi Leo hii ๐Ÿ˜๐Ÿ˜ utamkamata kizembe Sana tizama video hii

Kwa maujanja mbalimbali usisahau kutu follow @bongotech255

#bongotech255 #fahamu #fahamuzaidi #maujanja #watu #touch #smartphone #harmonize #kondegang #kondegang4everybody #wasafitv #wasafitv #cloudsdigitalupdates #efm #daresalaam #yanga #simba #reels #insta
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

fahamu maajabu haya kwenye simu yako
#bongotech255
#bongo #swahiliflix #swahiliinspiration #swahiliquotes #fahamu #fahamuzaidi #washikajizangu #umbea #umbeawadunia #pambanahaliyako #teknolojia #tech #elimubilamipaka #shure #bongofive #watapatatabusana๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ #harmonize #kondegang4everybody #samia #bbcswahili #tehama Fahamu maajabu ya beta program kwenye simu

Unajua kuna kitu watu wengi hawakijui kuhusu beta program kwenye simu zetu yani " testing the program before realasing to the public"

Fanya majaribo ya app mbalimbali Kwenye simu yako kabla haijaachiwa public ๐Ÿ˜Š

Sikiliza makala hii kisha tuachie maoni yako

๐Ÿ”†Utaweza kuijua

๐Ÿ”†Utaweza kujua jinsi ya kujiunga

๐Ÿ”†Utaweza kujua jinsi ya kufix tatizo la beta program is full

Ulikua unaijua hii beta program au ndo unasikia sasa ?

#bongotech255 #fahamu #fahamuzaid ...
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

fahamu ishara Tano za ugonjwa wa kupenda sana Simu @Bongotech255
unajua Kuna ishara ambazo ukiwa unazifanyaga sana Kwenye maisha yako wakati unatumia simu Jua ni mmoja wa watu wenye matatizo ya kupenda sana simu

#magonjwasugu #maujanja #fahamu #simu #bongo #swahili
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

NAMNA YA KUFUNGUA SIMU YAKO (KUTOA PASSCODE) KWA KUTUMIA SAUTI BILA KUSHIKA SIMU. #Sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #kitaanikwetu #fahamu #bongo #dsm
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa (TikTok)

Tunauza Simu , Kutengeneza Na kutoa ushauri kuhusu matumizi mazuri na sahihi ya Simu yako!! #Sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #fahamu #kitaanikwetu #tz
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa (TikTok)

Namna ambayo simu yako itakukumbusha message zilizo ingia kwa simu yako hata kama hukuiona #Sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #fahamu #kitaanikwetu #tz
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Je umesahau Passcode ya simu yako na umejaribu mpaka imeandikaYour iPhone is Disabled ? #Sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #fahamu #kitaanikwetu #bongo
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Hamisha file kutoka kwenye simu kwenda kwenye kompyuta bila USB | SOFTWARE
Sasa fahamu njia rahisi ya kuweza kuhamisha ma file yako yoyote Yale kutoka kwenye simu na kupeleka kwenye kompyuta au kutoka kwenye kompyuta kupeleka kwenye simu bila kutumia software au USB yoyote Ile.

Telegram group ๐Ÿ‘‡

BongoTech255๐Ÿ–ฅ๐ŸŒ
Karibu ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”‹๐ŸŒ
https://t.me/bongoTechs255

Teknolojia ni Yetu sote ๐Ÿ˜‡

#swahilitech #bongo #fahamu #simu #kompyuta
Amazing Apps ambazo hujawai kutumia !!

Umeshawahi kujaribu izi Apps kwenye simu yako !!!!

Mwaka 2023 mwezi wa sita Leo nakuletea app Bora za kuwa nazo kwenye simu yako watanzania wengi hawazijui !!

Tm Whatsapp
Ukisikia mchanganyiko wa Whatsapp mods kuanzia Yowhatsapp, Plus & Gb Whatsapp ni Tm Whatsapp ni app Bora sana kuwa nayo kwenye simu kwani imepakuliwa na zaidi ya watu million 10 ikiwa na maajabu mengi

โ€ข utaweza ku freeze | pause | fake last seen
โ€ข Ina vpn proxy kuifungua Whatsapp zilizo fungwa
โ€ข unatuma message nyingi kwa watu wakati mmoja.
โ€ข sleep mode(utazuia intaneti kwenye Whatsapp)
โ€ข pia anti revoke unazuia ujumbe kufutwa kwenye Whatsapp yako nk

OTO music
Je unapenda kusikiliza kitu ikiwa na sauti ya kuvutia zaidi, basi tumia Oto music ikiwa wewe mpenzi wa kusikiliza Quran, nyimbo , injiri au kitu chochote kile kwa sauti yenye kupendeza tumia Otto
โ€ข muundo wake ni mzuri
โ€ข ni rafiki kila mtu anatumia
โ€ข ni offline hivyo huitaji bando
โ€ข unaweza soma lyrics ya kitu pia hata ku editi wewe mwenyewe nk.

Brave Private web browser
Ukiwa na hii app huko salama mtandaoni kwa asilimia 70% kwani ni ngumu kuathiliwa na virusi kwenye simu yako. Ni app nzuri sana ikiwa unapenda kupakua vitu mtandaoni.
โ€ข iko faster kutafuta kitu ni zaidi ya Chrome , Mozilla
โ€ข ulinzi wake ni mkubwa sana utakua salama ukitumia ivyo zile link au website hatarishi utazuiwa kuingia.
โ€ข private browsing hakuna mtu atakayeweza kupata access ya vitu ulivyotafuta nk

goClean : Pop up ad dector
Ikiwa unahitaji kutafuta app ambayo Ina spy vitu vyako kwenye simu Basi Tumia hii ni nzuri sana kwani utajua kama Kuna app inafuatilia mambo yako bila wewe kujua kuanzia Ile spy camera pamoja na kuzuia matangazo.

1Tap cleaner (clear cache)
Je una wasiwasi na simu yako kuishiwa na nafasi basi 1Tap cleaner ni app nzuri kuwa nayo kwenye simu yako kwani inakusaidia kuongeza nafasi kupitia ku clear app zote ulizotumia ili kuipa nguvu zaidi simu kuondoa tatizo la kujaa kwa haraka zaidi.
clear apps
clear all cache file
uninstall apps nk

Ziko telegram search #bongotech255 au gusa link ๐Ÿ‘‡
https://t.me/bongoTechs255

#bongotech255 #fahamuzaidi #Fahamu #Maujanja #tanzania #apps