HAJIMURON255๐ (Instagram)
Teknolojia ni Yetu sote......!!!!
Hi ni nembo yetu mpya vipi ni nzuri ebu tuambie ?
Karibu kwenye ulimwengu wa teknolojia Kwa lugha ya kiswahili Karibu ujifunze maujanja mbalimbali kuhusu simu kompyuta apps games matatizo na suluhisho zake ๐.
Kupitia page yetu @bongotech255
Kama una matatizo kuhusu Instagram Karibu kwenye page yetu tutakusaidia kutatua shida mbalimbali kwenye page yetu ๐ค.
Follow @bongotech255
#teknoloji #teknolojia #fahamu #fahamuzaidi #maujanja #bongo #bongotech255 #bongotrendings #bongocatmemes #bongoupdatetrends #logo #maujuzi #mafunzoyaurembo #harmony #techyaman #techy #tech
Teknolojia ni Yetu sote......!!!!
Hi ni nembo yetu mpya vipi ni nzuri ebu tuambie ?
Karibu kwenye ulimwengu wa teknolojia Kwa lugha ya kiswahili Karibu ujifunze maujanja mbalimbali kuhusu simu kompyuta apps games matatizo na suluhisho zake ๐.
Kupitia page yetu @bongotech255
Kama una matatizo kuhusu Instagram Karibu kwenye page yetu tutakusaidia kutatua shida mbalimbali kwenye page yetu ๐ค.
Follow @bongotech255
#teknoloji #teknolojia #fahamu #fahamuzaidi #maujanja #bongo #bongotech255 #bongotrendings #bongocatmemes #bongoupdatetrends #logo #maujuzi #mafunzoyaurembo #harmony #techyaman #techy #tech
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
HAJIMURON255๐ (Instagram)
Simu Yako hiko slow fanya hivi kuongeza Kasi Kwa haraka ๐
Kama ulikua unapatwa na shida ya jinsi Gani ya kuongeza Kasi kwenye simu Yako basi jifunze Leo njia rahisi ya kufanya Ili kuongeza Kasi Kwa haraka ๐
Usisahau kutu follow Sasa @bongotech255
Follow @bongotech255
#bongo #bongomovie #bongotech255 #maujanja #fahamuzaidi #fahamu #ongeza #kasi #kwenye #simu #speed #accessories #information #faster #android #smartphone #bongรณ #bongotrendings #bongoupdatetrends #udakutz #teknolojia #techy
Simu Yako hiko slow fanya hivi kuongeza Kasi Kwa haraka ๐
Kama ulikua unapatwa na shida ya jinsi Gani ya kuongeza Kasi kwenye simu Yako basi jifunze Leo njia rahisi ya kufanya Ili kuongeza Kasi Kwa haraka ๐
Usisahau kutu follow Sasa @bongotech255
Follow @bongotech255
#bongo #bongomovie #bongotech255 #maujanja #fahamuzaidi #fahamu #ongeza #kasi #kwenye #simu #speed #accessories #information #faster #android #smartphone #bongรณ #bongotrendings #bongoupdatetrends #udakutz #teknolojia #techy
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Tumia apps mbili Kwa wakati mmoja kwenye simu Yako
HAJIMURON255๐ (Instagram)
fahamu njia rahisi ya kuweza kutumia apps mbili Kwa wakati mmoja kwenye simu Kwa njia rahisi sana utaweza kutumia apps hizo Kwenye simu Yako
pia usisahau kupakua app inayoitwa split screen shortcut Kwenye simu Yako kama aina uwezo huo hapo juu
usisahau kutu follow kwenye page @bongotech255 Kwa maujanja mbalimbali kuhusu teknolojia Kwa lugha ya kiswahili ๐๐
subscribe kwenye chaneli yetu Kwa maujanja mengi ya Siri kwenye teknolojia
link hipo kwenye bio yetu au search YouTube #bongotech255 Sasa
#bongotech255 #fahamu #fahamuzaidi #split #screen #smartphone #tumia #apps #mbili #kwenye #simu #yako #maujanja #harmonize #ayotv #millardayoupdates #millardayosports #bongoupdatetrends #bongomitupio #bongo5updates #bongo5 #wasafitv #cloudstv #udaku #umbea #umbeaunalipa #misemo
HAJIMURON255๐ (Instagram)
fahamu njia rahisi ya kuweza kutumia apps mbili Kwa wakati mmoja kwenye simu Kwa njia rahisi sana utaweza kutumia apps hizo Kwenye simu Yako
pia usisahau kupakua app inayoitwa split screen shortcut Kwenye simu Yako kama aina uwezo huo hapo juu
usisahau kutu follow kwenye page @bongotech255 Kwa maujanja mbalimbali kuhusu teknolojia Kwa lugha ya kiswahili ๐๐
subscribe kwenye chaneli yetu Kwa maujanja mengi ya Siri kwenye teknolojia
link hipo kwenye bio yetu au search YouTube #bongotech255 Sasa
#bongotech255 #fahamu #fahamuzaidi #split #screen #smartphone #tumia #apps #mbili #kwenye #simu #yako #maujanja #harmonize #ayotv #millardayoupdates #millardayosports #bongoupdatetrends #bongomitupio #bongo5updates #bongo5 #wasafitv #cloudstv #udaku #umbea #umbeaunalipa #misemo
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
HAJIMURON255๐ (Instagram)
Badil simu Yako kuwa kwenye mfumo wa kompyuta 2021
Kama ulikua Unapenda kumiliki kompyuta na Hauna sio mbaya ukaifanya simu Yako kuwa kompyuta kabisa ๐ na kuendelezea ku enjoy au nini !!
Tizama sasa njia ya kubadili simu kuwa kompyuta ni rahisi sana ๐
Usisahau kutu follow Kwa maujanja mbalimbali zaidi @bongotech255
#smartphone #android #launcher #windows #windows10 #maujanja #fahamu #fahamuzaidi #badilimtazamo #harmonize #kondegang #teknolojia #techy #tech #novalauncher #windowlaunch #bongotech255 #bongotrendings #bongo5updates #bongo5 #udakutz #udakumagazine #umbeausioumiza #umbeawadunia
Badil simu Yako kuwa kwenye mfumo wa kompyuta 2021
Kama ulikua Unapenda kumiliki kompyuta na Hauna sio mbaya ukaifanya simu Yako kuwa kompyuta kabisa ๐ na kuendelezea ku enjoy au nini !!
Tizama sasa njia ya kubadili simu kuwa kompyuta ni rahisi sana ๐
Usisahau kutu follow Kwa maujanja mbalimbali zaidi @bongotech255
#smartphone #android #launcher #windows #windows10 #maujanja #fahamu #fahamuzaidi #badilimtazamo #harmonize #kondegang #teknolojia #techy #tech #novalauncher #windowlaunch #bongotech255 #bongotrendings #bongo5updates #bongo5 #udakutz #udakumagazine #umbeausioumiza #umbeawadunia
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
umesahau password kwenye akaunti yako
HAJIMURON255๐ (Instagram)
fahamu njia rahisi ya kuweza kujua password yako Kwa urahisi Sana hata kama umesahau au inakata kwenye mtandao wowote hule wa kijamii #facebook #instagram #twitter #youtube #email
usisahau kutu follow @bongotech255
#fahamuzaidi #fahamu #bongotech255 #techy #harmonize #igtv #bongo #bongรณ #daressalaam #mtwara #maujanja #jifunzemapishi #fahamumovies #elimu #teknolojia #teknoloji #udakutz #umbea #udaku #kondegang #wasafimedia #wasafi #samiasuluhu #tanzania๐น๐ฟ
@samia_suluhu_hassan @cloudstv @efmtanzania @wasafitv @diamondplatnumzfamily @diamondplatnumz @teknokona @techy_tricks
HAJIMURON255๐ (Instagram)
fahamu njia rahisi ya kuweza kujua password yako Kwa urahisi Sana hata kama umesahau au inakata kwenye mtandao wowote hule wa kijamii #facebook #instagram #twitter #youtube #email
usisahau kutu follow @bongotech255
#fahamuzaidi #fahamu #bongotech255 #techy #harmonize #igtv #bongo #bongรณ #daressalaam #mtwara #maujanja #jifunzemapishi #fahamumovies #elimu #teknolojia #teknoloji #udakutz #umbea #udaku #kondegang #wasafimedia #wasafi #samiasuluhu #tanzania๐น๐ฟ
@samia_suluhu_hassan @cloudstv @efmtanzania @wasafitv @diamondplatnumzfamily @diamondplatnumz @teknokona @techy_tricks
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
HAJIMURON255๐ (Instagram)
mfahamu mtu aliyechezea simu yako bila wewe kujua
Kama ulikua unapata shida kumjua Nina anayechezea simu yako wakati wewe umeweka chaji | mahali Fulani basi Leo hii ๐๐ utamkamata kizembe Sana tizama video hii
Kwa maujanja mbalimbali usisahau kutu follow @bongotech255
#bongotech255 #fahamu #fahamuzaidi #maujanja #watu #touch #smartphone #harmonize #kondegang #kondegang4everybody #wasafitv #wasafitv #cloudsdigitalupdates #efm #daresalaam #yanga #simba #reels #insta
mfahamu mtu aliyechezea simu yako bila wewe kujua
Kama ulikua unapata shida kumjua Nina anayechezea simu yako wakati wewe umeweka chaji | mahali Fulani basi Leo hii ๐๐ utamkamata kizembe Sana tizama video hii
Kwa maujanja mbalimbali usisahau kutu follow @bongotech255
#bongotech255 #fahamu #fahamuzaidi #maujanja #watu #touch #smartphone #harmonize #kondegang #kondegang4everybody #wasafitv #wasafitv #cloudsdigitalupdates #efm #daresalaam #yanga #simba #reels #insta
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
fahamu maajabu haya kwenye simu yako
#bongotech255
#bongo #swahiliflix #swahiliinspiration #swahiliquotes #fahamu #fahamuzaidi #washikajizangu #umbea #umbeawadunia #pambanahaliyako #teknolojia #tech #elimubilamipaka #shure #bongofive #watapatatabusana๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ #harmonize #kondegang4everybody #samia #bbcswahili #tehama Fahamu maajabu ya beta program kwenye simu
Unajua kuna kitu watu wengi hawakijui kuhusu beta program kwenye simu zetu yani " testing the program before realasing to the public"
Fanya majaribo ya app mbalimbali Kwenye simu yako kabla haijaachiwa public ๐
Sikiliza makala hii kisha tuachie maoni yako
๐Utaweza kuijua
๐Utaweza kujua jinsi ya kujiunga
๐Utaweza kujua jinsi ya kufix tatizo la beta program is full
Ulikua unaijua hii beta program au ndo unasikia sasa ?
#bongotech255 #fahamu #fahamuzaid ...
fahamu maajabu haya kwenye simu yako
#bongotech255
#bongo #swahiliflix #swahiliinspiration #swahiliquotes #fahamu #fahamuzaidi #washikajizangu #umbea #umbeawadunia #pambanahaliyako #teknolojia #tech #elimubilamipaka #shure #bongofive #watapatatabusana๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ #harmonize #kondegang4everybody #samia #bbcswahili #tehama Fahamu maajabu ya beta program kwenye simu
Unajua kuna kitu watu wengi hawakijui kuhusu beta program kwenye simu zetu yani " testing the program before realasing to the public"
Fanya majaribo ya app mbalimbali Kwenye simu yako kabla haijaachiwa public ๐
Sikiliza makala hii kisha tuachie maoni yako
๐Utaweza kuijua
๐Utaweza kujua jinsi ya kujiunga
๐Utaweza kujua jinsi ya kufix tatizo la beta program is full
Ulikua unaijua hii beta program au ndo unasikia sasa ?
#bongotech255 #fahamu #fahamuzaid ...
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
fahamu ishara Tano za ugonjwa wa kupenda sana Simu @Bongotech255
unajua Kuna ishara ambazo ukiwa unazifanyaga sana Kwenye maisha yako wakati unatumia simu Jua ni mmoja wa watu wenye matatizo ya kupenda sana simu
#magonjwasugu #maujanja #fahamu #simu #bongo #swahili
fahamu ishara Tano za ugonjwa wa kupenda sana Simu @Bongotech255
unajua Kuna ishara ambazo ukiwa unazifanyaga sana Kwenye maisha yako wakati unatumia simu Jua ni mmoja wa watu wenye matatizo ya kupenda sana simu
#magonjwasugu #maujanja #fahamu #simu #bongo #swahili
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
NAMNA YA KUFUNGUA SIMU YAKO (KUTOA PASSCODE) KWA KUTUMIA SAUTI BILA KUSHIKA SIMU. #Sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #kitaanikwetu #fahamu #bongo #dsm
NAMNA YA KUFUNGUA SIMU YAKO (KUTOA PASSCODE) KWA KUTUMIA SAUTI BILA KUSHIKA SIMU. #Sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #kitaanikwetu #fahamu #bongo #dsm
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa (TikTok)
Tunauza Simu , Kutengeneza Na kutoa ushauri kuhusu matumizi mazuri na sahihi ya Simu yako!! #Sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #fahamu #kitaanikwetu #tz
Tunauza Simu , Kutengeneza Na kutoa ushauri kuhusu matumizi mazuri na sahihi ya Simu yako!! #Sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #fahamu #kitaanikwetu #tz
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa (TikTok)
Leo tunyanyuane!! Kupitia hii unaweza ukaongeza followers TIKTOK #Sanuka #simukitaa #simukitaa #ijuesimuyako #fahamu #kitaanikwetu #tz #bongo #dsm
Leo tunyanyuane!! Kupitia hii unaweza ukaongeza followers TIKTOK #Sanuka #simukitaa #simukitaa #ijuesimuyako #fahamu #kitaanikwetu #tz #bongo #dsm
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa (TikTok)
Namna ambayo simu yako itakukumbusha message zilizo ingia kwa simu yako hata kama hukuiona #Sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #fahamu #kitaanikwetu #tz
Namna ambayo simu yako itakukumbusha message zilizo ingia kwa simu yako hata kama hukuiona #Sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #fahamu #kitaanikwetu #tz
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa (TikTok)
Namna Ya kuficha application kama instagram, Whatsap n.k ukiwa na mpenzi wako au Marafiki zako #Sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #fahamu #kitaanikwetu
Namna Ya kuficha application kama instagram, Whatsap n.k ukiwa na mpenzi wako au Marafiki zako #Sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #fahamu #kitaanikwetu
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa (TikTok)
NAMNA YA KUFUNGUA SIMU YAKO (KUTOA PASSCODE) KWA KUTUMIA SAUTI BILA KUSHIKA SIMU. #Sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #kitaanikwetu #fahamu #bongo #dsm
NAMNA YA KUFUNGUA SIMU YAKO (KUTOA PASSCODE) KWA KUTUMIA SAUTI BILA KUSHIKA SIMU. #Sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #kitaanikwetu #fahamu #bongo #dsm
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
Je umesahau Passcode ya simu yako na umejaribu mpaka imeandikaYour iPhone is Disabled ? #Sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #fahamu #kitaanikwetu #bongo
Je umesahau Passcode ya simu yako na umejaribu mpaka imeandikaYour iPhone is Disabled ? #Sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #fahamu #kitaanikwetu #bongo
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa (TikTok)
Namna ya kuficha picha zako zisionekane kwenye GALLARY (photos) #sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #fahamu #kitaanikwetu #bongofuntiktoker #bongo #dsm
Namna ya kuficha picha zako zisionekane kwenye GALLARY (photos) #sanuka #simukitaa #ijuesimuyako #fahamu #kitaanikwetu #bongofuntiktoker #bongo #dsm
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
Hamisha file kutoka kwenye simu kwenda kwenye kompyuta bila USB | SOFTWARE
Sasa fahamu njia rahisi ya kuweza kuhamisha ma file yako yoyote Yale kutoka kwenye simu na kupeleka kwenye kompyuta au kutoka kwenye kompyuta kupeleka kwenye simu bila kutumia software au USB yoyote Ile.
Telegram group ๐
BongoTech255๐ฅ๐
Karibu ๐ฅ๐๐
https://t.me/bongoTechs255
Teknolojia ni Yetu sote ๐
#swahilitech #bongo #fahamu #simu #kompyuta
Hamisha file kutoka kwenye simu kwenda kwenye kompyuta bila USB | SOFTWARE
Sasa fahamu njia rahisi ya kuweza kuhamisha ma file yako yoyote Yale kutoka kwenye simu na kupeleka kwenye kompyuta au kutoka kwenye kompyuta kupeleka kwenye simu bila kutumia software au USB yoyote Ile.
Telegram group ๐
BongoTech255๐ฅ๐
Karibu ๐ฅ๐๐
https://t.me/bongoTechs255
Teknolojia ni Yetu sote ๐
#swahilitech #bongo #fahamu #simu #kompyuta
Tuma Meseji Ya WhatsApp Kwa Namba Ambayo Haipo Katika Simu Yako! #Fahamu #MAUJANJA
InstantView from Source
InstantView from Source
Telegraph
Tuma Meseji Ya WhatsApp Kwa Namba Ambayo Haipo Katika Simu Yako! #Fahamu #MAUJANJA
Mtandao wa WhatsApp bado unakua kwa ukubwa sana, na bado maboresha na vipengele vingi huwa vinaongezwa muda unavyozidi kwenda. Pengine hauna haja ya kuwa na namba ya mtu, labda unataka uone kitu kidogo tuu alafu mmalizane labda unataka akutumie picha ya bidhaaโฆ
Amazing Apps ambazo hujawai kutumia !!
Umeshawahi kujaribu izi Apps kwenye simu yako !!!!
Mwaka 2023 mwezi wa sita Leo nakuletea app Bora za kuwa nazo kwenye simu yako watanzania wengi hawazijui !!
Tm Whatsapp
Ukisikia mchanganyiko wa Whatsapp mods kuanzia Yowhatsapp, Plus & Gb Whatsapp ni Tm Whatsapp ni app Bora sana kuwa nayo kwenye simu kwani imepakuliwa na zaidi ya watu million 10 ikiwa na maajabu mengi
โข utaweza ku freeze | pause | fake last seen
โข Ina vpn proxy kuifungua Whatsapp zilizo fungwa
โข unatuma message nyingi kwa watu wakati mmoja.
โข sleep mode(utazuia intaneti kwenye Whatsapp)
โข pia anti revoke unazuia ujumbe kufutwa kwenye Whatsapp yako nk
OTO music
Je unapenda kusikiliza kitu ikiwa na sauti ya kuvutia zaidi, basi tumia Oto music ikiwa wewe mpenzi wa kusikiliza Quran, nyimbo , injiri au kitu chochote kile kwa sauti yenye kupendeza tumia Otto
โข muundo wake ni mzuri
โข ni rafiki kila mtu anatumia
โข ni offline hivyo huitaji bando
โข unaweza soma lyrics ya kitu pia hata ku editi wewe mwenyewe nk.
Brave Private web browser
Ukiwa na hii app huko salama mtandaoni kwa asilimia 70% kwani ni ngumu kuathiliwa na virusi kwenye simu yako. Ni app nzuri sana ikiwa unapenda kupakua vitu mtandaoni.
โข iko faster kutafuta kitu ni zaidi ya Chrome , Mozilla
โข ulinzi wake ni mkubwa sana utakua salama ukitumia ivyo zile link au website hatarishi utazuiwa kuingia.
โข private browsing hakuna mtu atakayeweza kupata access ya vitu ulivyotafuta nk
goClean : Pop up ad dector
Ikiwa unahitaji kutafuta app ambayo Ina spy vitu vyako kwenye simu Basi Tumia hii ni nzuri sana kwani utajua kama Kuna app inafuatilia mambo yako bila wewe kujua kuanzia Ile spy camera pamoja na kuzuia matangazo.
1Tap cleaner (clear cache)
Je una wasiwasi na simu yako kuishiwa na nafasi basi 1Tap cleaner ni app nzuri kuwa nayo kwenye simu yako kwani inakusaidia kuongeza nafasi kupitia ku clear app zote ulizotumia ili kuipa nguvu zaidi simu kuondoa tatizo la kujaa kwa haraka zaidi.
clear apps
clear all cache file
uninstall apps nk
Ziko telegram search #bongotech255 au gusa link ๐
https://t.me/bongoTechs255
#bongotech255 #fahamuzaidi #Fahamu #Maujanja #tanzania #apps
Umeshawahi kujaribu izi Apps kwenye simu yako !!!!
Mwaka 2023 mwezi wa sita Leo nakuletea app Bora za kuwa nazo kwenye simu yako watanzania wengi hawazijui !!
Tm Whatsapp
Ukisikia mchanganyiko wa Whatsapp mods kuanzia Yowhatsapp, Plus & Gb Whatsapp ni Tm Whatsapp ni app Bora sana kuwa nayo kwenye simu kwani imepakuliwa na zaidi ya watu million 10 ikiwa na maajabu mengi
โข utaweza ku freeze | pause | fake last seen
โข Ina vpn proxy kuifungua Whatsapp zilizo fungwa
โข unatuma message nyingi kwa watu wakati mmoja.
โข sleep mode(utazuia intaneti kwenye Whatsapp)
โข pia anti revoke unazuia ujumbe kufutwa kwenye Whatsapp yako nk
OTO music
Je unapenda kusikiliza kitu ikiwa na sauti ya kuvutia zaidi, basi tumia Oto music ikiwa wewe mpenzi wa kusikiliza Quran, nyimbo , injiri au kitu chochote kile kwa sauti yenye kupendeza tumia Otto
โข muundo wake ni mzuri
โข ni rafiki kila mtu anatumia
โข ni offline hivyo huitaji bando
โข unaweza soma lyrics ya kitu pia hata ku editi wewe mwenyewe nk.
Brave Private web browser
Ukiwa na hii app huko salama mtandaoni kwa asilimia 70% kwani ni ngumu kuathiliwa na virusi kwenye simu yako. Ni app nzuri sana ikiwa unapenda kupakua vitu mtandaoni.
โข iko faster kutafuta kitu ni zaidi ya Chrome , Mozilla
โข ulinzi wake ni mkubwa sana utakua salama ukitumia ivyo zile link au website hatarishi utazuiwa kuingia.
โข private browsing hakuna mtu atakayeweza kupata access ya vitu ulivyotafuta nk
goClean : Pop up ad dector
Ikiwa unahitaji kutafuta app ambayo Ina spy vitu vyako kwenye simu Basi Tumia hii ni nzuri sana kwani utajua kama Kuna app inafuatilia mambo yako bila wewe kujua kuanzia Ile spy camera pamoja na kuzuia matangazo.
1Tap cleaner (clear cache)
Je una wasiwasi na simu yako kuishiwa na nafasi basi 1Tap cleaner ni app nzuri kuwa nayo kwenye simu yako kwani inakusaidia kuongeza nafasi kupitia ku clear app zote ulizotumia ili kuipa nguvu zaidi simu kuondoa tatizo la kujaa kwa haraka zaidi.
clear apps
clear all cache file
uninstall apps nk
Ziko telegram search #bongotech255 au gusa link ๐
https://t.me/bongoTechs255
#bongotech255 #fahamuzaidi #Fahamu #Maujanja #tanzania #apps
Telegram
BongoTech255๐ฎ๐ป
Fahamu masuala mbalimbali ya Teknolojia kwa lugha nyepesi kabisa ya kiswahili ๐
Tembelea page zetu ujifunze mengi zaidi ๐
https://bio.site/Bongotech255
Si Unajua Teknolojia ni Yetu sote โ๏ธ
Tembelea page zetu ujifunze mengi zaidi ๐
https://bio.site/Bongotech255
Si Unajua Teknolojia ni Yetu sote โ๏ธ