Teknolojia
139 subscribers
3.87K photos
5.62K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli ๐Ÿ‘‹
Download Telegram
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

Badili picha kuwa mfumo wa katuni Kwa njia rahisi sana kupitia simu Yako ๐Ÿค—

Change Photo into cartoon ๐Ÿ˜Š with easy steps ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

Follow @bongotech255
Follow @bongotech255

Kwa maujanja mbalimbali kuhusu teknolojia

#photography #designer #photo #into #cartoon #filter #badili #picha #kuwa #cartoon #katuni #kwenye #simu #bongotech255 #instagram #cartoon #instapic #reels #bongotrendings #bongocat #bongocatmemes #reelsinstagram #fahamu #harmonize #udaku #bongotech255
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Masafa hubeba Mawasiliano ya redio kati ya rubani na mnara wa kuongozea ndege ; Ili rubani aweza kupaa na kutua salama kwenye ndege, mawasiliano yanayowezeshwa na masafa ndio nyenzo inayotumika.
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Dkt. Faustine Ndugulile (Mb) pamoja na Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa (Mb) wakiwa katika mkutano wa mapitio ya maboresho ya Kanuni za Maudhui ya Utangazaji na Leseni uliofanyika Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) leo Tarehe 18 Agosti, 2021. Baada ya mapitio, rasimu ya maboresho ya kanuni hizo itafikishwa kwa wadau wa sekta ya utangazaji ili kupata maoni yao.

@faustine_ndugulile @innocentbash
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

Teknolojia ni Yetu sote......!!!!

Hi ni nembo yetu mpya vipi ni nzuri ebu tuambie ?

Karibu kwenye ulimwengu wa teknolojia Kwa lugha ya kiswahili Karibu ujifunze maujanja mbalimbali kuhusu simu kompyuta apps games matatizo na suluhisho zake ๐Ÿ˜Š.

Kupitia page yetu @bongotech255

Kama una matatizo kuhusu Instagram Karibu kwenye page yetu tutakusaidia kutatua shida mbalimbali kwenye page yetu ๐Ÿค—.

Follow @bongotech255

#teknoloji #teknolojia #fahamu #fahamuzaidi #maujanja #bongo #bongotech255 #bongotrendings #bongocatmemes #bongoupdatetrends #logo #maujuzi #mafunzoyaurembo #harmony #techyaman #techy #tech
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

๐™›๐™–๐™๐™–๐™ข๐™ช ๐™–๐™ฅ๐™ฅ ๐™ฃ๐™ฏ๐™ช๐™ง๐™ž ๐™ฏ๐™– ๐™Ž๐™ž๐™ง๐™ž ๐™–๐™ข๐™—๐™–๐™ฏ๐™ค ๐™ช๐™ก๐™ž๐™ ๐™ช๐™– ๐™ช๐™ฏ๐™ž๐™Ÿ๐™ช๐™ž ๐™ ๐™ฌ๐™š๐™ฃ๐™ฎ๐™š ๐™จ๐™ž๐™ข๐™ช ๐™”๐™–๐™ ๐™ค

simu zetu zina๐Ÿฅณ mambo mengi sana ya Siri ambapo watu wengi hatujui ๐Ÿ˜, uwezi amini mpaka Leo na Mimi najifunza mambo hayo ya Siri jamani.

hivi unajua soko la play store linazaidi ya app milioni 3.48 ๐Ÿ˜ƒ alafu wew simu Yako app 10 tu imejaa daaa....!!!! na sijui kha tutazimaliza Leo kuzielezea maan Kila siku watu Wana post vitu vipya aiseee.

Sasa Leo nimeamua kuwaletea app nzuri ambaxo ni za kushangaza ziko kwenye soko la play store ๐Ÿ‘‡

1๏ธโƒฃ almighty volume keys
hii ni moja wapo ya app Bora sana ambayo inafanya KAZI ya kuongeza volume simu Yako , ๐Ÿ˜ƒ we simu yak SI ukimpigia mtu umsiki au ukiwa una sikiliza kitu ukisikilizi vizuri basi Tumia hiyo app utaniambia.

2๏ธโƒฃ Minimalist productivity launcher for focus &... ...
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

Simu Yako hiko slow fanya hivi kuongeza Kasi Kwa haraka ๐Ÿ‘‡

Kama ulikua unapatwa na shida ya jinsi Gani ya kuongeza Kasi kwenye simu Yako basi jifunze Leo njia rahisi ya kufanya Ili kuongeza Kasi Kwa haraka ๐Ÿ˜Š

Usisahau kutu follow Sasa @bongotech255

Follow @bongotech255

#bongo #bongomovie #bongotech255 #maujanja #fahamuzaidi #fahamu #ongeza #kasi #kwenye #simu #speed #accessories #information #faster #android #smartphone #bongรณ #bongotrendings #bongoupdatetrends #udakutz #teknolojia #techy