Teknolojia
131 subscribers
3.83K photos
4.75K videos
94 files
13.4K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
๐—ฆ๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฝ๐—ฎ๐˜€๐˜€๐˜„๐—ผ๐—ฟ๐—ฑ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ผ

Safari ya mwanzo na mwisho ya password kwenye simu zetu inawadia, hatimaye Google wameleta feature mpya ya kuweza... | By bongotech255 | Facebook

bongotech255 - Home | Facebook

๐—ฆ๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฝ๐—ฎ๐˜€๐˜€๐˜„๐—ผ๐—ฟ๐—ฑ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ผ

Safari ya mwanzo na mwisho ya password kwenye simu zetu inawadia, hatimaye Google wameleta feature mpya ya kuweza kutoa / kuingia kwenye program au akaunti zetu za Google bila kutumia passwordi.

Kwa muda mrefu Google walikua wanatafuta njia rahisi Zaidi ya kutumia email akaunti zetu bila kuweka password au kufungua email zetu bila kuandika password.

Mara nyingi password zilikuaโ€ฆ See more
๐Ÿ‘1
May 05, 2023 at 08:20AM
bongotech255 - ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐˜€๐˜‚๐—ป๐—ด ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐—ฝ๐—ผ๐˜๐—ฒ๐—ฎ

Je umepoteza simu...

bongotech255 - Home | Facebook

๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐˜€๐˜‚๐—ป๐—ด ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐—ฝ๐—ผ๐˜๐—ฒ๐—ฎ

Je umepoteza simu yako ya Samsung ? Utafanyaje jinsi ya kuipata simu yako ?kwa kuwa simu yako umenunua gharama!! Nitakujuza. Kupoteza au kuibiwa simu kunauma nyie acheni tena mpya daah !! ebu retweet kisha like tuendelee kujifunza ๐Ÿ‘‡ Tunatumia simu kwa ajili ya mawasiliano na watu mbalimbali , kupoteza simu ni moja wapo ya jambo ya changamoto ngumu kwenye maisha Yetu haswa kama simu yako ndo mpya alafu umenunua kwa Gharama kubwa. Ila watumiaji wengi wa Samsung wana bahati sana , maana kwenye simu nyingi za Samsung Kuna feature kuweza kutafuta simu iliyopotea au kuibiwa. Kuna...

View original post
May 08, 2023 at 12:06AM
May 08, 2023 at 06:05AM
May 08, 2023 at 10:30AM