Teknolojia
Photo
chamomobile - Instagram Bridge
Kampuni ya Nokia Yazindua Simu Mpya ya Nokia 2.3 TSH 280,000...
https://scontent-cdg2-1.cdninstagram.com/v/t51.2885-15/e35/92753167_1457073507817984_8146354948144033074_n.jpg?_nc_ht=scontent-cdg2-1.cdninstagram.com&_nc_cat=104&_nc_ohc=_LYlFPh78eQAX-Y_Zj2&oh=0428ea5388b0c1b1c6435284232ec504&oe=5EBC883A
https://scontent-cdg2-1.cdninstagram.com/v/t51.2885-15/e35/92693896_147064320178560_3477805258871479207_n.jpg?_nc_ht=scontent-cdg2-1.cdninstagram.com&_nc_cat=100&_nc_ohc=QUmPIurT4fUAX9NjvsO&oh=f2e72756b9bdcdb5a0ec9dc55dc2ee26&oe=5EBAB5CD
Kampuni ya Nokia Yazindua Simu Mpya ya Nokia 2.3 TSH 280,000
🌻🌻🌻
kampuni ya Nokia imetangaza simu yake mpya ya Nokia 2.3 toleo la maboresho kwa simu ya Nokia 2.2 iliyotoka mwezi wa sita mwaka jana 2019.
🌻🌻🌻
Simu hii mpya inakuja na maboresho machache ukilinganisha na toleo la awali la Nokia 2.2, Simu hii inakuja na kioo cha inch 6.2 kilicho tengenezwa kwa teknolojia ya IPS LCD chenye resolution ya pixel 720 kwa 1520.
🌻🌻🌻
Mbali na hayo, Nokia 2.3 inakuja ikiwa inaendeshwa na Processor ya Mediatek Helio A22, inayosaidiwa na RAM ya GB 2 pamoja na ukubwa wa ndani wa GB 32 huku ikiwa na uwezo wa kuongezewa ukubwa huo kwa kutumia memory card hadi ya GB 512.
🌻🌻🌻
Kwa upande wa kamera , Nokia 2.3 inakuja na kamera mbili kwa nyuma, Kamera kuu inakuja na Megapixel 13 huku nyingine ikiwa na megapixel 2. Kamera zote hizo kwa pamoja zinaweza kuchukua video ya hadi 1080p@30fps.
🌻🌻🌻
Kwa mbele Nokia 2.3 inakuja na kamera moja ya selfie yenye uwezo wa Megapixel 5, kamera hii inakuja na teknolojia ya kutambua uso ambayo ni sehemu ya ulinzi wa simu hii.
🌻🌻🌻
Nokia 2.3 inaendeshwa na mfumo wa Android 9 (Pie), mfumo ambao juu yake kuna mfumo wa muonekano wa Android One kutoka Google. 🌻🌻🌻. Battery...
Simu hii inapewa nguvu na battery isiyotoka ya Li-Ion (Lithium Ion) yenye uwezo wa 5000 mAh ambayo kwa mujibu wa Nokia inauwezo wa kudumu na chaji kwa siku mbili pale inapochajiwa na kujaa.
🌻🌻🌻 Bei ya Nokia 2.3
Simu hii ya nokia 2.3 inapatikana#chamomobile kwa Tsh 280,000
🔥🔥🔥
Simu hii ni simu ya bei nafuu kwaajili ya wapenzi wa simu za Nokia
😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘💞
#nokia #nokia2 #nokia23 #nokia2point3 #nokia2_3 #nokiamobile #smartphone #realme5s #vivou10 #redmi8 #redmi8a #redminote8pro #redminote8 #vivou20 #realme5pro #nokia6point2 #nokia62 #technews #techz #tech #android #android10 #androidone #redmiy3 #realmec2 #oppoa5 #oppoa52020
Kampuni ya Nokia Yazindua Simu Mpya ya Nokia 2.3 TSH 280,000...
https://scontent-cdg2-1.cdninstagram.com/v/t51.2885-15/e35/92753167_1457073507817984_8146354948144033074_n.jpg?_nc_ht=scontent-cdg2-1.cdninstagram.com&_nc_cat=104&_nc_ohc=_LYlFPh78eQAX-Y_Zj2&oh=0428ea5388b0c1b1c6435284232ec504&oe=5EBC883A
https://scontent-cdg2-1.cdninstagram.com/v/t51.2885-15/e35/92693896_147064320178560_3477805258871479207_n.jpg?_nc_ht=scontent-cdg2-1.cdninstagram.com&_nc_cat=100&_nc_ohc=QUmPIurT4fUAX9NjvsO&oh=f2e72756b9bdcdb5a0ec9dc55dc2ee26&oe=5EBAB5CD
Kampuni ya Nokia Yazindua Simu Mpya ya Nokia 2.3 TSH 280,000
🌻🌻🌻
kampuni ya Nokia imetangaza simu yake mpya ya Nokia 2.3 toleo la maboresho kwa simu ya Nokia 2.2 iliyotoka mwezi wa sita mwaka jana 2019.
🌻🌻🌻
Simu hii mpya inakuja na maboresho machache ukilinganisha na toleo la awali la Nokia 2.2, Simu hii inakuja na kioo cha inch 6.2 kilicho tengenezwa kwa teknolojia ya IPS LCD chenye resolution ya pixel 720 kwa 1520.
🌻🌻🌻
Mbali na hayo, Nokia 2.3 inakuja ikiwa inaendeshwa na Processor ya Mediatek Helio A22, inayosaidiwa na RAM ya GB 2 pamoja na ukubwa wa ndani wa GB 32 huku ikiwa na uwezo wa kuongezewa ukubwa huo kwa kutumia memory card hadi ya GB 512.
🌻🌻🌻
Kwa upande wa kamera , Nokia 2.3 inakuja na kamera mbili kwa nyuma, Kamera kuu inakuja na Megapixel 13 huku nyingine ikiwa na megapixel 2. Kamera zote hizo kwa pamoja zinaweza kuchukua video ya hadi 1080p@30fps.
🌻🌻🌻
Kwa mbele Nokia 2.3 inakuja na kamera moja ya selfie yenye uwezo wa Megapixel 5, kamera hii inakuja na teknolojia ya kutambua uso ambayo ni sehemu ya ulinzi wa simu hii.
🌻🌻🌻
Nokia 2.3 inaendeshwa na mfumo wa Android 9 (Pie), mfumo ambao juu yake kuna mfumo wa muonekano wa Android One kutoka Google. 🌻🌻🌻. Battery...
Simu hii inapewa nguvu na battery isiyotoka ya Li-Ion (Lithium Ion) yenye uwezo wa 5000 mAh ambayo kwa mujibu wa Nokia inauwezo wa kudumu na chaji kwa siku mbili pale inapochajiwa na kujaa.
🌻🌻🌻 Bei ya Nokia 2.3
Simu hii ya nokia 2.3 inapatikana#chamomobile kwa Tsh 280,000
🔥🔥🔥
Simu hii ni simu ya bei nafuu kwaajili ya wapenzi wa simu za Nokia
😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘💞
#nokia #nokia2 #nokia23 #nokia2point3 #nokia2_3 #nokiamobile #smartphone #realme5s #vivou10 #redmi8 #redmi8a #redminote8pro #redminote8 #vivou20 #realme5pro #nokia6point2 #nokia62 #technews #techz #tech #android #android10 #androidone #redmiy3 #realmec2 #oppoa5 #oppoa52020
Teknolojia
Photo
chamomobile - Instagram Bridge
#NOKIAC1 #BEI #TSH 185,000 🔥🔥 #NO 0672988464...
https://www.instagram.com/p/B_MiFnJgOtg/media?size=l
#NOKIAC1 #BEI #TSH 185,000 🔥🔥 #NO 0672988464
Simu hii mpya ya Nokia C1, inakuja na kioo chenye ukubwa wa inch 5.45 kioo ambacho kimetengezwa kwa teknolojia ya IPS LCD ambacho pia kinakuja na resolution ya hadi pixel 720 kwa 1440.
Kwa upande wa kamera, Nokia C1 inakuja na kamera ya mbele ya Megapixel 5 huku ikiwa na uwezo wa kuchukua video za resolution ya hadi 720p@30fps. Kamera hiyo pia inakuja na sehemu ya Flash ambayo husaidia kupiga picha za selfie wakati wa usiku.
Kwa nyuma Nokia C1 inakuja na kamera moja ambayo nayo pia inakuja na uwezo wa Megapixel 5, huku ikiwa inasaidiwa na Flash ya LED pamoja na teknolojia ya HDR. Kamera hii pia ina uwezo wa kuchukua video za hadi 720p@30fps.
Sifa nyingine za Nokia C1 ni kama zifuatazo.
🇹🇿
Sifa za Nokia C1
🌻🌻🌻🌻
Ukubwa wa Kioo – Inch 5.45 chenye teknolojia ya IPS LCD capacitive touchscreen, chenye uwezo wa kuonyesha rangi miloni 16 pamoja na resolution ya 720 x 1440 pixels.
Mfumo wa Uendeshaji – Android 9.0 Pie (Go edition)
🌻🌻🌻🌻
Uwezo wa Processor – Quad-core 1.4 GHz.
🌻🌻🌻🌻
Aina ya Processor (Chipset) – Unisoc (28nm)
Ukubwa wa Ndani – GB 16
🌻🌻🌻🌻
Ukubwa wa RAM – GB 1.
🌻🌻🌻🌻
Uwezo wa Kamera ya Mbele – Megapixel 5.
Uwezo wa Kamera ya Nyuma – Megapixel 5.
Kamera zote zinasadiwa na Flash ya LED flash.
🌻🌻🌻🌻
Uwezo wa Battery – Battery isiyotoka ya Li-po 2500 mAh.
🌻🌻🌻🌻
Viunganishi – Wi-Fi 802.11 a/b/g/n, dual-band, WiFi Direct, hotspot, Bluetooth 4.2, A2DP, LE
na GPS ya A-GPS. USB ya micro USB 2.0, USB On-The-Go.
🌻🌻🌻🌻
Mengineyo – Inayo Radio FM, Inatumia Line Mbili za Dual SIM (Nano-SIM, dual stand-by), Inayo sehemu ya kuchomeka headphone maarufu kama Headphone jack.
🌻🌻🌻🌻
Uwezo wa Mtandao – 2G, 3G, 4G
📞📞📞
Kwa mawasiliano zaidi tupigie
0672988464 @chamomobile
#nokia #nokiac1 #nokiac2 #hatuumizani #android
#NOKIAC1 #BEI #TSH 185,000 🔥🔥 #NO 0672988464...
https://www.instagram.com/p/B_MiFnJgOtg/media?size=l
#NOKIAC1 #BEI #TSH 185,000 🔥🔥 #NO 0672988464
Simu hii mpya ya Nokia C1, inakuja na kioo chenye ukubwa wa inch 5.45 kioo ambacho kimetengezwa kwa teknolojia ya IPS LCD ambacho pia kinakuja na resolution ya hadi pixel 720 kwa 1440.
Kwa upande wa kamera, Nokia C1 inakuja na kamera ya mbele ya Megapixel 5 huku ikiwa na uwezo wa kuchukua video za resolution ya hadi 720p@30fps. Kamera hiyo pia inakuja na sehemu ya Flash ambayo husaidia kupiga picha za selfie wakati wa usiku.
Kwa nyuma Nokia C1 inakuja na kamera moja ambayo nayo pia inakuja na uwezo wa Megapixel 5, huku ikiwa inasaidiwa na Flash ya LED pamoja na teknolojia ya HDR. Kamera hii pia ina uwezo wa kuchukua video za hadi 720p@30fps.
Sifa nyingine za Nokia C1 ni kama zifuatazo.
🇹🇿
Sifa za Nokia C1
🌻🌻🌻🌻
Ukubwa wa Kioo – Inch 5.45 chenye teknolojia ya IPS LCD capacitive touchscreen, chenye uwezo wa kuonyesha rangi miloni 16 pamoja na resolution ya 720 x 1440 pixels.
Mfumo wa Uendeshaji – Android 9.0 Pie (Go edition)
🌻🌻🌻🌻
Uwezo wa Processor – Quad-core 1.4 GHz.
🌻🌻🌻🌻
Aina ya Processor (Chipset) – Unisoc (28nm)
Ukubwa wa Ndani – GB 16
🌻🌻🌻🌻
Ukubwa wa RAM – GB 1.
🌻🌻🌻🌻
Uwezo wa Kamera ya Mbele – Megapixel 5.
Uwezo wa Kamera ya Nyuma – Megapixel 5.
Kamera zote zinasadiwa na Flash ya LED flash.
🌻🌻🌻🌻
Uwezo wa Battery – Battery isiyotoka ya Li-po 2500 mAh.
🌻🌻🌻🌻
Viunganishi – Wi-Fi 802.11 a/b/g/n, dual-band, WiFi Direct, hotspot, Bluetooth 4.2, A2DP, LE
na GPS ya A-GPS. USB ya micro USB 2.0, USB On-The-Go.
🌻🌻🌻🌻
Mengineyo – Inayo Radio FM, Inatumia Line Mbili za Dual SIM (Nano-SIM, dual stand-by), Inayo sehemu ya kuchomeka headphone maarufu kama Headphone jack.
🌻🌻🌻🌻
Uwezo wa Mtandao – 2G, 3G, 4G
📞📞📞
Kwa mawasiliano zaidi tupigie
0672988464 @chamomobile
#nokia #nokiac1 #nokiac2 #hatuumizani #android