1. SIMU IKIIBIWA, NINI KINAFUATA?
Wizi wa simu siyo suala la kifaa tu. Simu nyingi zimeunganishwa na kila kitu: apps za benki, wallets (kama M-Pesa/TigoPesa), emails, na mitandao ya kijamii.
Wezi huwa na mbinu za kuchukua hizi taarifa.
Wizi wa simu siyo suala la kifaa tu. Simu nyingi zimeunganishwa na kila kitu: apps za benki, wallets (kama M-Pesa/TigoPesa), emails, na mitandao ya kijamii.
Wezi huwa na mbinu za kuchukua hizi taarifa.
5. WANAVYOHACK EMAIL NA MITANDAO YA KIJAMII
Kama email haijalindwa na 2FA (Two-Factor Authentication), wanai-reset kwa kutumia SMS
Wakiingia email yako, wanaweza ku-reset passwords za apps nyingine (bank, social media, etc)
Kama email haijalindwa na 2FA (Two-Factor Authentication), wanai-reset kwa kutumia SMS
Wakiingia email yako, wanaweza ku-reset passwords za apps nyingine (bank, social media, etc)
6. WANAVYOPENYEZA MAJINA NA PICHA ZAKO
Wezi hutumia simu kuwasiliana na ndugu au marafiki ili kuomba pesa kwa jina lako.
Hii ni social engineering attack.
Wezi hutumia simu kuwasiliana na ndugu au marafiki ili kuomba pesa kwa jina lako.
Hii ni social engineering attack.
JIFUNZE KUWA NA TABIA ZA USALAMA
Usihifadhi passwords muhimu bila encryption
Usihifadhi picha za vitambulisho, ATM PIN, au namba za kadi za benki kwenye Gallery
Hakikisha backups zako zinatumia encryption
Usihifadhi passwords muhimu bila encryption
Usihifadhi picha za vitambulisho, ATM PIN, au namba za kadi za benki kwenye Gallery
Hakikisha backups zako zinatumia encryption
π1
2. WANAVYOPENYEZA ULINZI WA SIMU
SIM PIN nyingi ni rahisi kubashiri (mfano 1234, 0000)
Fingerprint/Face Unlock huibiwa pamoja na mhusika akiwa usingizini au akiwa hajitambui
Screen lock weak au haipo kabisa
Brute-force unlocking tools zinapatikana mitandaoni
SIM PIN nyingi ni rahisi kubashiri (mfano 1234, 0000)
Fingerprint/Face Unlock huibiwa pamoja na mhusika akiwa usingizini au akiwa hajitambui
Screen lock weak au haipo kabisa
Brute-force unlocking tools zinapatikana mitandaoni
TOOLS ZA KUJILINDA
Find My Device (Android) au Find My iPhone (iOS) β kusaidia kufuta simu kwa mbali
Google Authenticator β kwa 2FA
Bitwarden au 1Password β kuhifadhi passwords salama
App Lock β kufunga apps za pesa
Find My Device (Android) au Find My iPhone (iOS) β kusaidia kufuta simu kwa mbali
Google Authenticator β kwa 2FA
Bitwarden au 1Password β kuhifadhi passwords salama
App Lock β kufunga apps za pesa
4. WANAVYOPATA ACCESS KWA LINE YAKO
Wakiitoa SIM kwenye simu yako, wanaweza kuiweka kwenye nyingine
Kama haina PIN, wana access SMS zote (OTP codes, reset links)
Wanaweza kusajili SIM Swap kwa kushirikiana na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya simu
Wakiitoa SIM kwenye simu yako, wanaweza kuiweka kwenye nyingine
Kama haina PIN, wana access SMS zote (OTP codes, reset links)
Wanaweza kusajili SIM Swap kwa kushirikiana na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya simu
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Yajue mambo ambayo yamenishangaza kuhusu #tecnocamon40 kutoka @TECNO Mobile Umeipenda ipi? #tecno #simukitaa #bongo #camon40 #sanukakitaani #ijuesimuyako
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Fanya hivi uone kama umedukuliwa
KUMBUKA
Tukizungumzia remote lock (kufunga simu kwa mbali), lengo kuu si "kupata simu," bali ni kuizuia isitumike au kuibiwa taarifa zako. Hii ndiyo hali halisi
Tukizungumzia remote lock (kufunga simu kwa mbali), lengo kuu si "kupata simu," bali ni kuizuia isitumike au kuibiwa taarifa zako. Hii ndiyo hali halisi
3. Jinsi ya Kujiandaa Kabla Simu Haijapotea
Weka lock ya fingerprint / face ID / PIN.
Weka SIM card PIN.
Epuka ku-save passwords za benki bila fingerprint authentication.
Usiachie apps muhimu zikiwa na auto-login.
Weka lock ya fingerprint / face ID / PIN.
Weka SIM card PIN.
Epuka ku-save passwords za benki bila fingerprint authentication.
Usiachie apps muhimu zikiwa na auto-login.
Lakini, wezi wengi hu:
Zima simu mara moja.
Wanaondoa SIM.
Hupeleka kwa mafundi wa ku-bypass security (ingawa kwa simu mpya kama Samsung, iPhone, TECNO zenye FRP, kazi inakuwa ngumu sana).
Zima simu mara moja.
Wanaondoa SIM.
Hupeleka kwa mafundi wa ku-bypass security (ingawa kwa simu mpya kama Samsung, iPhone, TECNO zenye FRP, kazi inakuwa ngumu sana).
π Mwisho wa Siku:
Remote lock ni kinga, si dawa. Inalinda data zako, si kurudisha simu.
Remote lock ni kinga, si dawa. Inalinda data zako, si kurudisha simu.
β
Faida ya Remote Lock
Kulinda taarifa zako binafsi β Unaizuia simu kufunguliwa na mtu asiye sahihi (anahitaji PIN/Pattern/Password).
Kuzuia uhalifu wa kidijitali β Kama mtu alikuwa anataka kutumia simu yako kuingia WhatsApp, M-Pesa, T-Pesa, au benki, atashindwa.
Kulinda taarifa zako binafsi β Unaizuia simu kufunguliwa na mtu asiye sahihi (anahitaji PIN/Pattern/Password).
Kuzuia uhalifu wa kidijitali β Kama mtu alikuwa anataka kutumia simu yako kuingia WhatsApp, M-Pesa, T-Pesa, au benki, atashindwa.
Wezi wengi hujaribu ku-reset simu haraka, lakini ikiwa Find My Device / iCloud imewashwa na imefungwa kwa account yakoβhawataweza kuivunja kirahisi.