๐ Je unataka kuangalia video za #YouTube wakati unatumia apps nyingine kwenye simu za Android? Leo fahamu kuhusu app ya...
Je unataka kuangalia video za #YouTube wakati unatumia apps nyingine kwenye simu za Android? Leo fahamu kuhusu app ya Tube Floatingโ
Njia hii ni kutumia app inayokwenda kwa jina la Tube Floating. #Appsโ
โ
Soma na fahamu zaidi kwa kubofya link kwenye bio @teknokona
Je unataka kuangalia video za #YouTube wakati unatumia apps nyingine kwenye simu za Android? Leo fahamu kuhusu app ya Tube Floatingโ
Njia hii ni kutumia app inayokwenda kwa jina la Tube Floating. #Appsโ
โ
Soma na fahamu zaidi kwa kubofya link kwenye bio @teknokona
Instagram
TEKNOKONA | TEKNOLOJIA.CO.TZ
Je unataka kuangalia video za #YouTube wakati unatumia apps nyingine kwenye simu za Android? Leo fahamu kuhusu app ya Tube Floatingโ Njia hii ni kutumia app inayokwenda kwa jina la Tube Floating. #Appsโ โ Soma na fahamu zaidi kwa kubofya link kwenye bio @teknokona
fahamu keyboard bora kuwa nayo kwenye simu yako @Muron Tutorials
tunafahamu kuwa na keyboard. inayovutia kwenye simu ni jambo linalovutia asikwambie mtu . sasa leo nimekuletea keyboard moja ya kipekee sana kwa ...
https://youtube.com/watch?v=TVQ-pIQyUmI
tunafahamu kuwa na keyboard. inayovutia kwenye simu ni jambo linalovutia asikwambie mtu . sasa leo nimekuletea keyboard moja ya kipekee sana kwa ...
https://youtube.com/watch?v=TVQ-pIQyUmI
YouTube
fahamu keyboard bora kuwa nayo kwenye simu yako @Muron Tutorials
tunafahamu kuwa na keyboard. inayovutia kwenye simu ni jambo linalovutia asikwambie mtu ๐๐. sasa leo nimekuletea keyboard moja ya kipekee sana kwa mwaka 2021 ni nzuri kuwa nayo we fanya kutazama video sasa ๐๐
usisahau ku subscribe like. comment. & shareโฆ
usisahau ku subscribe like. comment. & shareโฆ
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
HAJIMURON255๐ (Instagram)
Fahamu apps zote hatarishi ambazo ziko kwenye Simu yako bila wewe kujua utaweza kujua app zote ambazo Si salama kwako daima ๐
โข app ambazo Zina ku spy mawasiliano yako
โข nani anatumia wifi yako bila wewe kujua
โข app zilizojifivha kwenye Simu yako na nk ๐
We tixama video sasa usisahau kutu follow @bongotech255 kwa maujanja mbalimbali zaidi ๐๐
#bongotech255 #spy #spyvsspy #apps #playstore #appstore
Fahamu apps zote hatarishi ambazo ziko kwenye Simu yako bila wewe kujua utaweza kujua app zote ambazo Si salama kwako daima ๐
โข app ambazo Zina ku spy mawasiliano yako
โข nani anatumia wifi yako bila wewe kujua
โข app zilizojifivha kwenye Simu yako na nk ๐
We tixama video sasa usisahau kutu follow @bongotech255 kwa maujanja mbalimbali zaidi ๐๐
#bongotech255 #spy #spyvsspy #apps #playstore #appstore
maujanja ya kutumia apps mbili Kwa wakati mmoja kwenye simu Yako โ Bongotech255
https://youtu.be/ntcaBv37Rzw 1:03
https://youtu.be/ntcaBv37Rzw 1:03
YouTube
maujanja ya kutumia apps mbili Kwa wakati mmoja kwenye simu Yako
fahamu njia rahisi ya kuweza kutumia app mbili Kwa wakati mmoja kwenye simu Yako kwani utaweza kuwa unatumia Whatsapp Muda huo huo ukawa unatumia pia YouTube au play store au app nyingine yoyote hile kwenye simu Yako Sasa.
usisahau ku subscribe likes &โฆ
usisahau ku subscribe likes &โฆ
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Tumia apps mbili Kwa wakati mmoja kwenye simu Yako
HAJIMURON255๐ (Instagram)
fahamu njia rahisi ya kuweza kutumia apps mbili Kwa wakati mmoja kwenye simu Kwa njia rahisi sana utaweza kutumia apps hizo Kwenye simu Yako
pia usisahau kupakua app inayoitwa split screen shortcut Kwenye simu Yako kama aina uwezo huo hapo juu
usisahau kutu follow kwenye page @bongotech255 Kwa maujanja mbalimbali kuhusu teknolojia Kwa lugha ya kiswahili ๐๐
subscribe kwenye chaneli yetu Kwa maujanja mengi ya Siri kwenye teknolojia
link hipo kwenye bio yetu au search YouTube #bongotech255 Sasa
#bongotech255 #fahamu #fahamuzaidi #split #screen #smartphone #tumia #apps #mbili #kwenye #simu #yako #maujanja #harmonize #ayotv #millardayoupdates #millardayosports #bongoupdatetrends #bongomitupio #bongo5updates #bongo5 #wasafitv #cloudstv #udaku #umbea #umbeaunalipa #misemo
HAJIMURON255๐ (Instagram)
fahamu njia rahisi ya kuweza kutumia apps mbili Kwa wakati mmoja kwenye simu Kwa njia rahisi sana utaweza kutumia apps hizo Kwenye simu Yako
pia usisahau kupakua app inayoitwa split screen shortcut Kwenye simu Yako kama aina uwezo huo hapo juu
usisahau kutu follow kwenye page @bongotech255 Kwa maujanja mbalimbali kuhusu teknolojia Kwa lugha ya kiswahili ๐๐
subscribe kwenye chaneli yetu Kwa maujanja mengi ya Siri kwenye teknolojia
link hipo kwenye bio yetu au search YouTube #bongotech255 Sasa
#bongotech255 #fahamu #fahamuzaidi #split #screen #smartphone #tumia #apps #mbili #kwenye #simu #yako #maujanja #harmonize #ayotv #millardayoupdates #millardayosports #bongoupdatetrends #bongomitupio #bongo5updates #bongo5 #wasafitv #cloudstv #udaku #umbea #umbeaunalipa #misemo
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
tumia simu Yako kujua tabia unazifanyaga usiku bila wewe kujua @Bongotech255
๐๐๐ฎ๐ท๐๐ฎ๐ท๐ฒ ๐ธ๐ฎ๐บ๐ฎ ๐๐๐ถ๐ธ๐ ๐๐ธ๐ถ๐น๐ฎ๐น๐ฎ ๐๐ป๐ฎ๐๐ฒ๐บ๐ฏ๐ฒ๐ฎ ๐ฎ๐ ๐ธ๐๐ฝ๐ถ๐ด๐ฎ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ ๐ธ๐ฒ๐น๐ฒ๐น๐ฒ
kwa kutumia simu Yako fahamu tabia ambazo unazifanyaga usiku ila Bila wewe kujijua ๐ yani utajua kha ukilala usiku unatembea , unapiga kelele au unakoloma.
tumia simu Yako sasa ๐.
#maujanja #simu #bongotech255 #apps
tumia simu Yako kujua tabia unazifanyaga usiku bila wewe kujua @Bongotech255
๐๐๐ฎ๐ท๐๐ฎ๐ท๐ฒ ๐ธ๐ฎ๐บ๐ฎ ๐๐๐ถ๐ธ๐ ๐๐ธ๐ถ๐น๐ฎ๐น๐ฎ ๐๐ป๐ฎ๐๐ฒ๐บ๐ฏ๐ฒ๐ฎ ๐ฎ๐ ๐ธ๐๐ฝ๐ถ๐ด๐ฎ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ ๐ธ๐ฒ๐น๐ฒ๐น๐ฒ
kwa kutumia simu Yako fahamu tabia ambazo unazifanyaga usiku ila Bila wewe kujijua ๐ yani utajua kha ukilala usiku unatembea , unapiga kelele au unakoloma.
tumia simu Yako sasa ๐.
#maujanja #simu #bongotech255 #apps
Jinsi ya kurudisha picha au video ulizozifuta kwenye simu | how to recovery deleted photo and videos โ Bongotech255
https://youtu.be/Fcv5JwmXUMU 2:33
https://youtu.be/Fcv5JwmXUMU 2:33
YouTube
Jinsi ya kurudisha picha au video ulizozifuta kwenye simu | how to recovery deleted photo and videos
#bongotech #maujanja #apps #recovery #photo #deleted #simu #teknolojia
rudisha vitu ulivyovifuta Kwa bahati mbaya kwenye simu yako Kwa njia rahisi sana utaweza kurudisha picha zako zote ambazo umepoteza kwenye kifaa chako
download hapa ๐
https://plโฆ
rudisha vitu ulivyovifuta Kwa bahati mbaya kwenye simu yako Kwa njia rahisi sana utaweza kurudisha picha zako zote ambazo umepoteza kwenye kifaa chako
download hapa ๐
https://plโฆ
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
Jinsi ya kurudisha picha au video ulizozifuta kwenye simu | how to recovery deleted photo and videos
#bongotech #maujanja #apps #recovery #photo #deleted #simu #teknolojia
rudisha vitu ulivyovifuta Kwa bahati mbaya kwenye simu yako Kwa njia rahisi sana utaweza kurudisha picha zako zote ambazo umepoteza kwenye kifaa chako
download hapa ๐
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.hd.restoreimage.photorecovery
dony forget to subscribe please support our channel
subscribe subscribe ๐
Jinsi ya kurudisha picha au video ulizozifuta kwenye simu | how to recovery deleted photo and videos
#bongotech #maujanja #apps #recovery #photo #deleted #simu #teknolojia
rudisha vitu ulivyovifuta Kwa bahati mbaya kwenye simu yako Kwa njia rahisi sana utaweza kurudisha picha zako zote ambazo umepoteza kwenye kifaa chako
download hapa ๐
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.hd.restoreimage.photorecovery
dony forget to subscribe please support our channel
subscribe subscribe ๐
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
Fanya hivi kulinda Whatsapp yako @Bongotech255
YouTube link
๐ป usisahau ku subscribe kwenye chaneli yetu
https://youtube.com/channel/UCFiobXmrLv4S6vNqF91_-NA
โซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธ
social media zetu ๐ :
1. Tik tok ๐ป https://www.tiktok.com/@UCFiobXmrLv4S6vNqF91_-NA
2. Instagram๐ป https://instagram.com/bongotech255
3. YouTube๐ป https://youtube.com/channel/UCFiobXmrLv4S6vNqF91_-NA
4. Facebook ๐ป https://Facebook.com/bongotech255
#bongo #whatsapp #tipsandtricks #bongotech255 #maujanja #apps
Fanya hivi kulinda Whatsapp yako @Bongotech255
YouTube link
๐ป usisahau ku subscribe kwenye chaneli yetu
https://youtube.com/channel/UCFiobXmrLv4S6vNqF91_-NA
โซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธโซ๏ธ
social media zetu ๐ :
1. Tik tok ๐ป https://www.tiktok.com/@UCFiobXmrLv4S6vNqF91_-NA
2. Instagram๐ป https://instagram.com/bongotech255
3. YouTube๐ป https://youtube.com/channel/UCFiobXmrLv4S6vNqF91_-NA
4. Facebook ๐ป https://Facebook.com/bongotech255
#bongo #whatsapp #tipsandtricks #bongotech255 #maujanja #apps
Amazing Apps ambazo hujawai kutumia !!
Umeshawahi kujaribu izi Apps kwenye simu yako !!!!
Mwaka 2023 mwezi wa sita Leo nakuletea app Bora za kuwa nazo kwenye simu yako watanzania wengi hawazijui !!
Tm Whatsapp
Ukisikia mchanganyiko wa Whatsapp mods kuanzia Yowhatsapp, Plus & Gb Whatsapp ni Tm Whatsapp ni app Bora sana kuwa nayo kwenye simu kwani imepakuliwa na zaidi ya watu million 10 ikiwa na maajabu mengi
โข utaweza ku freeze | pause | fake last seen
โข Ina vpn proxy kuifungua Whatsapp zilizo fungwa
โข unatuma message nyingi kwa watu wakati mmoja.
โข sleep mode(utazuia intaneti kwenye Whatsapp)
โข pia anti revoke unazuia ujumbe kufutwa kwenye Whatsapp yako nk
OTO music
Je unapenda kusikiliza kitu ikiwa na sauti ya kuvutia zaidi, basi tumia Oto music ikiwa wewe mpenzi wa kusikiliza Quran, nyimbo , injiri au kitu chochote kile kwa sauti yenye kupendeza tumia Otto
โข muundo wake ni mzuri
โข ni rafiki kila mtu anatumia
โข ni offline hivyo huitaji bando
โข unaweza soma lyrics ya kitu pia hata ku editi wewe mwenyewe nk.
Brave Private web browser
Ukiwa na hii app huko salama mtandaoni kwa asilimia 70% kwani ni ngumu kuathiliwa na virusi kwenye simu yako. Ni app nzuri sana ikiwa unapenda kupakua vitu mtandaoni.
โข iko faster kutafuta kitu ni zaidi ya Chrome , Mozilla
โข ulinzi wake ni mkubwa sana utakua salama ukitumia ivyo zile link au website hatarishi utazuiwa kuingia.
โข private browsing hakuna mtu atakayeweza kupata access ya vitu ulivyotafuta nk
goClean : Pop up ad dector
Ikiwa unahitaji kutafuta app ambayo Ina spy vitu vyako kwenye simu Basi Tumia hii ni nzuri sana kwani utajua kama Kuna app inafuatilia mambo yako bila wewe kujua kuanzia Ile spy camera pamoja na kuzuia matangazo.
1Tap cleaner (clear cache)
Je una wasiwasi na simu yako kuishiwa na nafasi basi 1Tap cleaner ni app nzuri kuwa nayo kwenye simu yako kwani inakusaidia kuongeza nafasi kupitia ku clear app zote ulizotumia ili kuipa nguvu zaidi simu kuondoa tatizo la kujaa kwa haraka zaidi.
clear apps
clear all cache file
uninstall apps nk
Ziko telegram search #bongotech255 au gusa link ๐
https://t.me/bongoTechs255
#bongotech255 #fahamuzaidi #Fahamu #Maujanja #tanzania #apps
Umeshawahi kujaribu izi Apps kwenye simu yako !!!!
Mwaka 2023 mwezi wa sita Leo nakuletea app Bora za kuwa nazo kwenye simu yako watanzania wengi hawazijui !!
Tm Whatsapp
Ukisikia mchanganyiko wa Whatsapp mods kuanzia Yowhatsapp, Plus & Gb Whatsapp ni Tm Whatsapp ni app Bora sana kuwa nayo kwenye simu kwani imepakuliwa na zaidi ya watu million 10 ikiwa na maajabu mengi
โข utaweza ku freeze | pause | fake last seen
โข Ina vpn proxy kuifungua Whatsapp zilizo fungwa
โข unatuma message nyingi kwa watu wakati mmoja.
โข sleep mode(utazuia intaneti kwenye Whatsapp)
โข pia anti revoke unazuia ujumbe kufutwa kwenye Whatsapp yako nk
OTO music
Je unapenda kusikiliza kitu ikiwa na sauti ya kuvutia zaidi, basi tumia Oto music ikiwa wewe mpenzi wa kusikiliza Quran, nyimbo , injiri au kitu chochote kile kwa sauti yenye kupendeza tumia Otto
โข muundo wake ni mzuri
โข ni rafiki kila mtu anatumia
โข ni offline hivyo huitaji bando
โข unaweza soma lyrics ya kitu pia hata ku editi wewe mwenyewe nk.
Brave Private web browser
Ukiwa na hii app huko salama mtandaoni kwa asilimia 70% kwani ni ngumu kuathiliwa na virusi kwenye simu yako. Ni app nzuri sana ikiwa unapenda kupakua vitu mtandaoni.
โข iko faster kutafuta kitu ni zaidi ya Chrome , Mozilla
โข ulinzi wake ni mkubwa sana utakua salama ukitumia ivyo zile link au website hatarishi utazuiwa kuingia.
โข private browsing hakuna mtu atakayeweza kupata access ya vitu ulivyotafuta nk
goClean : Pop up ad dector
Ikiwa unahitaji kutafuta app ambayo Ina spy vitu vyako kwenye simu Basi Tumia hii ni nzuri sana kwani utajua kama Kuna app inafuatilia mambo yako bila wewe kujua kuanzia Ile spy camera pamoja na kuzuia matangazo.
1Tap cleaner (clear cache)
Je una wasiwasi na simu yako kuishiwa na nafasi basi 1Tap cleaner ni app nzuri kuwa nayo kwenye simu yako kwani inakusaidia kuongeza nafasi kupitia ku clear app zote ulizotumia ili kuipa nguvu zaidi simu kuondoa tatizo la kujaa kwa haraka zaidi.
clear apps
clear all cache file
uninstall apps nk
Ziko telegram search #bongotech255 au gusa link ๐
https://t.me/bongoTechs255
#bongotech255 #fahamuzaidi #Fahamu #Maujanja #tanzania #apps
Telegram
BongoTech255๐ฎ๐ป
Fahamu masuala mbalimbali ya Teknolojia kwa lugha nyepesi kabisa ya kiswahili ๐
Tembelea page zetu ujifunze mengi zaidi ๐
https://bio.site/Bongotech255
Si Unajua Teknolojia ni Yetu sote โ๏ธ
Tembelea page zetu ujifunze mengi zaidi ๐
https://bio.site/Bongotech255
Si Unajua Teknolojia ni Yetu sote โ๏ธ