Teknolojia
132 subscribers
3.73K photos
4.39K videos
90 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
chamomobile - Instagram Bridge
β–Ά MAMBO USIYO YAJUA KUHUSU INFINIX S5PRO...

https://www.instagram.com/p/B-zXbD2gDHb/media?size=l

MAMBO USIYO YAJUA KUHUSU INFINIX S5PRO
Bei TSH 540,000 πŸ‡ΉπŸ‡Ώ πŸ’°πŸ’°
πŸ”₯πŸ”₯Muundo wa Infinix S5 ProπŸ”₯πŸ”₯ Infinix S5 Pro ni muonekano wake mzuri pengine kuliko simu zote za Infinix kwa mwaka uliopita. Muonekano huu ni moja kati ya muonekano wa kisasa ambao ukweli unafanya simu hii kuwa ya tofauti hasa pale unapokuwa umeishika.
πŸ”₯πŸ”₯Kioo cha Infinix S5 ProπŸ”₯πŸ”₯
Kwa upande wa kioo simu hii inakuja na kioo cha kisasa ambacho ni Full HD+ chenye ukubwa wa inch 6.53 Kioo hicho pia kime tengenezwa kwa teknolojia ya kisasa 2.5D Curved Glass, pamoja na Scratch Resistant Glass ambayo inazuia simu hiyo kupata michubuko kwenye kioo. Vilevile kioo hicho kina uwezo wa kuonyesha video za HD hadi pixel 1080.
πŸ”₯πŸ”₯Kamera ya Mbele ya Infinix S5 ProπŸ”₯πŸ”₯
Kama unavyojua matoleo ya simu ya β€œInfinix S” huwa ni matoleo maalum ambayo yanalenga zaidi upande wa kamera ya mbele (Selfie camera) na kupitia simu hii mpya ya Infinix S5 Pro Infinix imekuja na simu ambayo sio tu imetengenezwa kwa ajili ya Selfie bali pia inakuja na muonekano premium ambao pengeine ulitegeme kupatikana kwenye simu za bei ya juu. Kwa ufupi hadi sasa Infinix S5 Pro ndio simu ya bei rahisi ambayo inakuja na selfie ya Pop up camera. Kamera hii ya mbele inakuja na uwezo wa Megapixel 40. Mfumo wake wa pop mechanism umejaribiwa zaidi ya mara 150,000 hivyo usijali kuhusu kufungua na kufunga kamera hiyo mara kwa mara.
Pia kamera hiyo inakuja na teknolojia ya kugundua pale simu yako inapo anguka (Drop protection) ambayo husaidia kamera hiyo ya mbele kujirudisha ndani yenyewe pale simu yako inapo anguka. Infinix wameongeza teknolojia ya (Dust Protection) teknolojia ambayo huzuia vumbi kwenye kamera hiyo, pamoja na (Smash Protection) ambayo hurudisha ndani kamera hiyo pele itakapo hisi mgandamizo kwenye simu yako kwa namna yoyote.
πŸ”₯πŸ”₯Kamera za Nyuma za Infinix S5 ProπŸ”₯πŸ”₯
S5pro inakuja na kamera 3 ambazo zinakuja na Megapixel 48, Megapixel 2 pamoja na QVGA low light camera sensor. Kamera hizi kwa pamoja zinakuja na uwezo mkubwa sana wa kuchukua picha nzuri hasa kwako wewe mpenzi wa kamera.
SIFA ZENGINE
ANDROID 10
STORAGE 6GB RAM 128GB ROM
Battery 4000mAh
πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
#s5pro #infinixs5pro #chamomobile #dodo #alikiba #dodochallange #infinix
Teknolojia
Photo
chamomobile - Instagram Bridge
FAHAMU SIFA NA BEI YA #spark4air Tsh 230,000...

https://www.instagram.com/p/B--PpmLAsSj/media?size=l

FAHAMU SIFA NA BEI YA #spark4air Tsh 230,000
TECNO wamendelea kutoa huduma bora barani Africa kwa kutoa simu zenye sifa ukilinganisha na bei yake leo nitakueleza uzuri na ubora wa simu hii ya tecno #spark4air toleo jipya kabisa kutoka TECNO
πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–
Display (Kioo)
Tukianza kwa kutazama kioo cha simu hii
SPARK 4 Air inatumia usanifu mpya kabisa wa Skrini ya Mkato wa Nukta ya 6.1" HD+, ambao huonyesha mwonekano kamili na mwonekano wa juu zaidi zinakupatia uzoefu bora wa kuona. unaweza kuvinjari maudhui zaidi, utazamaji wa sinema na kuboresha burudani unayopenda.
πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–
CAMERA
Ikiwa na Kamera mbili za Nyuma za 13MP na Kamera ya Mbele ya 5MP, SPARK 4 inafanya vizuri kwenye upigaji picha nzuri, Kwa usaidizi wa tochi zilizojificha kwenye skrini ya mkato wa nukta, wakati huu, utakuwa unang'aa zaidi hata wakati wa usiku
πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–
MEMORY
2GB RAM + 32GB ROM , Quad-Core Processor ,
TECNO SPARK 4air imepewa uwezo mkubwa zaidi wa kuifadhi data ndani ya 32GB. Pamoja na ufanisi bora wa kutunza kumbukumbu wakati wa matumizi ya simu yako kupitia 2GB RAM itakayo fanya simu yako kutumia kwa uwepesi zaidi.
πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–
SMART FINGERPRINT
Kipengele muhimu cha ulinzi cha fingerprint katika simu kinapatik a nyuma ya simu yako kitafanya simu yako kuwa salama zaidi. Na kizuri zaidi kupitia application ya #WhatsApp_Messenger sasa kunakipengele hiki hivyo ndani ya #spark4air itakuwa raha zaidi kwa kuweka ulizi katika simu yako.
πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–
Kufungua kwa Uso 2.0 , Ufunguaji Salama Zaidi
Fungua simu yako kwa upesi kupitia "uchanganuzi wa uso". Rekodi maelezo yako ya uso, yatakuwa ndani ya SPARK 4 Air.
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ BATTERY
Kipengele hiki ndani ya simu hii ndio kipengele kikubwa zaidi na ndio kilicho ipo sifa ya bekee simu hii ya Tecno spark 4air yani unambiwa hii ni zaidi ya ile #ikijaaimejaa #hot8 #infinix kwani simu hii inakija na ujazo wa battery ya 6000mAh ambapo ndani ya simu hii kutakuwa na battery mbili moja ikiwa na uwezo wa kutoka na nyengine haitaweza kutoka namanisha πŸ˜…πŸ˜… internal na external
😍😍😍😍
NETWORK
4G, 3G, 2G Ndani ya spark 4 air halitakuwa tatizo jamani TECNO hakika wanajali soko lao

BEI
#Tsh 230,000 kutoka #chamomobile pekee
@chamomobile
Teknolojia
Photo
chamomobile - Instagram Bridge
MAMBO USIYO YAJUA KUHUSU INFINIX S5PRO...


MAMBO USIYO YAJUA KUHUSU INFINIX S5PRO
Bei TSH 540,000 πŸ‡ΉπŸ‡Ώ πŸ’°πŸ’°
πŸ”₯πŸ”₯Muundo wa Infinix S5 ProπŸ”₯πŸ”₯ Infinix S5 Pro ni muonekano wake mzuri pengine kuliko simu zote za Infinix kwa mwaka uliopita. Muonekano huu ni moja kati ya muonekano wa kisasa ambao ukweli unafanya simu hii kuwa ya tofauti hasa pale unapokuwa umeishika.
πŸ”₯πŸ”₯Kioo cha Infinix S5 ProπŸ”₯πŸ”₯
Kwa upande wa kioo simu hii inakuja na kioo cha kisasa ambacho ni Full HD+ chenye ukubwa wa inch 6.53 Kioo hicho pia kime tengenezwa kwa teknolojia ya kisasa 2.5D Curved Glass, pamoja na Scratch Resistant Glass ambayo inazuia simu hiyo kupata michubuko kwenye kioo. Vilevile kioo hicho kina uwezo wa kuonyesha video za HD hadi pixel 1080.
πŸ”₯πŸ”₯Kamera ya Mbele ya Infinix S5 ProπŸ”₯πŸ”₯
Kama unavyojua matoleo ya simu ya β€œInfinix S” huwa ni matoleo maalum ambayo yanalenga zaidi upande wa kamera ya mbele (Selfie camera) na kupitia simu hii mpya ya Infinix S5 Pro Infinix imekuja na simu ambayo sio tu imetengenezwa kwa ajili ya Selfie bali pia inakuja na muonekano premium ambao pengeine ulitegeme kupatikana kwenye simu za bei ya juu. Kwa ufupi hadi sasa Infinix S5 Pro ndio simu ya bei rahisi ambayo inakuja na selfie ya Pop up camera. Kamera hii ya mbele inakuja na uwezo wa Megapixel 40. Mfumo wake wa pop mechanism umejaribiwa zaidi ya mara 150,000 hivyo usijali kuhusu kufungua na kufunga kamera hiyo mara kwa mara.
Pia kamera hiyo inakuja na teknolojia ya kugundua pale simu yako inapo anguka (Drop protection) ambayo husaidia kamera hiyo ya mbele kujirudisha ndani yenyewe pale simu yako inapo anguka. Infinix wameongeza teknolojia ya (Dust Protection) teknolojia ambayo huzuia vumbi kwenye kamera hiyo, pamoja na (Smash Protection) ambayo hurudisha ndani kamera hiyo pele itakapo hisi mgandamizo kwenye simu yako kwa namna yoyote.
πŸ”₯πŸ”₯Kamera za Nyuma za Infinix S5 ProπŸ”₯πŸ”₯
S5pro inakuja na kamera 3 ambazo zinakuja na Megapixel 48, Megapixel 2 pamoja na QVGA low light camera sensor. Kamera hizi kwa pamoja zinakuja na uwezo mkubwa sana wa kuchukua picha nzuri hasa kwako wewe mpenzi wa kamera.
SIFA ZENGINE
ANDROID 10
STORAGE 6GB RAM 128GB ROM
Battery 4000mAh πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
#s5pro #infinixs5pro #chamomobile #dodo #alikiba #dodochallange #infinix
Teknolojia
Photo
chamomobile - Instagram Bridge
Baada ya tetesi za ujio wake siku za karibuni, hatimaye kampuni ya Infinix imezindua...

https://www.instagram.com/p/B_cU_UUAsfe/media?size=l

Baada ya tetesi za ujio wake siku za karibuni, hatimaye kampuni ya Infinix imezindua
simu mpya ya Infinix Hot 9 . Simu hii ni toleo la maboresho la simu ya Infinix Hot 8 ambayo ilizinduliwa rasmi mwaka jana 2019.
Tukianza kwa mbele, Infinix Hot 9 inakuja na kioo cha inch 6.6 kilicho tengenezwa kwa teknolojia ya IPS LCD. Kioo hicho kina kuja na uwezo wa kuonyesha picha na video zenye resolution hadi pixel 720 kwa 1600. Kwa juu ya kioo hicho kuna kamera moja ya Selfie yenye Megapixel 8 ambayo pia inauwezo wa kuchukua video za hadi 720p@30fps.
Kwa nyuma Infinix Hot 9 inakuja na kamera nne, kamera kuu ya simu hii ikiwa na uwezo wa Megapixel 13 na nyingine mbili zikiwa na uwezo wa Megapixel 2, na moja ya mwisho ikiwa na Megapixel 0.3 (VGA kamera). Kamera zote kwa pamoja zina uwezo wa kuchukua video za hadi 1080p@30fps. Ili kupiga picha vizuri hasa wakati wa usiku Infinix Hot 9 inakuja na Flash nne za LED ikiwa pamoja na teknolojia ya AI inayofanya picha kuonekana vizuri zaidi.
Kwa upande wa sifa za ndani, Infinix Hot 9 inakuja na processor ya Mediatek MT6762D Helio A25, processor inayosaidiwa na CPU yenye speed hadi Octa-core (4Γ—1.8 GHz Cortex-A53 & 4Γ—1.4 GHz Cortex-A53). Kwa pamoja simu hii inasaidiwa na RAM ya GB 3 au GB 4 kulingana na chaguo lako.
Infinix Hot 9 inakuja kwa matoleo mawili tofauti toleo la kwanza likiwa na uhifadhi wa ndani wa GB 64 na toleo la pili likiwa linakuja na uhifadhi wa ndani wa GB 32 Kama hiyo haitoshi unaweza kuongeza uhifadhi huo kwa kutumia memory card ya MicroSD Card ya hadi GB 256.
Kwa upande wa battery, Infinix Hot 9 inakuja na battery kubwa ya mAh 5,000, battery ambayo ina uwezekano mkubwa wa kufikisha siku nzima bila kuchaji simu yako. Mbali na hayo simu hii ni moja kati ya simu nyingi za Infinix zenye teknolojia ya Fast Charging hadi walt 10 kwa chaji.
πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
BEI YA SIMU HII
KWA TOLEO LA 32GB NI TSH 325,000
TOLEO LA 64GB NI TSH 350,000
πŸ“žπŸ“žπŸ“ž
0672988464
#Infinixnote7lite #infinix #infinixhot9 #infinixhot #chamomobile
chamomobile - Instagram Bridge
β–Ά Jiandae na Infinix NOTE 7 Hapa Nchini Tanzania (Bigi Makini)...

https://www.instagram.com/p/B_qPz0PARks/media?size=l

Jiandae na Infinix NOTE 7 Hapa Nchini Tanzania (Bigi Makini)
Kampuni pendwa ya simu Tanzania, Infinix Mobility iko mbioni kuleta simu yenye hadhi ya juu Infinix NOTE 7 na kupewa jina la BIGI MAKINI kutokana na kioo chake kuwa na size kubwa 6.95 inch na uwezo mkubwa wa camera 48MP na processor ya G70 kutoka Mediatek.
Processor yenye speed ya G70 inauwezo mkubwa wenye kuwezesha matumizi mbali mbali kwa wakati mmoja bila kuchoka, NOTE 7 inatumia OS mpya kutoka Google, Android 10. Simu hii haitazinduliwa rasmi kama utaratibu wao ulivyozoeleka lakini kupitia mitandao yao ya kijamii @infinixmobiletz wameeleza sifa na umaradufu wa simu hii. Yawezekana kuwa ndiyo simu bora zaidi ya Infinix kutoka mwaka huu.
β€œVile vile tunawashukuru wa Tanzania kuipokea vyema Infinix NOTE 7 Lite, iliyoingia sokoni katika ya mwezi huu wa April. Infinix NOTE 7 ni simu inayoweza kumsaidia mfanyakazi katika shughuli zake za kila siku kwani inaweza kutunza kumbukumbu kupitia 64GB na RAM ya 4GB , pia kuna sifa nyingine kama Document Scanning ambazo huitaji kupakua app ya ziada. Tumeunganisha Teknolojia ya kisasa zaidi ili kuwanufaisha wateja wetu. Pamoja na sifa zote za simu hii, tumeweka bei ya kawaida kwa mtanzania mwenye kipato cha kati” Aisha Karupa, Afisa Mahusiano.

Endelea kutembelea page yetu @chamomobile ili kupata taarifa zaidi #bigimakini #note7 #infinix #Infinixnote7lite #infinixnote7
Teknolojia
Photo
chamomobile - Instagram Bridge
MAMBO USIYO YAJUA KUHUSU INFINIX S5PRO...

https://www.instagram.com/p/B_0AJHwASel/media?size=l

MAMBO USIYO YAJUA KUHUSU INFINIX S5PRO
Bei TSH 540,000 πŸ‡ΉπŸ‡Ώ πŸ’°πŸ’°
πŸ”₯πŸ”₯Muundo wa Infinix S5 ProπŸ”₯πŸ”₯ Infinix S5 Pro ni muonekano wake mzuri pengine kuliko simu zote za Infinix kwa mwaka uliopita. Muonekano huu ni moja kati ya muonekano wa kisasa ambao ukweli unafanya simu hii kuwa ya tofauti hasa pale unapokuwa umeishika.
πŸ”₯πŸ”₯Kioo cha Infinix S5 ProπŸ”₯πŸ”₯
Kwa upande wa kioo simu hii inakuja na kioo cha kisasa ambacho ni Full HD+ chenye ukubwa wa inch 6.53 Kioo hicho pia kime tengenezwa kwa teknolojia ya kisasa 2.5D Curved Glass, pamoja na Scratch Resistant Glass ambayo inazuia simu hiyo kupata michubuko kwenye kioo. Vilevile kioo hicho kina uwezo wa kuonyesha video za HD hadi pixel 1080.
πŸ”₯πŸ”₯Kamera ya Mbele ya Infinix S5 ProπŸ”₯πŸ”₯
Kama unavyojua matoleo ya simu ya β€œInfinix S” huwa ni matoleo maalum ambayo yanalenga zaidi upande wa kamera ya mbele (Selfie camera) na kupitia simu hii mpya ya Infinix S5 Pro Infinix imekuja na simu ambayo sio tu imetengenezwa kwa ajili ya Selfie bali pia inakuja na muonekano premium ambao pengeine ulitegeme kupatikana kwenye simu za bei ya juu. Kwa ufupi hadi sasa Infinix S5 Pro ndio simu ya bei rahisi ambayo inakuja na selfie ya Pop up camera. Kamera hii ya mbele inakuja na uwezo wa Megapixel 40. Mfumo wake wa pop mechanism umejaribiwa zaidi ya mara 150,000 hivyo usijali kuhusu kufungua na kufunga kamera hiyo mara kwa mara.
Pia kamera hiyo inakuja na teknolojia ya kugundua pale simu yako inapo anguka (Drop protection) ambayo husaidia kamera hiyo ya mbele kujirudisha ndani yenyewe pale simu yako inapo anguka. Infinix wameongeza teknolojia ya (Dust Protection) teknolojia ambayo huzuia vumbi kwenye kamera hiyo, pamoja na (Smash Protection) ambayo hurudisha ndani kamera hiyo pele itakapo hisi mgandamizo kwenye simu yako kwa namna yoyote.
πŸ”₯πŸ”₯Kamera za Nyuma za Infinix S5 ProπŸ”₯πŸ”₯
S5pro inakuja na kamera 3 ambazo zinakuja na Megapixel 48, Megapixel 2 pamoja na QVGA low light camera sensor. Kamera hizi kwa pamoja zinakuja na uwezo mkubwa sana wa kuchukua picha nzuri hasa kwako wewe mpenzi wa kamera.
SIFA ZENGINE
ANDROID 10
STORAGE 6GB RAM 128GB ROM
Battery 4000mAh πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
#s5pro #infinixs5pro #chamomobile #dodo #alikiba #dodochallange #infinix
Teknolojia
Photo
chamomobile - Instagram Bridge
FAHAMU SIFA NA BEI YA #spark4air Tsh 225,000...

https://www.instagram.com/p/B_4GRNMgYgY/media?size=l

FAHAMU SIFA NA BEI YA #spark4air Tsh 225,000
TECNO wamendelea kutoa huduma bora barani Africa kwa kutoa simu zenye sifa ukilinganisha na bei yake leo nitakueleza uzuri na ubora wa simu hii ya tecno #spark4air toleo jipya kabisa kutoka TECNO
πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–
Display (Kioo)
Tukianza kwa kutazama kioo cha simu hii
SPARK 4 Air inatumia usanifu mpya kabisa wa Skrini ya Mkato wa Nukta ya 6.1" HD+, ambao huonyesha mwonekano kamili na mwonekano wa juu zaidi zinakupatia uzoefu bora wa kuona. unaweza kuvinjari maudhui zaidi, utazamaji wa sinema na kuboresha burudani unayopenda.
πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–
CAMERA
Ikiwa na Kamera mbili za Nyuma za 13MP na Kamera ya Mbele ya 5MP, SPARK 4 inafanya vizuri kwenye upigaji picha nzuri, Kwa usaidizi wa tochi zilizojificha kwenye skrini ya mkato wa nukta, wakati huu, utakuwa unang'aa zaidi hata wakati wa usiku
πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–
MEMORY
2GB RAM + 32GB ROM , Quad-Core Processor ,
TECNO SPARK 4air imepewa uwezo mkubwa zaidi wa kuifadhi data ndani ya 32GB. Pamoja na ufanisi bora wa kutunza kumbukumbu wakati wa matumizi ya simu yako kupitia 2GB RAM itakayo fanya simu yako kutumia kwa uwepesi zaidi.
πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–
SMART FINGERPRINT
Kipengele muhimu cha ulinzi cha fingerprint katika simu kinapatik a nyuma ya simu yako kitafanya simu yako kuwa salama zaidi. Na kizuri zaidi kupitia application ya #WhatsApp_Messenger sasa kunakipengele hiki hivyo ndani ya #spark4air itakuwa raha zaidi kwa kuweka ulizi katika simu yako.
πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–πŸš–
Kufungua kwa Uso 2.0 , Ufunguaji Salama Zaidi
Fungua simu yako kwa upesi kupitia "uchanganuzi wa uso". Rekodi maelezo yako ya uso, yatakuwa ndani ya SPARK 4 Air.
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ BATTERY
Kipengele hiki ndani ya simu hii ndio kipengele kikubwa zaidi na ndio kilicho ipo sifa ya bekee simu hii ya Tecno spark 4air yani unambiwa hii ni zaidi ya ile #ikijaaimejaa #hot8 #infinix kwani simu hii inakija na ujazo wa battery ya 6000mAh ambapo ndani ya simu hii kutakuwa na battery mbili moja ikiwa na uwezo wa kutoka na nyengine haitaweza kutoka namanisha πŸ˜…πŸ˜… internal na external
😍😍😍😍
NETWORK
4G, 3G, 2G Ndani ya spark 4 air halitakuwa tatizo jamani TECNO hakika wanajali soko lao

BEI
#Tsh 230,000 kutoka #chamomobile pekee
@chamomobile
Teknolojia
Photo
chamomobile - Instagram Bridge
#INFINIXHOT9. 🌹🌹🌹...


#INFINIXHOT9. 🌹🌹🌹
32GB NI TSH 325,000
TOLEO LA 64GB NI TSH 350,000
Baada ya tetesi za ujio wake siku za karibuni, hatimaye kampuni ya Infinix imezindua
simu mpya ya Infinix Hot 9 . Simu hii ni toleo la maboresho la simu ya Infinix Hot 8 ambayo ilizinduliwa rasmi mwaka jana 2019.
Tukianza kwa mbele, Infinix Hot 9 inakuja na kioo cha inch 6.6 kilicho tengenezwa kwa teknolojia ya IPS LCD. Kioo hicho kina kuja na uwezo wa kuonyesha picha na video zenye resolution hadi pixel 720 kwa 1600. Kwa juu ya kioo hicho kuna kamera moja ya Selfie yenye Megapixel 8 ambayo pia inauwezo wa kuchukua video za hadi 720p@30fps.
Kwa nyuma Infinix Hot 9 inakuja na kamera nne, kamera kuu ya simu hii ikiwa na uwezo wa Megapixel 13 na 16MP kwa toleo la GB 64 na nyingine mbili zikiwa na uwezo wa Megapixel 2, na moja ya mwisho ikiwa na Megapixel 0.3 (VGA kamera). Kamera zote kwa pamoja zina uwezo wa kuchukua video za hadi 1080p@30fps. Ili kupiga picha vizuri hasa wakati wa usiku Infinix Hot 9 inakuja na Flash nne za LED ikiwa pamoja na teknolojia ya AI inayofanya picha kuonekana vizuri zaidi.
Kwa upande wa sifa za ndani, Infinix Hot 9 inakuja na processor ya Mediatek MT6762D Helio A25, processor inayosaidiwa na CPU yenye speed hadi Octa-core (4Γ—1.8 GHz Cortex-A53 & 4Γ—1.4 GHz Cortex-A53). Kwa pamoja simu hii inasaidiwa na RAM ya GB 3 au GB 4 kulingana na chaguo lako.
Infinix Hot 9 inakuja kwa matoleo mawili tofauti toleo la kwanza likiwa na uhifadhi wa ndani wa GB 64 na toleo la pili likiwa linakuja na uhifadhi wa ndani wa GB 32 Kama hiyo haitoshi unaweza kuongeza uhifadhi huo kwa kutumia memory card ya MicroSD Card ya hadi GB 256.
Kwa upande wa battery, Infinix Hot 9 inakuja na battery kubwa ya mAh 5,000, battery ambayo ina uwezekano mkubwa wa kufikisha siku nzima bila kuchaji simu yako. Mbali na hayo simu hii ni moja kati ya simu nyingi za Infinix zenye teknolojia ya Fast Charging hadi walt 10 kwa chaji.
πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
BEI YA SIMU HII
KWA TOLEO LA 32GB NI TSH 325,000
TOLEO LA 64GB NI TSH 350,000
πŸ“žπŸ“žπŸ“ž
0672988464
#Infinixnote7lite #infinix #infinixhot9 #infinixhot #chamomobile
Teknolojia
Photo
chamomobile - Instagram Bridge
Tsh 390,000 πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Infinix NOTE 7 ni simu yenye sifa lukuki zenye kuvutia kuanzia umbo lake kubwa lenye upana wa...

https://www.instagram.com/p/CADGOUOA6EM/media?size=l

Tsh 390,000 πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Infinix NOTE 7 ni simu yenye sifa lukuki zenye kuvutia kuanzia umbo lake kubwa lenye upana wa kioo cha nchi 6.6 na megapixel 48 kamera pamoja na kasi ya processor aina ya MediaTek Helio G70.
Processor ya G70 inakasi kubwa yenye kuwezesha matumizi mbalimbali ya kiofisi na yasiyo yaki ofisi kama vile games zinazohitaji speed kubwa bila kuchoka na miongoni mwa sifa nyengine za Infinix NOTE 7 ni uwezo wa kukaa na chaji kwa muda mrefu pasipo uhitaji wa kuichaji kwa muda mwingi kutokana na uwezo mkubwa wa battery yenye mAh 5000 na teknolojia ya fast charge.
Sifa yingine zenye kuifanya Infinix NOTE 7 kuwa simu yako bora kwa mwaka huu wa 2020 ni ukubwa wa memory ya GB 64 ROM + 4GB RAM.
KARIBU CHAMOMOBILE πŸ”₯
#staysafe #stayhome #chamomobile #tutafika #hatuumizani #covid_19 😷😷 ni hatari #not7lite #Infinixnote7lite #infinix
Teknolojia
Photo
chamomobile - Instagram Bridge
Tsh 440,000 & ...

https://www.instagram.com/p/CAJ53AvA9Lc/media?size=l

Tsh 440,000 &
BEI 545,000 128GB πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ I
nfinix NOTE 7 ni simu yenye sifa lukuki zenye kuvutia kuanzia umbo lake kubwa lenye upana wa kioo cha nchi 6.9 na megapixel 48 kamera pamoja na kasi ya processor aina ya MediaTek Helio G70.
Processor ya G70 inakasi kubwa yenye kuwezesha matumizi mbalimbali ya kiofisi na yasiyo yaki ofisi kama vile games zinazohitaji speed kubwa bila kuchoka na miongoni mwa sifa nyengine za Infinix NOTE 7 ni uwezo wa kukaa na chaji kwa muda mrefu pasipo uhitaji wa kuichaji kwa muda mwingi kutokana na uwezo mkubwa wa battery yenye mAh 5000 na teknolojia ya fast charge.
Sifa yingine zenye kuifanya Infinix NOTE 7 kuwa simu yako bora kwa mwaka huu wa 2020 ni ukubwa wa memory ya GB 64 ROM + 4GB RAM. Na toleo la 128GB na RAM 6GB
KARIBU CHAMOMOBILE πŸ”₯
TUPIGIE KUPITIA NAMBA
πŸ“ž 0672988464
#staysafe #stayhome #chamomobile #tutafika #hatuumizani #covid_19 😷😷 ni hatari #not7lite #Infinixnote7lite #infinix
chamomobile - Instagram Bridge
#INFINIXHOT9. 🌹🌹🌹...


#INFINIXHOT9. 🌹🌹🌹
32GB NI TSH 320,000
TOLEO LA 64GB NI TSH 350,000
Baada ya tetesi za ujio wake siku za karibuni, hatimaye kampuni ya Infinix imezindua
simu mpya ya Infinix Hot 9 . Simu hii ni toleo la maboresho la simu ya Infinix Hot 8 ambayo ilizinduliwa rasmi mwaka jana 2019Tukianza kwa mbele, Infinix Hot 9 inakuja na kioo cha inch 6.6 kilicho tengenezwa kwa teknolojia ya IPS LCD. Kioo hicho kina kuja na uwezo wa kuonyesha picha na video zenye resolution hadi pixel 720 kwa 1600. Kwa juu ya kioo hicho kuna kamera moja ya Selfie yenye Megapixel 8 ambayo pia inauwezo wa kuchukua video za hadi 720p@30fpsKwa nyuma Infinix Hot 9 inakuja na kamera nne, kamera kuu ya simu hii ikiwa na uwezo wa Megapixel 13 na 16MP kwa toleo la GB 64 na nyingine mbili zikiwa na uwezo wa Megapixel 2, na moja ya mwisho ikiwa na Megapixel 0.3 (VGA kamera). Kamera zote kwa pamoja zina uwezo wa kuchukua video za hadi 1080p@30fps. Ili kupiga picha vizuri hasa wakati wa usiku Infinix Hot 9 inakuja na Flash nne za LED ikiwa pamoja na teknolojia ya AI inayofanya picha kuonekana vizuri zaidiKwa upande wa sifa za ndani, Infinix Hot 9 inakuja na processor ya Mediatek MT6762D Helio A25, processor inayosaidiwa na CPU yenye speed hadi Octa-core (4Γ—1.8 GHz Cortex-A53 & 4Γ—1.4 GHz Cortex-A53). Kwa pamoja simu hii inasaidiwa na RAM ya GB 3 au GB 4 kulingana na chaguo lakoInfinix Hot 9 inakuja kwa matoleo mawili tofauti toleo la kwanza likiwa na uhifadhi wa ndani wa GB 64 na toleo la pili likiwa linakuja na uhifadhi wa ndani wa GB 32 Kama hiyo haitoshi unaweza kuongeza uhifadhi huo kwa kutumia memory card ya MicroSD Card ya hadi GB 256Kwa upande wa battery, Infinix Hot 9 inakuja na battery kubwa ya mAh 5,000, battery ambayo ina uwezekano mkubwa wa kufikisha siku nzima bila kuchaji simu yako. Mbali na hayo simu hii ni moja kati ya simu nyingi za Infinix zenye teknolojia ya Fast Charging hadi walt 10 kwa chajiπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
BEI YA SIMU HII
KWA TOLEO LA 32GB NI TSH 325,000
TOLEO LA 64GB NI TSH 350,000
πŸ“žπŸ“žπŸ“ž
0672988464
#Infinixnote7lite #infinix #infinixhot9 #infinixhot #chamomobile"
chamomobile - Instagram Bridge
#Infinix #Smart4 Tsh 230,000 #chamomobile ...

#Infinix #Smart4 Tsh 230,000 #chamomobile
SIFA
Kioo cha 6.6
πŸ”₯
Battery 4000mAh
πŸ”₯
4G support
πŸ”₯
16GB+ 1GB RAM
πŸ“ž
0672988464
🌻 AGIZA TUKUFIKISHIE BIDHAA YAKO KWA UWAMINIFU MKUBWA KARIBUNI β™₯️🌹 KUMBUKA TUNALETA BIDHAA NDANI YA MKOA WA DAR BURE NA MIKOANI TUNATUMA
#infinixsmart4 #smart4 #infinix #infinixhot8 #infinixhot9 #infinixs5pro #infinixnote7
chamomobile - Instagram Bridge
Samsung Galaxy A31. Brand New, Sealed with full box 🦁🦁...




Samsung Galaxy A31. Brand New, Sealed with full box 🦁🦁
Storage: 128GB
RAM: 4GB
🌻🌻🌻
BatteryπŸ”‹: 5000mAh
🌻🌻🌻
CameraπŸ“·: Quad Cameras 48mp+8mp+5mp+5mp
Selfie 🀳: 20mp
🌻🌻🌻
Display: 6.4 inches Super AMOLED
🌻🌻🌻
Network πŸ“Ά: 4G
🌻🌻🌻
OS: Android 10 with one UI 2.0
Fingerprint on screen
🌻🌻🌻
TSh. 640,000/=
Free delivery in Dar
0672988464
😍😍😍
#mobile #smart #phone #smartphone #samsung #galaxy #a31 #sale #cheap #phones #cheapphones #photooftheday #corona #galaxya31 #mobilephone #apple #iphone #tecno #vivo #infinix #photography #discount #tiktok #tiktoktanzania #camera #battery #pichazasimu #samsunggalaxy #samsunggalaxya31 #withgalaxy"
chamomobile - Instagram Bridge
Samsung Galaxy A31. Brand New, Sealed with full box 🦁🦁...




Samsung Galaxy A31. Brand New, Sealed with full box 🦁🦁
Storage: 128GB
RAM: 4GB
🌻🌻🌻
BatteryπŸ”‹: 5000mAh
🌻🌻🌻
CameraπŸ“·: Quad Cameras 48mp+8mp+5mp+5mp
Selfie 🀳: 20mp
🌻🌻🌻
Display: 6.4 inches Super AMOLED
🌻🌻🌻
Network πŸ“Ά: 4G
🌻🌻🌻
OS: Android 10 with one UI 2.0
Fingerprint on screen
🌻🌻🌻
TSh. 640,000/=
Free delivery in Dar
0672988464
😍😍😍
#mobile #smart #phone #smartphone #samsung #galaxy #a31 #sale #cheap #phones #cheapphones #photooftheday #corona #galaxya31 #mobilephone #apple #iphone #tecno #vivo #infinix #photography #discount #tiktok #tiktoktanzania #camera #battery #pichazasimu #samsunggalaxy #samsunggalaxya31 #withgalaxy"
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Infinix Zero X Pro | Fahamu sifa na Bei yake
DISPLAY
Size: 6.67 inches

Display Type: AMOLED, 120Hz, 700 nits

Resolutions: 1080 x 2400 pixels.

CAMERAS:
Triple on rear with 108MP+8MP+8MP
Single selfie with 16MP

CAPACITY:
OS: Android 11, XOS 7.6
Chipset: Mediatek Helio G95 (12 nm)

CPU: Octa-core (2x2.05 GHz Cortex-A76 & 6x2.0 GHz Cortex-A55)

RAM: 8GB & Storage: 128GB

BATTERY

Type: Li-Po with 4500 mAh, Non removable battery

#poatel #infinix #ZeroXPro
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
γ€½οΈŽ Teknolojia

MAPINDUZI YA CHARGE KATIKA SIMU ZA INFINIX NOTE 40PRO (All Round Fast Charge 2.0)
Ifahamu simu ya #infinixnote40pro

Fahamu teknolojia zote muhimu hii ikiwa ni pamoja na teknolojia ya kuchaji kwa uharaka (All Round Fast Charge 2.0).

#Simu #Smartphone #infinix
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
γ€½οΈŽ Teknolojia

MAPINDUZI YA KUCHAJI KATIKA SIMU ZA INFINIX NOTE 40 PRO (All Round Fast Charge 2.0)
Ifahamu simu ya #infinixnote40pro

Fahamu teknolojia zote muhimu hii ikiwa ni pamoja na teknolojia ya kuchaji kwa uharaka (All Round Fast Charge 2.0).

#Simu #Smartphone #infinix #Uchambuzi #Review
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
γ€½οΈŽ Teknolojia

MAPINDUZI YA KUCHAJI KATIKA SIMU ZA INFINIX NOTE 40 PRO (All Round Fast Charge 2.0)
Ifahamu simu ya #infinixnote40pro

Fahamu teknolojia zote muhimu hii ikiwa ni pamoja na teknolojia ya kuchaji kwa uharaka (All Round Fast Charge 2.0).

#Simu #Smartphone #infinix #Uchambuzi #Review