Teknolojia
139 subscribers
3.87K photos
5.6K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli 👋
Download Telegram
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

MAMBO 10 USIYOFAHAMU KUHUSU JAMES BOND
#Jamesbond #2021movies
James bond ni moja ya filamu za mfululizo maarufu zaidi duniani,kabla hatujafika mbali, tambua kuwa filamu za Bond zimejikita kwenye riwaya ya mtunzi na mwandishi Ian Fleming, ambae toleo la kwanza la kitabu chake kumhusu jasusi aliyempa jina la James bond lilitolewa mwaka 1953...Kwenye filamu, James bond alianza kuonekana tangu miaka ya 60 na uhusika huo umechezwa na waigizaji 7,Sean Connery,David Niven, George Lazenby, Roger Moore, Timothy Dalton, Pierce Brosnan, na Daniel Craig.

0:00​ | Introduction
1:04​ | Wadhifa wa James Bond
1:44 | Historia ya James bond
2:30​ | Movie ya kwanza ya Daniel Craig
3:19 | Kwanini James Bond inabadilisha waigizaji?
4:07 | Kwanini Pierce Brosnan alifukuzwa kutoka Bond?
4:48​ | Daniel Craig alikosolewa sana
5:32​ | Filamu za Craig,Quantum of Solace,skyfall,na S ...
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Tanzania Communications Regulatory Authority on Facebook Watch
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Kuelekea Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2021 - Chato, Geita.

Kauli Mbiu: “Tehama ni Msingi wa Taifa Endelevu; Itumike kwa Usahihi na...
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) tunaungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Watanzania wote katika kuadhimisha Miaka 22 ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwl. julius K. Nyerere.

#nyerereday
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Infinix Zero X | Fahamu sifa na Bei yake
Key Specifications:

DISPLAY:
Size: 6.67 inches

Display Type: AMOLED, 120Hz, 700 nits

Resolutions: 1080 x 2400 pixels.

CAPACITY:
OS: Android 11, XOS 7.6
Chipset: Mediatek Helio G95 (12 nm)

CPU: Octa-core (2x2.05 GHz Cortex-A76 & 6x2.0 GHz Cortex-A55)

RAM: 8GB & Storage: 128GB

BATTERY:
Type: Li-Po with 4500 mAh, Non removable battery

PRICE:
TSH 750,000/=
KSH 36,115
Hamis (Telegram)

Fahamu kuhusu Digital Footprint
InstantView from Source
Hamis (Telegram)

Jumuiya ya Ulaya Kulazimisha Chaji za USB-C kwa simu zote
InstantView from Source
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Tanzania Communications Regulatory Authority on Facebook Watch
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

BAMBO LA MTAA ALHAMISI HII 14/10/2021🔥🔥

Usikose kufuatilia kipindi cha Bambo la Mtaa kupitia chaneli ya Clouds TV ifikapo saa mbili na nusu (2:30) usiku…
Hamis (Telegram)

Jumuiya ya Ulaya Kulazimisha Chaji za USB-C kwa simu zote
InstantView from Source