Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)
Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) tunaungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Watanzania wote katika kuadhimisha Miaka 22 ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwl. julius K. Nyerere.
#nyerereday
Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) tunaungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Watanzania wote katika kuadhimisha Miaka 22 ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwl. julius K. Nyerere.
#nyerereday