Teknolojia
139 subscribers
3.87K photos
5.6K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli ๐Ÿ‘‹
Download Telegram
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeshiriki katika Mkutano wa pili wa Bodi ya Wasanifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) uliofunguliwa rasmi tarehe 07/10/2021 na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa katika Ukumbi wa Mikutano wa AICC Jijini Arusha. TCRA imeshiriki kama mdau kwa kuweka banda la huduma kwa mteja na kutoa huduma kwa wadau waliofika kwenye viwanja vya AICC. Mkutano wa AQRB umehitimishwa rasmi leo tarehe 08/09/2021 na katibu Tawala Mkoa wa Arusha Dkt. Athuman Kihamia.
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Usikose kufuatilia maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani mubashara kutoka Dodoma kupitia chaneli ya YouTube ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuanzia saa tatu kamili (3:00) asubuhi.
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Bofya link https://youtu.be/OX3HLVGdXgA kufuatilia maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani mubashara kutoka Dodoma kwenye ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, kupitia chaneli ya YouTube ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

SIMU YAKO BORA IPI HAPO

Je simu ipi Bora Kati ya INFINIX ZERO X PRO VS SAMSUNG A72 mie nitazungumzia kamera pamoja na uwezo wa lens๐ŸŽฏ

Infinix ZERO X PRO imekuja na

Kamera nzuri na kali yenye uwezo mkubwa ya 108MP (wide) + 8MP(periscope telephoto) + 8MP(ultrawide), muunganiko huu unakuwezesha kupiga picha za mwezini ukiwa kwenye uso wa dunia.

kwa maana ina 60x zooming capacity kuifanya simu hii kuwa simu ya kwanza kuweza kupiga picha za mwezi ukiwa kwenye uso wa dunia sio poa.

Tunawajua Samsung ni Moja ya kampuni kongwe kwenye game na wanatoa vitu vizuri.

Kwa upande wa Samsung Galaxy A72 imekuja na

Kamera yenye uwezo wa mkubwa ya 64mp + 8 (telescope) + 12( ultrawide ) + 5 (macro) huku video yake ni 2160p/30 fps uwezo wa kupiga picha zenye muhonekano wa kupendeza zaidi

Kwa maana ya 30x zooming lens capacity yenye uwez...

View original post
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

๐—œ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚

unajua mtu ukiwa unapenda sana simu ujue ni ugonjwa, kwani inaweza kuwa ishara Moja wapo ya kutokuwa na afya njema.

Kupitia tovuti ya addictiontips.net wametuletea ishara ambazo ukiwa nazo hizi ujue wewe una ugonjwa wa kupenda sana simu ๐Ÿ‘‡

1๏ธโƒฃ kushika simu mkononi mda mwingi
mara nyingi watu wanaopenda sana simu zao kuzishika kupita kiasi kwamba hawawezi kuwa nayo mbali yani mtu akikaa mbali na simu yake hujihisi ni mgonjwa.

Watu ambao waathiliwa wa hivi Huwa utawaona tu mda wote yeye ana chart masaa 24 , kupiga simu nk.

2๏ธโƒฃ kuwa na wasiwasi wa kupoteza au kuibiwa simu

unajua kuwa na wasiwasi ni muhimu ila ikipitiliza ni ugonjwa kwani mtu anakua na wasiwasi sana kiasi kwamba asipokua na simu karibu ๐Ÿ˜€ wacha aanze kuitafuta ila ni muhimu kujich...

View original post
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

KWANINI PETE YA NDOA HUVALISHWA KIDOLE CHA NNE?
"Je! Pete ya ndoa inavalishwa kwenye kidole gani?" Najua jibu la swali hilo sote tunajua right? ni mkono wa kushoto katka kidole cha pete,yaani kidole cha nne kutoka upande wa kidole gumba.Well Katika video hii fupi tunakwenda kuangalia kwanini pete huvishwa katika kidole hicho cha nne na huo utamdaduni ulianzia wapi na lini?