bongotech255 - ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ ni moja wa mtandaoni unaotumiwa...
bongotech255 - Home | Facebook
๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ ni moja wa mtandaoni unaotumiwa sana na watu wengi ulimwenguni kwa kuwasiliana kwa njia ya ujumbe, picha , videos , sticker nk unajulikana kama mtandao salama.
Lakini sio kila mtumiaji wa Whatsapp yuko Yuko salama!! Watu wengi wamekua wakilalamika kupata matukio ya kuzuiwa kutumia WhatsApp either kwa kujua au kutokujua. Kuna kitu kinaitwa Whatsapp banned ? Je ni kitu gani ? ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ ๐ฏ๐ฎ๐ป๐ป๐ฒ๐ฑ ? Ni ujumbe unaotokea kwenye akaunti yako ya Whatsapp, mtu kuzuiliwa kutumia mtandao huo baada ya kuvunja Sheria na sera mbalimbali za huo mtandao. Ikitokea mtu amezuiliwa kutumia WhatsApp kuna ujumbe unatoke...
View original post
bongotech255 - Home | Facebook
๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ ni moja wa mtandaoni unaotumiwa sana na watu wengi ulimwenguni kwa kuwasiliana kwa njia ya ujumbe, picha , videos , sticker nk unajulikana kama mtandao salama.
Lakini sio kila mtumiaji wa Whatsapp yuko Yuko salama!! Watu wengi wamekua wakilalamika kupata matukio ya kuzuiwa kutumia WhatsApp either kwa kujua au kutokujua. Kuna kitu kinaitwa Whatsapp banned ? Je ni kitu gani ? ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ ๐ฏ๐ฎ๐ป๐ป๐ฒ๐ฑ ? Ni ujumbe unaotokea kwenye akaunti yako ya Whatsapp, mtu kuzuiliwa kutumia mtandao huo baada ya kuvunja Sheria na sera mbalimbali za huo mtandao. Ikitokea mtu amezuiliwa kutumia WhatsApp kuna ujumbe unatoke...
View original post
Namna ya kuondoa tatizo kama simu yako inasumbua au haikubali kuunganishwa na kompyuta.
InstantView from Source
InstantView from Source
Telegraph
Namna ya kuondoa tatizo kama simu yako inasumbua au haikubali kuunganishwa na kompyuta.
1. Angalia Mipangilio/settings za USB (Check USB computer connection settings).
bongotech255 - Teknolojia inaenda Kasi Sana ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ...
bongotech255 - Home | Facebook
Teknolojia inaenda Kasi Sana ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ wameweka feature nzuri Sana ya kuweza kutumia Whatsapp kwenye nchi zilizo zuiwa kutumia intaneti.
Labda Eneo uliopo ๐๐ฒ๐ฟ๐ถ๐ธ๐ฎ๐น๐ถ ๐๐ฎ๐บ๐ฒ๐๐๐ถ๐ฎ ๐บ๐๐ kutumia Whatsapp , kutokana na sababu zao lakini kampuni ya meta wameamua kuleta feature ya kutumia Whatsapp maeneo ambayo akuna access ya intaneti kupitia proxy seva. ๐ฃ๐ฟ๐ผ๐ ๐ inakua kama daraja ambalo linamsaidia mtumiaji kutumia intaneti kupitia Seva kwenye maeneo ambayo akuna mtandao ( mtandao umezuiliwa). Proxy Seva inaweza kutumiwa na mtu mmoja au taasisi ulimwenguni kote. Mfumo huu unamsaidia mtu kutumia intaneti hata...
View original post
bongotech255 - Home | Facebook
Teknolojia inaenda Kasi Sana ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ wameweka feature nzuri Sana ya kuweza kutumia Whatsapp kwenye nchi zilizo zuiwa kutumia intaneti.
Labda Eneo uliopo ๐๐ฒ๐ฟ๐ถ๐ธ๐ฎ๐น๐ถ ๐๐ฎ๐บ๐ฒ๐๐๐ถ๐ฎ ๐บ๐๐ kutumia Whatsapp , kutokana na sababu zao lakini kampuni ya meta wameamua kuleta feature ya kutumia Whatsapp maeneo ambayo akuna access ya intaneti kupitia proxy seva. ๐ฃ๐ฟ๐ผ๐ ๐ inakua kama daraja ambalo linamsaidia mtumiaji kutumia intaneti kupitia Seva kwenye maeneo ambayo akuna mtandao ( mtandao umezuiliwa). Proxy Seva inaweza kutumiwa na mtu mmoja au taasisi ulimwenguni kote. Mfumo huu unamsaidia mtu kutumia intaneti hata...
View original post
bongotech255 - Kama kawaida Leo nakuletea program Bora...
bongotech255 - Home | Facebook
Kama kawaida Leo nakuletea program Bora kuwa nazo kwenye simu kwa mwezi January ๐
1๏ธโฃZuia vitu kufutika ovyo kuna app inaitwa dumpster kwa watumiaji wa simu za android hii ni bonge la app ambayo itakusaidia wewe kuweza kuzuia kufuta vitu ovyo au kwa bahati mbaya kwenye simu yako. 2๏ธโฃ ficha picha na video zako za muhimu kuna muda tunahitaji simu zetu ziwe faragha kidogo yani sio kila kitu watu waone kwenye simu yako. kuna baadhi ni siri pakua hii app ya keepsafe photo vault. 3๏ธโฃ Chagua simu ijipige au kutuma sms yenyewe Ni app nzuri sana ambayo itakusaidia sana kwani ina mambo kedekede ๐ utaweza kufanya mambo mengi bila kushika simu...
View original post
bongotech255 - Home | Facebook
Kama kawaida Leo nakuletea program Bora kuwa nazo kwenye simu kwa mwezi January ๐
1๏ธโฃZuia vitu kufutika ovyo kuna app inaitwa dumpster kwa watumiaji wa simu za android hii ni bonge la app ambayo itakusaidia wewe kuweza kuzuia kufuta vitu ovyo au kwa bahati mbaya kwenye simu yako. 2๏ธโฃ ficha picha na video zako za muhimu kuna muda tunahitaji simu zetu ziwe faragha kidogo yani sio kila kitu watu waone kwenye simu yako. kuna baadhi ni siri pakua hii app ya keepsafe photo vault. 3๏ธโฃ Chagua simu ijipige au kutuma sms yenyewe Ni app nzuri sana ambayo itakusaidia sana kwani ina mambo kedekede ๐ utaweza kufanya mambo mengi bila kushika simu...
View original post
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
Njia Nyingine ya Kutumia Space Bar (Android) #MaujanjaDK1
Kama kwa namna yoyote unataka kujua njia nyingine ya kutumia Space Bar basi hii ni njia rahisi ya kutumia space bar kwenye simu yako ya Android.
Njia Nyingine ya Kutumia Space Bar (Android) #MaujanjaDK1
Kama kwa namna yoyote unataka kujua njia nyingine ya kutumia Space Bar basi hii ni njia rahisi ya kutumia space bar kwenye simu yako ya Android.
YouTube Kuanza Kulipa Waandaji Wa Maudhui (Content Creators) Kupitia Youtube Shorts!
InstantView from Source
InstantView from Source
Telegraph
YouTube Kuanza Kulipa Waandaji Wa Maudhui (Content Creators) Kupitia Youtube Shorts!
Ni wazi kuwa kuna waandaji wa maudhui wengi sana na kama unavyojua katika video za kawaida wenye maudhui yao huwa wanalipwa pindi kama kuna matangazo yataonekana juu ya maudhui yao katika mtandao wa YouTube kwa muda mrefu wale wa Youtube Shorts walikua wamesahaulika.