bongotech255 - 𝗚𝗼𝗼𝗴𝗹𝗲 wameleta feature mpya inaitwa clear...
bongotech255 - Home | Facebook
𝗚𝗼𝗼𝗴𝗹𝗲 wameleta feature mpya inaitwa clear calling ambayo inaondoa kelele kwenye simu yako wakati unapiga simu.
Kuna nyakati unajikuta unampigia mtu simu akipokea unakuta Kuna kelele za pembeni zinajitokeza na kusababisha kutosikika vizuri kupitia simu na kushindwa kuelewa. Inawezekana Uko kwenye bajaji , pikipiki au kwenye mkusanyiko wa watu hali hii inakera Sana ya kupokea simu na kusikia sauti za watu sasa google wakaamua kuletea feature mpya inaitwa Clear calling Mtumiaji atakua na uwezo wa kuzuia kelele ambazo zinasababisha mtu asiweze kusikia vizuri pia anapoongea kwenye simu. Mwanzoni hii feature ilikua inatumika...
View original post
bongotech255 - Home | Facebook
𝗚𝗼𝗼𝗴𝗹𝗲 wameleta feature mpya inaitwa clear calling ambayo inaondoa kelele kwenye simu yako wakati unapiga simu.
Kuna nyakati unajikuta unampigia mtu simu akipokea unakuta Kuna kelele za pembeni zinajitokeza na kusababisha kutosikika vizuri kupitia simu na kushindwa kuelewa. Inawezekana Uko kwenye bajaji , pikipiki au kwenye mkusanyiko wa watu hali hii inakera Sana ya kupokea simu na kusikia sauti za watu sasa google wakaamua kuletea feature mpya inaitwa Clear calling Mtumiaji atakua na uwezo wa kuzuia kelele ambazo zinasababisha mtu asiweze kusikia vizuri pia anapoongea kwenye simu. Mwanzoni hii feature ilikua inatumika...
View original post
Video 4 Zilizotazamwa Zaidi kwenye Akaunti yetu ya YouTube 2022. #KonaYaTeknolojia
InstantView from Source
InstantView from Source
Telegraph
Video 4 Zilizotazamwa Zaidi kwenye Akaunti yetu ya YouTube 2022. #KonaYaTeknolojia
Kumbuka kufollow akaunti yetu ya YouTube -> https://www.youtube.com/@TeknokonaNet . Hizi ndio video 4 zilizotazamwa zaidi kwa mwaka 2022.
InstantView from Source
YouTube
MAMBO 10 USIYOYAJUA KUHUSU RAISI WA MAREKANI
#biden #marekani
Licha ya Joe Biden kupitia mikasa ya kifamilia na misukosuko ya kisiasa, mwaka 2020 alishinda uchaguzi na kuapishwa kama raisi wa 46 wa marekani.Naam kupitia episode hii tunakwenda kutazamia Historia ya Biden
Episode za Newzfid,
Script…
Licha ya Joe Biden kupitia mikasa ya kifamilia na misukosuko ya kisiasa, mwaka 2020 alishinda uchaguzi na kuapishwa kama raisi wa 46 wa marekani.Naam kupitia episode hii tunakwenda kutazamia Historia ya Biden
Episode za Newzfid,
Script…
bongotech255 - Home | Facebook
Jipatie mouse pad original kabisa kwa ajili ya laptop au desktop yako
Toka @hyatzcomputers
@zirene_laptop_accessories_tz
@wikeltechnologies_tz … See more
Jipatie mouse pad original kabisa kwa ajili ya laptop au desktop yako
Toka @hyatzcomputers
@zirene_laptop_accessories_tz
@wikeltechnologies_tz … See more
bongotech255 - Home | Facebook
𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽𝗽 ni moja wa mtandaoni unaotumiwa sana na watu wengi ulimwenguni kwa kuwasiliana kwa njia ya ujumbe, picha , videos , sticker nk unajulikana kama mtandao salama.
Lakini sio kila mtumiaji wa Whatsapp yuko Yuko salama!! Watu wengi wamekua wakilalamika kupata matukio ya kuzuiwa kutumia WhatsApp either kwa kujua au kutokujua.
Kuna kitu kinaitwa Whatsapp banned ? Je ni kitu gani ?
𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽… See more
Habari mwalimu samahani naomba nisaidie namba yako ya simu
𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽𝗽 ni moja wa mtandaoni unaotumiwa sana na watu wengi ulimwenguni kwa kuwasiliana kwa njia ya ujumbe, picha , videos , sticker nk unajulikana kama mtandao salama.
Lakini sio kila mtumiaji wa Whatsapp yuko Yuko salama!! Watu wengi wamekua wakilalamika kupata matukio ya kuzuiwa kutumia WhatsApp either kwa kujua au kutokujua.
Kuna kitu kinaitwa Whatsapp banned ? Je ni kitu gani ?
𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽… See more
Habari mwalimu samahani naomba nisaidie namba yako ya simu