โbongotech255 - Home | Facebook
Umekua na changamoto kwenye simu yako Kila ukiweka bando la mb 500 , 1Gb linakwisha faster ?
Najua ni tatizo kubwa Sana kwa watu wengi duniani unajikuta unanunua kifurushi chako lakini ukiwasha data tu balaa.
Kuna app inaitwa glasswire ni bonge Moja la app ya kuwa nayo kwenye simu yako kwani itakusaidia kuzuia matumizi ya bando lako kuisha haraka sana. โฆ See more
Link ya telegram Yetu jiunge nasi
https://t.me/bongoTechs255โฆ See more
Umekua na changamoto kwenye simu yako Kila ukiweka bando la mb 500 , 1Gb linakwisha faster ?
Najua ni tatizo kubwa Sana kwa watu wengi duniani unajikuta unanunua kifurushi chako lakini ukiwasha data tu balaa.
Kuna app inaitwa glasswire ni bonge Moja la app ya kuwa nayo kwenye simu yako kwani itakusaidia kuzuia matumizi ya bando lako kuisha haraka sana. โฆ See more
Link ya telegram Yetu jiunge nasi
https://t.me/bongoTechs255โฆ See more
Telegram
BongoTech255๐ฎ๐ป
Fahamu masuala mbalimbali ya Teknolojia kwa lugha nyepesi kabisa ya kiswahili ๐
Tembelea page zetu ujifunze mengi zaidi ๐
https://bio.site/Bongotech255
Si Unajua Teknolojia ni Yetu sote โ๏ธ
Tembelea page zetu ujifunze mengi zaidi ๐
https://bio.site/Bongotech255
Si Unajua Teknolojia ni Yetu sote โ๏ธ
bongotech255 - Home | Facebook
Je simu yako Ina support Esim card Leo nakuletea list la simu zinazo support Esim ulimwenguni !!
Esim card Inasimama Kama embedded sim or electronic sim. Ni teknolojia inayokuwezesha kuweza kutumia line ya simu yako bila kuiweka Yani utaweza kutumia simu kupiga, kupokea, kuchati , kusave Majina namba nk bila kuwa line ambayo unaweza kuishika.
Mfumo wake tayari Unakua na line tayari zimekuja na simu we unachofanya ni ku activate tu na kutumia.โฆ See more
Ndio Kwanza naisikia. Asante kwa habari hii mpya
Je simu yako Ina support Esim card Leo nakuletea list la simu zinazo support Esim ulimwenguni !!
Esim card Inasimama Kama embedded sim or electronic sim. Ni teknolojia inayokuwezesha kuweza kutumia line ya simu yako bila kuiweka Yani utaweza kutumia simu kupiga, kupokea, kuchati , kusave Majina namba nk bila kuwa line ambayo unaweza kuishika.
Mfumo wake tayari Unakua na line tayari zimekuja na simu we unachofanya ni ku activate tu na kutumia.โฆ See more
Ndio Kwanza naisikia. Asante kwa habari hii mpya
โbongotech255 - Home | Facebook
Umekua na changamoto kwenye simu yako Kila ukiweka bando la mb 500 , 1Gb linakwisha faster ?
Najua ni tatizo kubwa Sana kwa watu wengi duniani unajikuta unanunua kifurushi chako lakini ukiwasha data tu balaa.
Kuna app inaitwa glasswire ni bonge Moja la app ya kuwa nayo kwenye simu yako kwani itakusaidia kuzuia matumizi ya bando lako kuisha haraka sana. โฆ See more
Link ya telegram Yetu jiunge nasi
https://t.me/bongoTechs255โฆ See more
Umekua na changamoto kwenye simu yako Kila ukiweka bando la mb 500 , 1Gb linakwisha faster ?
Najua ni tatizo kubwa Sana kwa watu wengi duniani unajikuta unanunua kifurushi chako lakini ukiwasha data tu balaa.
Kuna app inaitwa glasswire ni bonge Moja la app ya kuwa nayo kwenye simu yako kwani itakusaidia kuzuia matumizi ya bando lako kuisha haraka sana. โฆ See more
Link ya telegram Yetu jiunge nasi
https://t.me/bongoTechs255โฆ See more
Telegram
BongoTech255๐ฎ๐ป
Fahamu masuala mbalimbali ya Teknolojia kwa lugha nyepesi kabisa ya kiswahili ๐
Tembelea page zetu ujifunze mengi zaidi ๐
https://bio.site/Bongotech255
Si Unajua Teknolojia ni Yetu sote โ๏ธ
Tembelea page zetu ujifunze mengi zaidi ๐
https://bio.site/Bongotech255
Si Unajua Teknolojia ni Yetu sote โ๏ธ
InstantView from Source
YouTube
AJALI 5 ZILIZOWAPA WATU AKILI NA VIPAJI ๐ฑ๐ฑ
Kumekuwa na watu katika historia ambao walipata uwezo wa ajabu wa kiakili kutokana na ajali mbaya. Watafiti bado wanajitahidi kuelewa nini kinatokea nyuma ya miujiza hiyo hadi kupelekea watu kuibuka na akili au vipaji vipya ambavyo hawakuwa navyo hapo awali.โฆ
bongotech255 - Jipatie Mouse nzuri za Gaming kwa ajili ya...
bongotech255 - Home | Facebook
Jipatie Mouse nzuri za Gaming kwa ajili ya laptop au desktop yako kwa bei poa sana
Unaweza kutumia hata kawaida tu karibu @hyatzcomputers ujipatie kwa bei poa sana Warranty miezi SITA ikifa rudisha Mikoani mnatumiwa kwa uwaminifu mkubwa Watafute sasa @wikeltechnologies_tz @zirene_laptop_accessories_tz kwq Mahitaji Mbalimbali ๐ฅ๐ฅ Wapigie ๐๐ +255692630904 | +255765171270 #mouse #gamingmouse #mousepad #instatechnology #bongotech255 #fahamuzaidi
bongotech255 - Home | Facebook
Jipatie Mouse nzuri za Gaming kwa ajili ya laptop au desktop yako kwa bei poa sana
Unaweza kutumia hata kawaida tu karibu @hyatzcomputers ujipatie kwa bei poa sana Warranty miezi SITA ikifa rudisha Mikoani mnatumiwa kwa uwaminifu mkubwa Watafute sasa @wikeltechnologies_tz @zirene_laptop_accessories_tz kwq Mahitaji Mbalimbali ๐ฅ๐ฅ Wapigie ๐๐ +255692630904 | +255765171270 #mouse #gamingmouse #mousepad #instatechnology #bongotech255 #fahamuzaidi
bongotech255 - ๐๐ผ๐ผ๐ด๐น๐ฒ wameleta feature mpya inaitwa clear...
bongotech255 - Home | Facebook
๐๐ผ๐ผ๐ด๐น๐ฒ wameleta feature mpya inaitwa clear calling ambayo inaondoa kelele kwenye simu yako wakati unapiga simu.
Kuna nyakati unajikuta unampigia mtu simu akipokea unakuta Kuna kelele za pembeni zinajitokeza na kusababisha kutosikika vizuri kupitia simu na kushindwa kuelewa. Inawezekana Uko kwenye bajaji , pikipiki au kwenye mkusanyiko wa watu hali hii inakera Sana ya kupokea simu na kusikia sauti za watu sasa google wakaamua kuletea feature mpya inaitwa Clear calling Mtumiaji atakua na uwezo wa kuzuia kelele ambazo zinasababisha mtu asiweze kusikia vizuri pia anapoongea kwenye simu. Mwanzoni hii feature ilikua inatumi...
View original post
bongotech255 - Home | Facebook
๐๐ผ๐ผ๐ด๐น๐ฒ wameleta feature mpya inaitwa clear calling ambayo inaondoa kelele kwenye simu yako wakati unapiga simu.
Kuna nyakati unajikuta unampigia mtu simu akipokea unakuta Kuna kelele za pembeni zinajitokeza na kusababisha kutosikika vizuri kupitia simu na kushindwa kuelewa. Inawezekana Uko kwenye bajaji , pikipiki au kwenye mkusanyiko wa watu hali hii inakera Sana ya kupokea simu na kusikia sauti za watu sasa google wakaamua kuletea feature mpya inaitwa Clear calling Mtumiaji atakua na uwezo wa kuzuia kelele ambazo zinasababisha mtu asiweze kusikia vizuri pia anapoongea kwenye simu. Mwanzoni hii feature ilikua inatumi...
View original post
๐ @Huduma How to Bypass Google Account? | Samsung FRP Bypass 2023 (All Samsung Bypass)
YouTube
How to Bypass Google Account? | Samsung FRP Bypass 2023 (All Samsung Bypass)
How to bypass Google Account? | Samsung FRP bypass 2023. Try Dr.Fone Screen Unlock (https://bit.ly/3WGhmTl). Ways to Unlock Android Phone Forgot Password (https://bit.ly/3Wu9a91)
FRP feature might trouble for those who somehow forget their Google Accountโฆ
FRP feature might trouble for those who somehow forget their Google Accountโฆ
InstantView from Source
YouTube
How to Bypass Google Account? | Samsung FRP Bypass 2023 (All Samsung Bypass)
How to bypass Google Account? | Samsung FRP bypass 2023. Try Dr.Fone Screen Unlock (https://bit.ly/3WGhmTl). Ways to Unlock Android Phone Forgot Password (https://bit.ly/3Wu9a91)
FRP feature might trouble for those who somehow forget their Google Accountโฆ
FRP feature might trouble for those who somehow forget their Google Accountโฆ
Jinsi ya kuscan kompyuta ili kuondoa Wadudu/Virusi vya kompyuta. #Maujanja
https://teknolojia.co.tz/jinsi-ya-kuscan-kompyuta-virusi/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=jinsi-ya-kuscan-kompyuta-virusi&utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=jinsi-ya-kuscan-kompyuta-virusi
https://teknolojia.co.tz/jinsi-ya-kuscan-kompyuta-virusi/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=jinsi-ya-kuscan-kompyuta-virusi&utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=jinsi-ya-kuscan-kompyuta-virusi
TeknoKona Teknolojia Tanzania
Jinsi ya kuscan kompyuta ili kuondoa Wadudu/Virusi vya kompyuta. #Maujanja
Je unafahamu jinsi ya kuscan kompyuta yako na faida zake? Kompyuta zinazokuja na Windows 10 au 11 ndani yake zinakuja na program ya Windows Defender (built-in A
bongotech255 - Home | Facebook
8 in one type C USB ni hatari Iko poa sana karibuni kwa @wikeltechnologies_tz muweze kujipatia orginal kabisa
Yani hapa unapata port nane kwa mpigo unaweza kutumia kwenye tv , simu au kompyuta
โข Hdmi
โข Vga โฆ See more
8 in one type C USB ni hatari Iko poa sana karibuni kwa @wikeltechnologies_tz muweze kujipatia orginal kabisa
Yani hapa unapata port nane kwa mpigo unaweza kutumia kwenye tv , simu au kompyuta
โข Hdmi
โข Vga โฆ See more
bongotech255 - Unajua unaweza kutumia akaunti mbili za...
bongotech255 - Home | Facebook
Unajua unaweza kutumia akaunti mbili za WhatsApp kwenye simu moja ?
Najua nikisema ivyo basi watu watasema weka Whatsapp gb pamoja na normal Whatsapp au Whatsapp business pamoja na normal Whatsapp ๐ hapana!! Leo nitakuambia jinsi ya kufanya njia hii ni rahisi sana utaweza kutumia akaunti mbili za Whatsapp kwenye simu yako yani ๐ "Tunaigawa Whatsapp yako moja mara mbili nazani umenielewa itakufanya uweze kutumia akaunti Zaidi ya moja kwenye simu yako." ๐น ๐๐ก๐๐๐ก๐๐ซ Kwa watumiaji wa Infinix fanya hivi ingia setting kisha search >>> xlclone utaona Kuna Facebook , Instagram , Whatsapp nk hivyo utachagua unayotaka. ๐น ๐ฆ...
View original post
bongotech255 - Home | Facebook
Unajua unaweza kutumia akaunti mbili za WhatsApp kwenye simu moja ?
Najua nikisema ivyo basi watu watasema weka Whatsapp gb pamoja na normal Whatsapp au Whatsapp business pamoja na normal Whatsapp ๐ hapana!! Leo nitakuambia jinsi ya kufanya njia hii ni rahisi sana utaweza kutumia akaunti mbili za Whatsapp kwenye simu yako yani ๐ "Tunaigawa Whatsapp yako moja mara mbili nazani umenielewa itakufanya uweze kutumia akaunti Zaidi ya moja kwenye simu yako." ๐น ๐๐ก๐๐๐ก๐๐ซ Kwa watumiaji wa Infinix fanya hivi ingia setting kisha search >>> xlclone utaona Kuna Facebook , Instagram , Whatsapp nk hivyo utachagua unayotaka. ๐น ๐ฆ...
View original post