Teknolojia
140 subscribers
3.87K photos
5.53K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli 👋
Download Telegram
Tovuti za Kudownload Video za Bure za Kutumia YouTube

Ukweli ni kwamba kwa sasa video ni kila kitu ndio maana kwa sasa karibia kila kampuni inayo channel ya mtandao wa YouTube. Lakini pamoja na hayo ni ukweli usio pingika kuwa sio rahisi hata kidogo kutengeneza video bora ambayo itashindana na mamilioni ya video zinazo pakiwa kila siku kwenye mtandao huo. Lakini, Je unajua kuwa […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/04/video-bure-za-kutumia-youtube/
Kutengeneza iPhone yako mwenyewe – Apple kuuza vipuri na mafunzo ya matengenezo mbalimbali

Apple kuja kukuruhusu kutengeneza iPhone yako mwenyewe iwapo imeharibika. Uwezo huo umetangazwa na Apple ambapo wamesema wataanza kuuza vipuri mbalimbali kama vile betri, kioo (display) na kamera za iPhone na baadae kuanza kuuza hadi vipuri vya kompyuta za Macbook. Kwa muda mrefu Apple imekuwa ikiendesha huduma za utengenezaji simu kupitia makubaliano na biashara chache tuu,...

The post Kutengeneza iPhone yako mwenyewe – Apple kuuza vipuri na mafunzo ya matengenezo mbalimbali appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.

https://teknolojia.co.tz/kutengeneza-iphone-yako-mwenyewe-apple-kuuza-vipuri/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=kutengeneza-iphone-yako-mwenyewe-apple-kuuza-vipuri
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Fahamu Programu Mashuhuri za Adobe.
Adobe Suite ni mjumuisho wa programu kadhaa za kazi za kiubunifu zinazotumika zaidi duniani kote katika sekta ya ubunifu.

Zifahamu baadhi ya programu maarufu zaidi kwenye familia ya Adobe Suit.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa (TikTok)

Unajua kuwa iPhone X ni ndogo kuliko iPhone 7Plus lakini iPhone X imeishinda 7plus kwenye ukubwa wa display ? Angalia Video vzuri na usikilize kila kitu 🤝 #simukitaa
Hizi Hapa Apps Nzuri za Android Kwaajili ya Wanafunzi

Ni wazi kuwa Android ni moja kati ya mfumo unaotumiwa na watu wengi zaidi, sababu hii na nyingine nyingi ndio maana leo nimeamua kuleta list hii ya app nzuri za Android kwa ajili ya wanafunzi. Basi bila kupoteza muda twende tukangalie App hizi. Exam Countdown Lite (Free+, Google Play) → Exam Countdown ni app nzuri […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/04/apps-nzuri-za-android-kwa-wanafunzi/
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa (TikTok)

Ipi ina balaa kwenye upande wa Camera? Hapo nimeshoot usiku unadhani ipi ina balaa kulingana na video? #simukitaa
Futatilia Mpira Simba na Yanga Kwa Kutumia Njia Hii

Kama unapendelea kufuatilia michezo mbalimbali ikiwa pamoja na michezo ya simba na yanga ya hapa Tanzania basi njia hii ni kwaajili yako. Kupitia njia hii itakusaidia kupata taarifa za michezo yote duniani ikiwa pamoja na michezo pendwa ya mpira wa miguu ya simba na yanga ya hapa Tanzania, pia utaweza kufuatilia mpira wa kikapu na […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/04/angalia-live-mpria-simba-na-yanga/
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

KWANINI WANAUME TULIACHA KUVAA VIATU VYA KISIGINO?
#fashion #HighHeels
Vipi nikikwambia kwamba viatu vya kisigino vilitengenezwa kwa ajili ya wanaume tu? katika karne zilizopita, wanaume walivaliaa viatu hivyo bila wasiwasi wowote ule. Tofauti na jinsi viatu hivyo vinavyotumiwa leo na wanawake kama fashion,zamani zile vilivaliwa kwa dhumuni tofauti kabisa.

Episode za Newzfid,
Script, narration and editing by Jimmy James