Teknolojia
139 subscribers
3.87K photos
5.56K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli 👋
Download Telegram
TeknoKona (Facebook)

Soma makala hii uweze kufahamu maendeleo ya kiteknolojia yaliyofanyika katika vyombo vya usafiri tangu kuanzishwa kwake.

https://zcu.io/KxSn
TeknoKona (Facebook)

Soma makala hii uweze kuzifahamu njia mbalimbali za kutumia komyuta yako kwa wepesi zaidi ukiwa mtandaoni.

https://zcu.io/0dpu
TeknoKona (Facebook)

Tumia kava la ziada kulinda simu janja yako isichakae mapema. Tembelea tovuti yetu kwa ushauri zaidi https://teknolojia.co.tz/
TeknoKona (Facebook)

Kuna majukwaa mengi unayoweza kutumia kuperuzi mtandaoni. Wewe unatumia jukwaa lipi kati ya haya? 1. Google 2. Bing 3. Yandex 4. Yahoo Tembelea tovuti yetu kufahamu zaidi kuhusu majukwaa haya https://teknolojia.co.tz/
TeknoKona (Facebook)

Ukiikosa Pixel 4a dukani basi ufahamu sababu iliyopo nyuma ya pazia.
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) tunakupongeza Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson kwa kuchaguliwa na kuapishwa kuwa Spika wa 7 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
VidMate v4.5302 [Premium].apk
23.4 MB
VidMate - Downloader v4.5302 [Premium] 🔥

Overview: Best Video/Mp3 Downloader Ever

Modded by ModYolo.com
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

How To Convert Telegram Video To Animated Sticker
Telegram Animated Sticker
Telegram added support for stickers converted from regular videos, so that anyone can easily create detailed animated stickers using any video editing program. you can publish your packs with the @Stickers bot.

NB: Update Telegram

Social Media Handles
=================================
Telegram Group: https://Telegram.me/InFoTel_Group
Telegram Channel: https://Telegram.me/Tginfotel
Facebook: https://www.facebook.com/Infotelbot
Website: www.infotelbot.com
=======================
Join to this channel to acces amazing perks:
https://www.youtube.com/channel/UCLY4kbZ2IQXbph4S54Z-JnA/join
=======================
Subscribe! It's free!!
=======================
#InFoTel #Telegram
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikiana na Chuo cha Ustawi wa Jamii - ISW na Jeshi la Polisi Tanzania, wameandaa na kutoa Semina kwa Wanafunzi wa Chuo cha Ustawi wa Jamii kilichopo Kijitonyama, Dar es salaam; kwa lengo la kuwapa wanafunzi elimu ya matumizi stahiki na salama ya mawasiliano hasa mitandao ya kijamii. Zaidi ya wanafunzi 350 walifikiwa katika semina hii. @wizarahmth @nape_nnauye @isw_official_tz @polisi.tanzania
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

KIVIPI NCHI TAJIRI NAZO ZINA MADENI? 😨😨
Kila leo tunasikia habari juu ya Deni la taifa, kwa Tanzania hoja binafsi juu ya deni la taifa ilipelekea spika wa Bunge Job Ndugai kujiuzulu..Lakini kitu wengi tunasahau ni kuwa hata nchi tajiri zina madeni, tena ndo zinazoongoza kwa madeni ingawa uwiano na GDP yao huwapa uhaueni.

Episode za Newzfid,
Script, narration and editing by Jimmy James
TeknoKona (Facebook)

Soma makala hii uweze kuzifahamu emoji zinazotumika zaidi pamoja na maana zake

https://zcu.io/0FeG