6. Hakiki na thibitisha
β’ Facebook au Instagram watakagua tangazo (huchukua dakika hadi masaa machache)
β’ Likikubaliwa β litaanza kuonekana kwa watu wa miji au rika ulilolenga
β’ Facebook au Instagram watakagua tangazo (huchukua dakika hadi masaa machache)
β’ Likikubaliwa β litaanza kuonekana kwa watu wa miji au rika ulilolenga
3. Chagua lengo la tangazo
Facebook au Instagram itakuuliza unataka watu wafanye nini:
β Kutuma ujumbe
β Kutembelea tovuti
β Kuongeza likes/comments
β Kupiga simu
β οΈ Chagua Send Message kama unauza bidhaa unazojibu DM moja kwa moja.
Facebook au Instagram itakuuliza unataka watu wafanye nini:
β Kutuma ujumbe
β Kutembelea tovuti
β Kuongeza likes/comments
β Kupiga simu
β οΈ Chagua Send Message kama unauza bidhaa unazojibu DM moja kwa moja.
5. Weka Bajeti
π° Budget ni kiasi cha pesa unataka kutumia:
β’ Tsh 3,000 kwa siku (kawaida)
β’ Tsh 10,000 kwa siku (kwa matokeo zaidi)
Unaweza kuboost kwa siku 3 au 5. Facebook itaonyesha makadirio ya watu watakaoona.
π Hakikisha umeunganisha mpesa au kadi ya malipo
π° Budget ni kiasi cha pesa unataka kutumia:
β’ Tsh 3,000 kwa siku (kawaida)
β’ Tsh 10,000 kwa siku (kwa matokeo zaidi)
Unaweza kuboost kwa siku 3 au 5. Facebook itaonyesha makadirio ya watu watakaoona.
π Hakikisha umeunganisha mpesa au kadi ya malipo
8. Baada ya Boost
β Jibu DM zote haraka
β Tumia βQuick Repliesβ
β Tambua aina ya watu wanaouliza
β Boresha tangazo linalofuata kwa kuzingatia maswali yao
β Jibu DM zote haraka
β Tumia βQuick Repliesβ
β Tambua aina ya watu wanaouliza
β Boresha tangazo linalofuata kwa kuzingatia maswali yao
4. Chagua walengwa (Audience)
Hii sehemu ni muhimu sana:
π Usichague βAutomaticβ. Tengeneza audience mpya:
π Location: Tanzania au mji maalum
π― Age: 18β40 (kulingana na wateja wako)
π Interests: Android, Fashion, iPhone, Delivery, Women Clothing, etc.
Hii sehemu ni muhimu sana:
π Usichague βAutomaticβ. Tengeneza audience mpya:
π Location: Tanzania au mji maalum
π― Age: 18β40 (kulingana na wateja wako)
π Interests: Android, Fashion, iPhone, Delivery, Women Clothing, etc.
π Mambo ya Kukumbuka
β Usitumie picha mbaya au zenye maandishi mengi
β Usipost bidhaa haramu (Facebook wata-kataa boost)
β Jaribu picha tofauti β fanya A/B Testing
β Usitumie picha mbaya au zenye maandishi mengi
β Usipost bidhaa haramu (Facebook wata-kataa boost)
β Jaribu picha tofauti β fanya A/B Testing
π‘ Mfano:
Unauza simu? Chagua watu wenye interest:
π Android phones
π Smartphones
π Jumia
π Dar es Salaam
π Tanzania
Unauza simu? Chagua watu wenye interest:
π Android phones
π Smartphones
π Jumia
π Dar es Salaam
π Tanzania
9. Bonus: Boost ya Instagram Bila Akaunti ya Biashara
π Badilisha akaunti yako kuwa Professional Account
π Fungua sehemu ya βInsightsβ
π Tumia Boost tools pale pale kwenye post zako
π Badilisha akaunti yako kuwa Professional Account
π Fungua sehemu ya βInsightsβ
π Tumia Boost tools pale pale kwenye post zako
7. Jinsi ya Kulipia Boost kwa M-PESA
π Tumia apps kama:
β’ Chipper Cash
β’ Payday
β’ Grey
β’ Barter
β’ Eversend
π Zote zinawezesha kupata VISA card ya kulipia Facebook Ads kwa M-PESA moja kwa moja!
π Tumia apps kama:
β’ Chipper Cash
β’ Payday
β’ Grey
β’ Barter
β’ Eversend
π Zote zinawezesha kupata VISA card ya kulipia Facebook Ads kwa M-PESA moja kwa moja!
π Kama una duka au biashara ya mtandaoni β Boost ni njia rahisi ya kuwafikia maelfu ya watu bila gharama kubwa.