Teknolojia
139 subscribers
3.87K photos
5.58K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli 👋
Download Telegram
TeknoKona (Facebook)

Tumia simu yako kistaarabu kwa kuzingatia usalama wa afya yako. Tembelea tovuti yetu kwa ushauri zaidi https://teknolojia.co.tz/
TeknoKona (Facebook)

Unapofanya malipo mtandaoni unatumia kadi yenye huduma zipi za malipo?
1. Visa
2. Mastercard
TeknoKona (Facebook)

Kama ilivyo kwenye mitandao mingine ya kijamii na WhatsApp pia unaweza kuifuta akaunti yako. Soma makala hii kufahamu zaidi

https://zcu.io/niN5
TeknoKona (Facebook)

Kuna app nyingi za kuedit picha kwa watumiaji wa Android na iPhone, Soma makala hii uweze kufahamu baadhi ya hizo app.

https://zcu.io/Ozsq
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

STAR WA 'DEADLY PREY' ALIPOTELEA WAPI?
#DeadlyPrey #TedPrior
Kipindi cha VHS moja ya movie ya action pendwa kutoka Hollywood ilikuwa ni Deadly Prey iliyochezwa na muigizaji mwenye misuli na utata kama Rambo aitwae Ted Prior na mtaani kabatizwa jina la Komando kachupi au Komando Kipensi 🤣🤣
Episode za Newzfid,
Script, narration and editing by Jimmy James
TeknoKona (Facebook)

Unapozima na kuwasha simu yako inasaidia kurekebisha mambo mbalimbali ikiwemo kupatikana kwa mtandao. Tembelea tovuti yetu kwa ushauri zaidi https://teknolojia.co.tz/
TeknoKona (Facebook)

Hakikisha unatenga muda kusafisha kifaa chako cha kielektroniki ili kuzuia hitilafu ndogo ndogo kutokea. Tembelea tovuti yetu kwa ushauri zaidi https://teknolojia.co.tz/
TeknoKona (Facebook)

Samsung Galaxy A2 Core ni simu janja yenye sifa za kipekee. Soma makala hii uweze kuzifahamu

https://zcu.io/HD7w
TeknoKona (Facebook)

Unawezaje kuitambua memori kadi feki? Soma makala hii uweze kufahamu.

https://zcu.io/k6fD
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Rudisha ujumbe (sms) uliyofuta kwa BAHATI MBAYA kwenye simu !!
fahamu njia rahisi ya kuweza kurudisha ujumbe au call logs zako zote ulizopiwa au kupiga kwenye simu yako kwa njia rahisi sana.

njia hii inafanya kazi hata kama umepata Simu mpya utaweza kurudisha sms au call log zako pia ikiwa umeibiwa au kupoteza simu yako

usisahau ku subscribe likes & comment kwa maujanjq zaidi

subscribe kwa video nyingi zaidi 👍

teknolojia ni Yetu sote

#swahili #bongo #maujanja #simu #swahilireaction #bongomovie #bongotech