Teknolojia
139 subscribers
3.87K photos
5.58K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli 👋
Download Telegram
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

NYUMBA YA DRAKE | HOUSE TOUR
Drake ni nyota wa rap aliyezaliwa Toronto anayejulikana kwa nyimbo maarufu kama Gods Plan, One Dance na Hotline Bling...Drake ni tajiri sana, kulingana na Forbes, Drake ni tajiri wa 8 katika orodha ya marapa matajiri duniani akiwa na utajiri wenye thamani ya dola milioni 181m kama bilioni 420 hivi kwa pesa yetu. Ni wazi kuwa Drake ni tajiri, huko marekani ana miliki nyumba zaidi ya 4 ila nyumba tunayokwenda kuiangalia leo ni nyumba hii mpya iliyopo Toronto nchini Canada.
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Semina ya uelewa kwa Wanafunzi na Wakufunzi kutoka Vyuo Vikuu 12 vinavyotambuliwa na TCU vilivyopo Jijini Dar es Salaam; kuhusu majukumu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), mwongozo kwa watumiaji wa huduma na bidhaa za mawasiliano, usalama mtandaoni na kuhamasisha uanzishwaji na uendelezaji wa klabu za dijitali (digital clubs) zitakazowezesha elimu kuhusu usalama mtandaoni.

Semina hiyo imetolewa na TCRA kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, Kitengo cha uchunguzi wa makosa ya kimtandao, leo tarehe 22/11/2021 katika Makao Makuu ya TCRA.
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Sheria ya Makosa ya Mtandao ya Mwaka 2015 inaeleza kuwa mtu atakayetenda kosa tajwa atawajibika iwapo atatiwa hatiani: kulipa faini isiyopungua shilingi milioni tano au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka mitatu au vyote kwa pamoja.

#SambazaMchongoNaSioUongo
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Sheria ya Makosa ya Mtandao ya Mwaka 2015 inaeleza kuwa mtu atakayetenda kosa la unyanyasaji kupitia mtandao atawajibika iwapo atatiwa hatiani: kulipa faini isiyopungua shilingi milioni tano au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka mitatu au vyote kwa pamoja.

#SambazaMchongoNaSioUongo
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Samsung Galaxy S8 Unboxing | Fahamu sifa na Bei yake
Key Specifications:

DISPLAY
Size: 5.8 inches
Display Type: Super AMOLED
Resolutions: 1440 x 2960 pixels.

CAMERAS:
Single on rear with 12MP
Single selfie with 16MP

CAPACITY:
OS: Android 7 upgraded to 9.0
Chipset: Exynos 8855
CPU: Octa-core (2x2.05 GHz Cortex-A76 & 6x2.0 GHz Cortex-A55)

RAM: 2GB & Storage: 64GB/128GB

BATTERY

Type: Li-Po with 3000 mAh, Non removable battery.
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Samsung Galaxy S8 Unboxing | Fahamu sifa na Bei yake
Key Specifications:

DISPLAY
Size: 5.8 inches
Display Type: Super AMOLED
Resolutions: 1440 x 2960 pixels.

CAMERAS:
Single on rear with 12MP
Single selfie with 16MP

CAPACITY:
OS: Android 7 upgraded to 9.0
Chipset: Exynos 8855
CPU: Octa-core (2x2.05 GHz Cortex-A76 & 6x2.0 GHz Cortex-A55)

RAM: 2GB & Storage: 64GB/128GB

BATTERY

Type: Li-Po with 3000 mAh, Non removable battery.
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Samsung Galaxy S8 Unboxing | Fahamu sifa na Bei yake
Key Specifications:

DISPLAY
Size: 5.8 inches
Display Type: Super AMOLED
Resolutions: 1440 x 2960 pixels.

CAMERAS:
Single on rear with 12MP
Single selfie with 16MP

CAPACITY:
OS: Android 7 upgraded to 9.0
Chipset: Exynos 8855
CPU: Octa-core (2x2.05 GHz Cortex-A76 & 6x2.0 GHz Cortex-A55)

RAM: 2GB & Storage: 64GB/128GB

BATTERY

Type: Li-Po with 3000 mAh, Non removable battery.