Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)
Ujumbe kutoka kwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Dkt. Faustine Ndugulile kuhusu matumizi ya namba 100 kwenye mawasiliano baina ya Mteja wa huduma za Mawasiliano ya simu na Mtoa Huduma wake.
#shtukaa!ninamba100tuu!
Ujumbe kutoka kwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Dkt. Faustine Ndugulile kuhusu matumizi ya namba 100 kwenye mawasiliano baina ya Mteja wa huduma za Mawasiliano ya simu na Mtoa Huduma wake.
#shtukaa!ninamba100tuu!