Teknolojia
131 subscribers
3.83K photos
4.77K videos
94 files
13.4K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli ๐Ÿ‘‹
Download Telegram
bongotech255 - Home | Facebook

Karibu sasa @wikeltechnologies_tz ujipatie laptop orginal kabisa zenye warranty miezi SITA Mpaka mwaka

Wako machinga complex ukifika wapigie

+255692630904 | +255765171270โ€ฆ See more
bongotech255 - Home | Facebook

Kuna wakati unajikuta katika kupunguza punguza vitu basi ukafuta (sms) au taarifa zako muhimu. Kwaiyo ndo taarifa zimepotea ? hapana !!

Kuna njia kadhaa za kufanya kuweza kurudisha ujumbe uliopotea kupitia simu yako.

Kuna njia mbili โ€ฆ See more

Kaka hiyo app mpka teregram

Luka Silvanus ingia telegram account Yetu utaikuta
bongotech255 - Home | Facebook

Unajua Usb unayotumia kila siku kuchaji simu ukiweka kwenye kompyuta yenye virusi unaweza kuathilika pia kwenye simu yako.

Kuna kirusi kinaitwa ๐˜๐—ฟ๐—ผ๐—ท๐—ฎ๐—ป ๐—ฑ๐—ฟ๐—ผ๐—ถ๐—ฝ๐—ฎ๐—ธ ni kirusi ambacho mara nyingi unakikuta kwenye kompyuta kinajitengeneza baada kupakua file au kitu chochote mtandaoni chenye kirusi.

Kinajiweka chenyewe kwenye kompyuta yako bila wewe kujua na kujipa jina la Dll files. Kikikupata icho kirusi kinatengeneza mfumo Kinachojiendesha mwenyewe na kuifanya kompyuta yako

โ€ข โ€ฆ See more

๐‡๐ข๐ฏ๐ข ๐ญ๐ž๐ฅ๐ž๐ฏ๐ข๐ฌ๐ข๐จ๐ง ๐ข๐ง๐š๐ฐ๐ž๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐š๐ญ๐ก๐ข๐ซ๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฏ๐ข๐ซ๐ฎ๐ฌ ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐Ÿ๐ฅ๐š๐ฌ๐ก?

John E. Mkalawa yes ikiwa smart tv inawezekana kuathilika upande wa android Yan utaona logo inaganda , haifany Kaz iila Tv unaweza kutizama tu kama kawaida
bongotech255 - Home | Facebook

Simu nyingi za android matatizo ni sehemu moja wapo Muhimu Kwenye vifaa vyetu !

Kuna changamoto nyingi sana watumiaji wa simu za android ukutanazo wanapotumia hizo simu Kwenye shughuli zao mbalimbali ?

๐—š๐—ผ๐—ผ๐—ด๐—น๐—ฒ ๐—ฝ๐—น๐—ฎ๐˜† ๐˜€๐˜๐—ผ๐—ฟ๐—ฒ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚ ๐—ฑ๐—ผ๐˜„๐—ป๐—น๐—ผ๐—ฎ๐—ฑ

changomoto kubwa Kwenye simu zetโ€ฆ See more
โ€Œbongotech255 - Home | Facebook

Umekua na changamoto kwenye simu yako Kila ukiweka bando la mb 500 , 1Gb linakwisha faster ?

Najua ni tatizo kubwa Sana kwa watu wengi duniani unajikuta unanunua kifurushi chako lakini ukiwasha data tu balaa.

Kuna app inaitwa glasswire ni bonge Moja la app ya kuwa nayo kwenye simu yako kwani itakusaidia kuzuia matumizi ya bando lako kuisha haraka sana. โ€ฆ See more

Link ya telegram Yetu jiunge nasi

https://t.me/bongoTechs255โ€ฆ See more