Teknolojia
141 subscribers
3.87K photos
5.51K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli 👋
Download Telegram
NETFLIX: Lipia Zaidi Endapo Kama Uta’Share Neno Siri (Password)!
Mapato mengi kutoka katika kampuni ya Netflix yanapotea sababu wateja wake wengi huwa wanapeana neno siri (password) ili kufurahia huduma hiyo. Yaani hapa ilikua anaweza kulipia mtu mmoja na kisha kuwa watu wengine neno siri ambalo litawawezesha kuingia katika akaunti hiyo kwa kutumia kifaa kingine na kisha kuweza kutumia huduma hiyo. Hii  ni moja ya...
The post NETFLIX: Lipia Zaidi Endapo Kama Uta’Share Neno Siri (Password)! appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
Jinsi ya Kujiweka kwenye Google Search Kama Mtu Maarufu
Katika ulimwengu huu wa sasa ni wazi kuwa mambo mengi sana yanaenda kidigital, siku hizi imekuwa ni muhimu sana kwa mtu yoyote kuweza kuwa na wasifu mzuri mtandaoni kwani hii inaweza kusaidia wewe kufanikiwa kwenye mambo mbalimbali ya muhimu. Kuliona hili leo nimekuletea njia mpya na rahisi ambayo unaweza kutumia kuweza kuweka jina lako kwenye […]
Instagram Na Uwezo Wa Kujua Biashara Zilizopo Karibu Kwa Urahisi Kupitia Ramani!
Instagram ina maboresho kadha wa kadha, mara kwa mara kumekua na maboresho au vipengele vipya ambayo wanakuja navyo. Sasa ni zamu ya biashara za karibu, inaelekea awali watumiaji wa mtandao huo walikua wanatapa shida kutambua biashara ambazo zipo karibu yao kwa namna moja au nyingine. Toleo hili jipya ni kwamba litakua linafanya kazi kwa kuweza...
The post Instagram Na Uwezo Wa Kujua Biashara Zilizopo Karibu Kwa Urahisi Kupitia Ramani! appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
Jinsi ya Kuzuia Apps Ku-update Zenyewe Kupitia Play Store
Kama wewe ni mtumiaji wa simu ya Android basi ni lazima unajua kuwa, kuna wakati apps ambazo ume install kwenye simu yako zinaji update zenyewe bila hata wewe kuruhusu. Mara nyingi hii ni tatizo hasa kwa watu ambao unakuta wana MB chache kwenye simu na wanataka kufanya vitu mbalimbali tofauti na ku-update apps hizo. Sasa […]
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Secret APN that converts 4G to 5G on any network | Increase 4G Speed
APN that can increase your 4G speed, in some cases even convert it to 5G. Works on any network.

There has been a new APN Code going around in the internet that supposedly can turn any 4G network and convert it to 5G, or in the worst case, make your 4G connection faster

if you are experiencing a slow connection on your 4G network, then give this a try and see if it works for you.

to setup this new apn, go to settings, connections (or More), Mobile Network, Acsess Point Names and create a new APN

Name: 4.4.8.8 5G
APN: 4.4.8.8 5G NOT 4G
Proxy: not required
Port: not required
Username: not required
Password: Not Required
Server: www.google.com
MMSC: Not Required
MMS proxy: Not Required
MMS port: Not Required
APN Protocal: IPV4/IPV6
APN Roaming Protocal: IPV4/IPV6
APN Type: default
Bearer: Select All options, e ...
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa

Namna ambayo utaweza Kutengeneza Cartoon Ya Sura Yako Kupitia Simu #simukitaa #sanukakitaani
Ukuaji Wa Mapato Ya Snapchat Umebadilika!
Snapchat ni mtandao maarufu sana wa kijamii, licha ya kampuni kuwa inafanya vizuri na kufahmika sana bado inaonekana kuna shida kidogo katika mapato. Ni sawa mapato yanapatikana na yanaongezeka tuu, ila sio kwa ile kasi ambayo ilikua inatarajiwa. Hii inamaana kwamba kama hali itaendelea hivi hivi ni ishara mbaya kwa kampuni. Kama ikiendelea hivi pengine...
The post Ukuaji Wa Mapato Ya Snapchat Umebadilika! appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
Razr Mpya Na Simu Nyingine Yenye 200MP Kutambulishwa Na Motorola Agosti Hii!
Motorola itatambulisha vifaa hivi katika mkutano ambao umedhaminiwa kuwa ni utambulisho wa vifaa vyake ambao utakua ni mwezi agosti mwaka huu. Pengine katika utambulisho huo ndio utaona simu ya kwanza kabisa yenye 200MP katika kamera yake. Kwa majina vifaa hivyo ni  Razr nyingine ikiwa ni muendelezo wa ile ya kwanza, huku kifaa kingine kikiwa ni...
The post Razr Mpya Na Simu Nyingine Yenye 200MP Kutambulishwa Na Motorola Agosti Hii! appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
WhatsApp Na Uwezo Wa Kuficha Kama Uko Online!
WhatsApp ndio mtandao wa kijamii wa kutuma na kupokea meseji za papo kwa papo ambao ndio maarufu zaidi na hiki ni kingine kipya kutoka kwao. Vyanzo mbali mbali vinasema kuwa kipengele kinachokuja katika mtandao huo ni uwezo wa kuweza kuficha watu kuona kama uko ‘Online”muda huo. Kwa mfano hivi hujawahi kukutana na ile hali mtu...
The post WhatsApp Na Uwezo Wa Kuficha Kama Uko Online! appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
Chat kwa Namna ya Kipekee kwa Kutumia Njia Hizi (Android)
Ni wazi kuwa siku hizi watu wengi zaidi wamekuwa wakipendelea kuwasiliana kwa kuchat zaidi kuliko kupiga simu, hii imefanya app kama WhatsApp,Telegram na nyingine kama hizi kuwa na umaarufu mkubwa. Hii ni moja ya sababu ambayo imesababisha leo nikuletee app hizi nzuri ambazo unaweza kuzitumia kurahisisha zaidi mawasiliano yako hasa ya kuchati. Kumbuka app hizi […]
Mauzo ya simu janja za Samsung zinazokunjika kwa mwaka 2021
Umaarufu wa rununu ambazo zinaweza kukunjika na kukunjuka zimerudi kwa kasi katika miaka ya karibuni na hii ikiwa imechagizwa na ukuaji mkubwa wa teknolojia hivyo kusababisha makampuni kama Samsung kuuza simu nyingi zilizo katika muundo wa kukunjika/kukunjuka. Mwaka 2021, umekuwa wa mafanikio makubwa kwa Samsung hususani suala zima la mauzo ya simu janja ambazo ni...
The post Mauzo ya simu janja za Samsung zinazokunjika kwa mwaka 2021 appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
AirPods case toleo jipya kutumia USB-C
Katika moja ya pigo ambalo Apple imekumbana nalo ni kuhakiksha vimemeshi vya sinu janja/vifaa vya kidijiti vitumie USB-C (Type-C) na ni kufuatia agizo la Jumuiya ya Umoja wa Ulaya katika kuhakikisha watu wake wanatumia chaji ya aina moja. Apple polepole wanaonekana kuendelea kuitikia agizo la Umoja wa Ulaya hivyo kufanya mabadiliko kwenye vifaa vyake vya...
The post AirPods case toleo jipya kutumia USB-C appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
Jinsi ya Kusajili Biashara Kupitia Google My Business (2022)
Kwa mfanya biashara yoyote ni muhimu kuwepo kwenye mitandao ya kijamii, lakini mbali ya mitandao ya kijamii zipo sehemu nyingine mbalimbali ambazo ni muhimu sana biashara yako kuonekana. Google My Business ni moja ya sehemu ambayo kila mfanya biashara anatakiwa kuweka biashara yake, hii ni muhimu sana hasa kama bishara yako inayo eneo maalum la […]
Facebook Na Vipengele Vipya, Feeds Na Home!
Facebook ni moja kati ya mitandao ya kijamii maarufu sana na mkongwe, licha ya kuwa hivyo bado ni moja kati ya mtandao wa kijamii unaoleta ushindani wa juu kwa mitandao mingine sasa wamekuja na ‘Feeds’ Na ‘Home’. Facebook kwa sasa imefanya masasisho katika mtandao huo hasa katika App yake kwa kuongeza kipengele kipya cha ‘Feeds’…kwa...
The post Facebook Na Vipengele Vipya, Feeds Na Home! appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
Netflix yapoteza karibu wateja milioni moja katika robo ya pili ya mwaka
Netflix imekuwa ikipitia kipindi kigumu sana pengine tangu kuanziishwa kwake ni wakati huu ambao imekuwa ikiendelea kupoteza wateja wake. Na katika kipindi cha robo ya pili ya mwaka huu Netflix imepoteza karibu wateja milioni 1. Kwenye ulimwengu wa sasa si lazima tena kushusha filamu/tamthilia na kusubiri mpaka mchakato huo ukamilike ndio uweze kuingalia kupitia kifaa...
The post Netflix yapoteza karibu wateja milioni moja katika robo ya pili ya mwaka appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
Uwezo wa kununua kitu kupitia Instagram kirahisi kabisa
Instagram ni moja ya mtandao wa kujamii unaotumiwa na watu wengi duniani na hata kuwa sehemu ya chanzo cha mapato. Hii inatokana na kwamba watu wengi wanatumia Instagram kwa mambo mengi tuu ikiwemo kufanya biashara kidijitali. Unaweza usikubali kuwa una uraibu wa kutumia Instagram lakini hilo linawezekana kabisa. Ni wazi kuwa  Na kwa mujibu wmatumizi...
The post Uwezo wa kununua kitu kupitia Instagram kirahisi kabisa appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
Oppo Watch 3 kutoka mwezi Agosti mwaka huu
Kwenye suala zima la ushindani wa biashara ya saa janja makampuni mengi yamekuwa yakifanya maboresho kila toleo moja baada ya jingine na siku si nyingi tutaweza kufahamu undani wa Oppo Watch 3. Mbali na simu janja Oppo imeweka nguvu nyingi tuu kwenye saa janja ambazo zimekuwa zikitoka toleo moja hadi jingine mwaka hadi mwaka. Oppo...
The post Oppo Watch 3 kutoka mwezi Agosti mwaka huu appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.
Jinsi ya Kuweka Password Kwenye USB Flash Drive Yoyote
Ni kweli kwamba hivi sasa karibia kila kitu kina kuja na uwezo au sehemu ya password, lakini kuna baadhi ya vifaa ambavyo sio vya kisasa na havina sehemu maalum ambayo unaweza kuzima na kuwasha password kwa urahisi. Kuliona hili leo Tanzania Tech tunakuletea njia rahisi ambayo unaweza kuweka password kwenye USB Flash Drive yoyote kwa […]