Teknolojia
140 subscribers
3.87K photos
5.53K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli 👋
Download Telegram
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

MRADI MKUBWA KULIKO YOTE DUNIANI WA NISHATI YA JUA (SOLAR)
Mradi mkubwa kuliko yote duniani wa nishati ya Jua ni ule wa Mohammed bin Rashid Al Maktoum uliopo kwenye nchi za falme za Kiarabu (UAE). Mradi huu ulianza rasmi mwezi Oktoba mwaka 2013 na ulikuwa chini ya usimamizi wa Mamlaka ya umeme na maji Dubai (DEWA). Mradi huu umechukua nafasi ya kilomita za mraba 77 na upo kilomita 50 kutoka mji wa Dubai

Soma zaidi - https://teknolojia.co.tz/mradi-mkubwa-kuliko-yote-duniani-wa-nishati-ya-jua/

Tembelea www.teknolojia.co.tz kwa habari na maujanja ya kiteknolojia kwa lugha ya kiswahili.
Downloading File to the Server
Downloading File to the Server
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa (TikTok)

Hizi Protector/Sticker zipo kuanzia 11Plain Mpaka 13Pro Max, Ukitaka kuzipata fika Sinza Mori Au tupigie kupitia 0712858344 #simukitaa
Toleo la Sanaa la TECNO CAMON 19 Pro Limeshinda Tuzo ya Usanifu ya MUSE 2022

Tarehe 15 Aprili 2022, TECNO imejinyakulia tuzo yake ya kwanza ya Muundo wa Fedha wa Usanifu wa Bidhaa kwa ustadi wake wa kipekee wa CAMON 19 Pro (Toleo la Sanaa), ikifanya vizuri zaidi maingizo 6,000 yaliyo na sifa za juu zinazokubalika duniani kote. Tuzo zilizoundwa na Mshirika wa Tuzo za Kimataifa (IAA) huko New York […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/05/toleo-la-sanaa-la-tecno-camon-19-pro-limeshinda-tuzo-ya-usanifu-ya-muse-2022/
Downloading File to the Server