Teknolojia
141 subscribers
3.87K photos
5.55K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli 👋
Download Telegram
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Features 5 zitakazokuongezea speed ya ku edit katika Adobe Premiere Pro
Katika Video hii nimeelekeza mambo matano kuyafahamu ndani ya Adobe Premeire Pro ambayo yatakuwezesha ku edit video zako kwa haraka zaidi.
Mambo hayo ni

0:43 Automatic Clip Cut
2:28 Automatic Frame Resize
5:21 Texts Animations
8:45 Photoshop ruler and style
11:21 Camera Snap tool/Youtube thumbnail

Premium Courses https://richstartz.gumroad.com/

FOLLOW ME:
Instagram: https://instagram.com/richstartz
Twitter: https://twitter.com/richstartz
Facebook: https://facebook.com/richstatz
Email: rmaguluko@gmail.com
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Simukitaa (TikTok)

Namna ya Kuset message zikiingia zisionekane juu Mpaka utoe lock na uzifungue.. #simukitaa
Check out Vedasto_Makota’s video! #TikTok >
https://vm.tiktok.com/ZMLqTp7EJ/
Check out Vedasto_Makota’s video! #TikTok >
https://vm.tiktok.com/ZMLqTsJjU/
Check out Vedasto_Makota’s video! #TikTok >
https://vm.tiktok.com/ZMLqTg9yY/
Toshiba Anaacha Kukubali Maagizo Mapya, Uwekezaji nchini Urusi

Toshiba Corporation ni muungano wa kimataifa wa Kijapani wenye makao yake makuu huko Minato, Tokyo. Bidhaa na huduma zake mseto ni pamoja na nguvu, mifumo ya miundombinu ya viwanda na kijamii, lifti na vipandikizi, vifaa vya elektroniki, semiconductors, anatoa za diski ngumu (HDD), vichapishi, betri, taa, pamoja na suluhisho za IT kama vile cryptography ya...

The post Toshiba Anaacha Kukubali Maagizo Mapya, Uwekezaji nchini Urusi appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.

https://teknolojia.co.tz/toshiba-anaacha-kukubali-maagizo-mapya-uwekezaji-nchini-urusi/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=toshiba-anaacha-kukubali-maagizo-mapya-uwekezaji-nchini-urusi
Tafsiri Maandishi Yoyote kwa Kutumia Kamera ya Simu Yako

Teknolojia imezidi kuchukua nafasi siku hizi, sasa unaweza kuwa na simu yako tu na kuweza kufanya mambo mbalimbali ikiwa pamoja na hili la kutafsiri lugha yoyote kwa kutumia kamera ya smartphone yako. Jumapili ya leo nimekuleta njia mpya ambayo unaweza ukawa ulikuwa huijui, njia ambayo itakusaidia kuweza kutafsiri maneno mbalimbali kwa haraka bila kupoteza muda […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/04/jinsi-ya-kutafsiri-maneno/