Teknolojia
141 subscribers
3.87K photos
5.55K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli πŸ‘‹
Download Telegram
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Error Compiling Movie - Jinsi ya kutatua tatizo hili ndani ya Premiere Pro
Njia tatu za kutatua tatizo la Premiere Pro ama Adobe Media Encorder kushindwa ku export video yako na kuleta ujumbe wa tatizo unaosomeka "Error Compiling movie".

FOLLOW ME:
Instagram: https://instagram.com/richstartz​
Twitter: https://twitter.com/richstartz​
Facebook: https://facebook.com/richstatz​
Email: rmaguluko@gmail.com
Jinsi ya Kuzuia Mtu Kuona Jina Lako Kwenye Truecaller

Kama wewe ni mtumiaji wa simu ya Android basi ni wazi kuwa unayo au ulishawahi kujaribu app ya Truecaller kwenye simu yako. Kama ufahamu kuhusu app hii, basi pengine ni kwambie kuwa Truecaller ni app inayo kusaidia kujua nani anaekupigia simu hata kama huna namba yake kwenye phonebook ya simu yako. Hadi mwaka jana 2020, […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/04/jinsi-ya-kuzuia-mtu-kuona-jina-lako-kwenye-truecaller/
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

MAMBO 10 UMEDANGANYWA NA MOVIE (PART 2)
#Movie #Uongo
Katika episode hii nitakwenda kuchambua uongo ambao dhahiri movie za Hollywood zimekuwa zikitudanganya kiasi kwamba baadhi yetu wanaamini kuwa ni kweli..

0:00​ | Introduction
0:40​ | unaweza Kuvuta Pini ya Grenade kwa kama RAMBO?
1:28​ | unaweza kuokota grenade na kuirusha tena? James Bond
2:23​ | Mlipuko wa bomu - Man on fire movie
3:08 | Je, unaweza kupiga risasi kufuli hadi kufunguka? FBI movies
3:46 | Hivi Bunduki zenye Silencers ziko kimya kweli?
4:33​ | Je, mambomu ya kutegwa ardhini 'Landmines' hutoa sauti kabla ya kufyatuka?
4:58​ | Je! risasi huondolewa kila wakati?
6:08 | Vita za zamani ni za kikatili zaidi?
6:58​ | Unaweza Kuruka kupitia Dirisha la Kioo Bila kuumia?
7:46​ | Watu Wanaozama Wanapiga kelele?

Episode za Newzfid,
Script, narration and editing by Jimmy James
Jinsi ya Kuweka Link Kwenye Post za Instagram (2022)

Kama wewe ni mtumiaji wa mtandao wa Instagram basi ni wazi kuwa ulishawahi kujaribu kuweka link kwenye post zako za Instagram bila mafanikio, lakini hivi karibuni Instagram imeleta njia mpya ya kuweka link kwenye post zako kwa urahisi na haraka. Kupitia makala hii nitaenda kuonyesha njia hii ambayo unaweza kutumia kuweka link kwenye post zako […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/04/link-kwenye-post-za-instagram/
Samsung Galaxy A51 yafanana na simu za iPhone

Samsung Galaxy A51 imekuwa simu janja ya kwanza kufanana na iPhone na hii imefanya rununu (Galaxy A51) kuwa na upekee wa aina yake. Je, unajua ni upi huo? Ukichukua simu janja Samsung Galaxy A51 na iPhone nyingi tuu ambazo ni za miaka ya karibuni utatambua kuwa rununu hizo zinafanana kwa kitu ambacho kinaifanya simu janja...

The post Samsung Galaxy A51 yafanana na simu za iPhone appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.

https://teknolojia.co.tz/samsung-galaxy-a51-yafanana-na-simu-za-iphone/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=samsung-galaxy-a51-yafanana-na-simu-za-iphone