Teknolojia
140 subscribers
3.87K photos
5.53K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli 👋
Download Telegram
Simu janja za Google Pixel 6 bila ya uwezo wa kufungua kwa uso

Simu janja nyingi ambazo zinatengenzwa katika mika ya karibuni wanaziongezea sifa kwa kuzifanya kuwa na uwezo wa “Kufungua kwa uso” ingawa mambo ni tofauti kwa simu janja Google Pixel 6 na Pixel 6 Pro. Inakaribia miezi sita sasa tangu simu janja Google Pixel 6 na Pixel 6 Pro zitoke (zizinduliwe) lakini hadi sasa hazina teknolojia...

The post Simu janja za Google Pixel 6 bila ya uwezo wa kufungua kwa uso appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.

https://teknolojia.co.tz/simu-janja-za-google-pixel-6-bila-ya-uwezo-wa-kufungua-kwa-uso/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=simu-janja-za-google-pixel-6-bila-ya-uwezo-wa-kufungua-kwa-uso
Weka Ulinzi wa Fingerprint Kwenye App Yoyote (Android)

Wakati ikiwa bado haija fahamika kwa uhakika ni simu gani ya kwanza kuja na fingerprint, lakini ni wazi kuwa sehemu hii imekuwa ni sehemu ya muhim kwenye simu nyingi sana hasa kwa upande wa ulinzi. Kuliona hili leo kupitia makala hii nimekuletea njia rahisi na ya haraka ambayo unaweza kutumia kuweka ulinzi wa fingerprint kwenye […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/04/weka-fingerprint-kwenye-app-yoyote/
Twitter inathibitisha kuwa inafanyia kazi kitufe cha kuhariri

Twitter imethibitisha kuwa inafanyia kazi kitufe cha kuhariri ambacho kingeruhusu watumiaji kubadilisha tweets baada ya kuchapishwa. Inakuja baada ya mjumbe mpya wa bodi, bosi wa Tesla Elon Musk, kuwauliza wafuasi wake kwenye kura ya maoni ya Twitter ikiwa wanataka kipengele hicho. Watumiaji wengi wameomba kwa muda mrefu kitufe cha kuhariri lakini kuna wasiwasi kuhusu jinsi...

The post Twitter inathibitisha kuwa inafanyia kazi kitufe cha kuhariri appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.

https://teknolojia.co.tz/twitter-inathibitisha-kuwa-inafanyia-kazi-kitufe-cha-kuhariri/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=twitter-inathibitisha-kuwa-inafanyia-kazi-kitufe-cha-kuhariri
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

WATU 10 TAJIRI ZAIDI DUNIANI 2022
#Matajiri #Forbes
Orodha ya Forbes ya mabilionea 10 wanaoongoza kwa utajiri duniani mwaka 2022, Mo Dewji ameshika nafasi ya #1929

0:00​ | Introduction
1:02​ | 1. Elon Musk (Shilingi Trilioni 508.5)
1:57​ | 2. Jeff Bezos (Shilingi trilioni 397)
2:58​ | 3. Bernard Arnault (Shilingi Trilioni 367)
3:51 | 4. Bill Gates (Shilingi Trilioni 300)
5:21 | 5. Warren Buffett (Shilingi Trilioni 274)
6:11​ | 6. Larry Page (Shilingi trilioni 258)
6:49​ | 7. Sergey Brin (Shilingi Trilioni 248)
7:15 | 8. Larry Ellison (Shilingi Trilioni 246)
7:46​ | 9. Steve Ballmer (Shilingi Trilioni 212)
8:00​ | 10. Mukesh Ambani (Shilingi Trilioni 210)

Episode za Newzfid,
Script, narration and editing by Jimmy James
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @download_it_bot

Craft & DIY - 100% Turn Plastic Bottles Into A Simple And Creative 220V Water Turbine Permanent Generator | Facebook
100% Turn Plastic Bottles Into A Simple And Creative 220V Water Turbine Permanent Generator
Jinsi ya Kuongeza uwezo wa RAM Kwenye Simu ya Android

Kwa kawaida simu nyingi huja na kiasi cha kutosha cha RAM, lakini matumizi ya mtu binafsi ndio yanafanya simu kuwa na uwezo mdogo wa RAM. Sasa kuliona hili leo nimekuandalia njia rahisi ambazo unaweza kufuata ili kuongeza uwezo wa RAM ya simu yako. Njia hizi ni rahisi na zinapatikana kwenye kila simu janja a.k.a Smartphone […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/04/kuongeza-ram-kwenye-simu/