Teknolojia
140 subscribers
3.87K photos
5.54K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli πŸ‘‹
Download Telegram
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

MASWALI MAGUMU WATU WAMEULIZA GOOGLE
0:00​ | Introduction
0:41 | Kwanini wakristo wengi ni maskini?
2:40​ | Kwanini wanaume wanakufa mapema?
4:28​ | Kwanini wanawake wanapenda wanaume warefu?

Jinsi ya kujiunga na kozi yangu ya YouTube masterclass
(1) Lipia Tsh.10,000 kwenda MPESA 0768712711 (James Chungu)
(2) Utatumiwa username na password baada ya malipo
(3) Tembelea https://course.afrojuke.com kisha login kwa kutumia username na password uliyotumiwa
App Store ya Urusi imepoteza takriban programu elfu 7 tangu kuvamia kwake Ukraini, lakini baadhi ya programu za makampuni makubwa kiteknolojia zimesalia

App Store ya Urusi imepoteza programu 6,982 za simu janja tangu kuanza kwa uvamizi wa Ukraine, kwani kampuni nyingi sasa zimeondoa programu na magemu yao kutoka App Store ya Apple nchini humo, kulingana na data iliyoshirikiwa na TechCrunch na kampuni ya kijasusi ya Sensor Tower. Kufikia sasa, programu hizo zilikuwa zimepakuliwa takriban mara milioni 218...

The post App Store ya Urusi imepoteza takriban programu elfu 7 tangu kuvamia kwake Ukraini, lakini baadhi ya programu za makampuni makubwa kiteknolojia zimesalia appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.

https://teknolojia.co.tz/app-store-ya-urusi-imepoteza-takriban-programu-elfu-7-tangu-kuvamia-kwake-ukraini-lakini-baadhi-ya-programu-za-makampuni-makubwa-kiteknolojia-zimesalia/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=app-store-ya-urusi-imepoteza-takriban-programu-elfu-7-tangu-kuvamia-kwake-ukraini-lakini-baadhi-ya-programu-za-makampuni-makubwa-kiteknolojia-zimesalia
Fahamu Anaepiga Simu na Kutuma SMS (Truecaller Pro)

Kama wewe ni mmoja wa watumiaji wa programu ya Truecaller basi habari njema kwako kwani kupitia makala hii nitakuonyesha jinsi ya kupata toleo la app ya Truecaller Pro bila kulipia kitu chochote. Pengine unajiuliza kwanini imebidi mpaka kuandikia makala yake..?, Ni wazi kuwa Truecaller ni moja kati ya programu bora sana ambazo zinaweza kukusaidia kujua […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/03/truecaller-pro/
Muundo mpya wa muonekano wa tabiti kwenye Windows 11

Windows 11 ni programu endeshi ambayo inawika sehemu nyingi duniani na inachagizwa na upya wake kitu ambacho watu wengi ulimwenguni wanaweka toleo hilo kwenye kompyuta zao bila kujali kifaa husika kimekidhi vigezo vya kuwa na sifa zinazohitajika kuwa katika sehemu salama ya kupakua masasisho yanapotoka. Maboresho mbalimbali yamekuwa yakifanyika kwenye toleo hilo la programu endeshi...

The post Muundo mpya wa muonekano wa tabiti kwenye Windows 11 appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.

https://teknolojia.co.tz/muundo-mpya-wa-muonekano-wa-tabiti-kwenye-windows-11/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=muundo-mpya-wa-muonekano-wa-tabiti-kwenye-windows-11
Jinsi ya Kujua Mafile Yanayochukua Nafasi Kubwa (Kompyuta)

Kama wewe ni mtumiaji wa kompyuta na umekuwa ukiona kompyuta yako inaiishiwa na nafasi au storage mara kwa mara basi makala hii ni kwa ajili yako. Kupitia makala hii nitakuonyesha njia rahisi na ya haraka ambayo itakusaidia sana kuweza kujua ni file gani au programu gani ambayo inachukua nafasi zaidi kwenye kompyuta yako. Njia hii […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/03/mafile-makubwa-kompyuta/
Zaidi ya miaka 11 sasa bila Instagram kwenye iPad

Instagram ni maarufu duniani kote na ina zaidi ya miaka 11 tangu iletwe kwa watumiaji lakini programu hiyo tumishi haipo kwenye iPad. Unaweza ukashangaa kuwa kwa zaidi ya miaka 11 Instagram imekuwa ikitumika lakini programu tumishi husika β€œHalina” toleo mahususi la kutumika kwenye iPad. Wenye iPad na wanaotumia Instagram wataasema wanaweza kuingia kwenye akaunti zao...

The post Zaidi ya miaka 11 sasa bila Instagram kwenye iPad appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.

https://teknolojia.co.tz/zaidi-ya-miaka-11-sasa-bila-instagram-kwenye-ipad/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=zaidi-ya-miaka-11-sasa-bila-instagram-kwenye-ipad
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

MAMBO 10 USIYOYAJUA KUHUSU BAKHRESA
#Bakhresa #Azam
Said Salimu Bakhresa,mwasisi wa chapa ya Azam ni mfanyabiashara mwenye mafanikio na uzoefu wa zaidi ya miaka 50 wa kusimamia biashara.

0:00​ | Introduction
0:56​ | Historia ya Bakhresa
1:34​ | Biashara za kwanza za Bakhresa
2:19​ | Kuja kwa Azam
3:13 | Ukubwa wa Bakhresa Group
3:54 | watoto wa Bakhresa
4:41​ | Kifo cha mtoto mmoja wa Bakhresa
5:​25 | Yusuf Bakhresa
6:09 | Bakhresa ana kampuni ya mawasiliano ya simu?
6:43 | Thamani ya utajiri wa Bakhresa (Bakhresa Networth)
7:56​ | Funzo kutokea stori ya maisha ya Bakhresa

Jinsi ya kujiunga na kozi yangu ya YouTube masterclass
(1) Lipia Tsh.10,000 kwenda MPESA 0768712711 (James Chungu)
(2) Utatumiwa username na password baada ya malipo
(3) Tembelea https://course.afrojuke.com kisha login kwa kutumia username na password uliyotumiwa
Uwezekano wa kuonyesha kuwa umependezwa na kitu kwenye WhatsApp Desktop

WhatsApp Desktop imekuwa mkombozi wa watu wengi ambao kutokana na sababu mbalimbali inakuwa rahisi kwetu kujibu jumbe kwa kupitia kwenye kompyuta hivyo kuifanya simu janja kwenda likizo ya muda πŸ˜€ πŸ˜€ . Maboresho kadha wa kadha yameshafanyika kwenye WhatsApp Desktop (web) na bado tuu inaendelea kuwekwa vitu vizuri. Sisi ambao tunapenda kufahamu mengi pale tunapotumia...

The post Uwezekano wa kuonyesha kuwa umependezwa na kitu kwenye WhatsApp Desktop appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.

https://teknolojia.co.tz/uwezekano-wa-kuonyesha-kuwa-umependezwa-na-kitu-kwenye-whatsapp-desktop/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=uwezekano-wa-kuonyesha-kuwa-umependezwa-na-kitu-kwenye-whatsapp-desktop