HAJIMURON255🌏 (Instagram)
Utajuaje kama iphone unayotaka kununua ni fake au original ?
Huwezi kuwa na wasiwasi kama umenunua simu yako ya iphone Kali mpya kutoka kwenye masoko ya apple store au kutoka kwenye maduka yanayo haminika kama @south_to_tz @simukitaa_
Lakini Kununua simu ya iphone kwenye maduka ambayo sio 😳 ya kuhaminika sana au maduka yapo yapo tu unahitaji kuwa muangalifu sana.
Unajua simu nyingi fake za iphone wale watengenezaje wamewexa kushinda kwenye ku design tu.
1️⃣ Angalia apple warranty
Generally , apple Huwa wanatoa mda wa warranty kwenye simu zao usizidi mwaka mmoja (mwaka mmoja tu) Kwa vifaa vyake. vyote unavyovijua wewe ambavyo umenunua
Kuangalia kama simu yako inayo warranty au akuna unahitaji ujue serial number. Ingia setting kwenye simu > general > about utaona number ambazo hizo namba lazima liwe sawa na kule kwenye...
View original post
Utajuaje kama iphone unayotaka kununua ni fake au original ?
Huwezi kuwa na wasiwasi kama umenunua simu yako ya iphone Kali mpya kutoka kwenye masoko ya apple store au kutoka kwenye maduka yanayo haminika kama @south_to_tz @simukitaa_
Lakini Kununua simu ya iphone kwenye maduka ambayo sio 😳 ya kuhaminika sana au maduka yapo yapo tu unahitaji kuwa muangalifu sana.
Unajua simu nyingi fake za iphone wale watengenezaje wamewexa kushinda kwenye ku design tu.
1️⃣ Angalia apple warranty
Generally , apple Huwa wanatoa mda wa warranty kwenye simu zao usizidi mwaka mmoja (mwaka mmoja tu) Kwa vifaa vyake. vyote unavyovijua wewe ambavyo umenunua
Kuangalia kama simu yako inayo warranty au akuna unahitaji ujue serial number. Ingia setting kwenye simu > general > about utaona number ambazo hizo namba lazima liwe sawa na kule kwenye...
View original post
How To Use Telegram Inbuilt Proxy — InFoTel - Telegram
https://youtu.be/uWA6Ngy003s 6:43
https://youtu.be/uWA6Ngy003s 6:43
YouTube
How To Use Telegram Inbuilt Proxy
Telegram also supports proxy servers, allowing users to hide their IP address by connecting to a custom Proxy server. This works similar to how a VPN connection works and is only for advanced users who know what they’re doing. While a proxy is not as secure…
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)
Fuatilia kipindi cha Mawasiliano kwa Maendeleo kujionea ukuaji wa Sekta ya Mawasiliano katika Wilaya ya Kisarawe kupitia chaneli ya TBC 1 kuanzia saa tatu na dakika tano usiku (3:05)
Usikose!!
Fuatilia kipindi cha Mawasiliano kwa Maendeleo kujionea ukuaji wa Sekta ya Mawasiliano katika Wilaya ya Kisarawe kupitia chaneli ya TBC 1 kuanzia saa tatu na dakika tano usiku (3:05)
Usikose!!