Teknolojia
139 subscribers
3.87K photos
5.6K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli πŸ‘‹
Download Telegram
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

β€œTutumie Mawasiliano Kujiletea Maendeleo β€œ
HAJIMURON255🌏 (Instagram)

Utajuaje kama simu yako imeathiliwa na virusi au spyware

Kuna wakati unakuta simu yako Kuna tabia imejitokeza ambayo mwanzoni haikuwepo maana tunatumia simu zetu kuingilia sehemu tofauti tofauti hatujui kha ni Salama kwetu.

1️⃣ Betri la simu yako kuisha hovyo
Ikiwa simu yako imeathiliwa na virusi au spyware basi matumizi ya betri yanakua makubwa kupelekea simu yako kuisha betri hovyo hovyo kila wakati. Ukiona betri lako linaisha sana chaji alafu jipya jua Kuna app zinafanya kazi bila wewe kujua.

Hivyo sio rahisi kuzigundua kikawaida inabidi uingie setting kwenye simu yako >> battery alafu tizama app ambazo zinakula sana betri lako.

2️⃣ Simu kupata joto

Ni kawaida simu kupata moto ukiwa unatumia kama kucheza games au kuchati sana , lakini inakuwaje simu yako hutumi lakini πŸ˜‚ mzigo unakua wa moto jua kuwa Kuna kitu ha...

View original post