Teknolojia
140 subscribers
3.87K photos
5.6K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli 👋
Download Telegram
HAJIMURON255🌏 (Instagram)

𝗠𝗮𝘂𝗷𝗮𝗻𝗷𝗮 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗴𝗲𝘂𝘇𝗮 𝗺𝗮𝗻𝗲𝗻𝗼 𝗷𝘂𝘂 𝗰𝗵𝗶𝗻𝗶 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘆𝗮𝗸𝗼

Katika pita pita zako Mitandao ya kijamii hujawahi kukutana na maneno ambayo yamegeuka yaani yako kwenye mfumo wa juu chini ?

Okay najua umeshawahi kukutana nayo ila hukujua nini Cha kufanya au labda unajua ila umesahau basi 😄 Leo ngoja niwakumbushe sio mbaya.

Ngoja niwape mfano muweze kuona maana bila vitendo naweza kuwavuruga Bure tizama hapa 👇

👉 ɐpuǝdɐʍɐuɐ ϛϛᄅɥɔǝʇoƃuoq ᴉɹɐqɐH

😄😄 Umeona Sasa jinsi ya kufanya we ingia google Kisha andika

▫️ Upsidedowntext.com
▫️fliptext.net
▫️Manytools.org

Kupitia hizo tovuti basi utaweza kugeuza maneno unayoyataka kwenye simu yako juu chini 😁 wale watumiaji wa iOS , android , window , Mac os zinafanya kazi zote.

Ebu tuonyeshe na wewe yako kama umefanikiwa kugeuza maneno juu chi...

View original post
HAJIMURON255🌏 (Instagram)

𝙉𝙖𝙨𝙝𝙞𝙣𝙙𝙬𝙖 𝙠𝙪𝙥𝙤𝙨𝙩 𝙄𝙣𝙨𝙩𝙖𝙜𝙧𝙖𝙢 𝙞𝙣𝙖𝙖𝙣𝙙𝙞𝙠𝙖 " 𝙉𝙤𝙩 𝙥𝙤𝙨𝙩𝙚𝙙 𝙔𝙚𝙩. 𝙏𝙧𝙮 𝙖𝙜𝙖𝙞𝙣 "

Moja kati ya jambo linachukiza Kila ukitaka kupost Instagram picha au video inaandika not posted yet try again shida nini ?

Shida kama hii inaweza kutokea kutokana na sababu mbalimbali Moja wapo ni app yako ya Instagram kushindwa kufanya kazi vizuri hivyo kupelekea kushindwa kuposti Instagram 😔.

Unajikuta bando unalo 1Gb alafu 😄 post ya mb 2 inakataa 😡😡 relax Leo tunaondoa tatizo lako kwa njia rahisi Sana usijali.

▫️ Kwanza hakikisha mtandao wako huko imara ( intaneti yako hiko poa) kama unaona huielewi elewi fanya hivi ingia setting Kisha >> about phone || device >> reset option >> Kisha app preference .

▫️ Zima Kisha washa simu yako baada ya kufanya app preference Zima na uwashe s...

View original post