Teknolojia
132 subscribers
3.74K photos
4.42K videos
93 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Namna ya kufanya telegram ifanye kazi kwenye simu,Laptop au Kompyuta kwa kutumia VPN 🀣🀣 πŸ‡°πŸ‡ͺ
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Hook: JIUNGE NA MAFUNZO YA AI β€œAI FOR EVERYONE MASTERCLASS” Jifunze kutumia AI kwa njia rahisi na yenye matokeo
AI sio ya kesho β€” ni ya sasa. Na tayari inabadilisha jinsi tunavyofanya kazi, tunavyounda, tunavyojifunza na tunavyopata kipato. 🌟 Mafunzo ya Masterclass hii ni ya ana kwa ana na yameandaliwa kukupa maarifa na ujuzi wa kutumia nguvu ya AI β€” bila kujali wewe ni nani au unafanya nini. πŸ‘” Wataalamu / Professionals – Ongeza ufanisi wa kazi, punguza muda wa kazi na uwe mbele ya wenzako kwenye sekta yako.
🎨 Wabunifu / Creatives – Geuza AI iwe mshirika wako wa ubunifu kwa michoro, muziki, content na zaidi.
πŸ’Ό Vijana & Wajasiriamali – Jifunze njia halisi za kutumia AI kuanzisha miradi ya pembeni, kufanya freelancing haraka na kupata kipato.
πŸ“š Wanafunzi & Walimu – Tumia AI kwa utafiti, kuandika, kutengeneza mawazo mapya na kufanikisha masomo yako. Utakachojifunza: βœ… AI ni nini hasa (na sio nini)
βœ… Jinsi ya kuandika prompt bora ili kupata matokeo ya kweli
βœ… Sehemu AI inavyotumika kwenye biashar
@Huduma

πŸ’¨ Siku hizi Kabila la Hadzabe limekuwa maarufu huko nchi za Asia kuliko hata maasai.

Hawa jamaa huko Tiktok wametengeneza hadi T-shirts za Dudukwe 😁
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

iPhone 16 vs 15 vs 14 vs 13 vs 12 Battery Test | BATTERY CHARGING TEST
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ Samsung A17 5G πŸ”₯❣️

Hii ni ya moto sanaπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ Redmi Note 15 Pro+ inakuja na

β–ͺ️7000mAh battery kubwa
β–ͺ️90W Fast Charging

Battery la hii simu unalitumia miaka 5 mfululizo bila kupoteza ubora.
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ Nothing wanatuletea powerbank yao inayopokea software update 😁

β–ͺ️20,000mAh
β–ͺ️65W fast charging
β–ͺ️Glyph light
β–ͺ️Wireless charging
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Uchambuzi wa kina juu ya teknolojia ya Meta AI πŸ‡°πŸ‡ͺ
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Hook: JIUNGE NA MAFUNZO YA AI β€œAI FOR EVERYONE MASTERCLASS” Jifunze kutumia AI kwa njia rahisi na yenye matokeo
AI sio ya kesho β€” ni ya sasa. Na tayari inabadilisha jinsi tunavyofanya kazi, tunavyounda, tunavyojifunza na tunavyopata kipato. 🌟 Mafunzo ya Masterclass hii ni ya ana kwa ana na yameandaliwa kukupa maarifa na ujuzi wa kutumia nguvu ya AI β€” bila kujali wewe ni nani au unafanya nini. πŸ‘” Wataalamu / Professionals – Ongeza ufanisi wa kazi, punguza muda wa kazi na uwe mbele ya wenzako kwenye sekta yako.
🎨 Wabunifu / Creatives – Geuza AI iwe mshirika wako wa ubunifu kwa michoro, muziki, content na zaidi.
πŸ’Ό Vijana & Wajasiriamali – Jifunze njia halisi za kutumia AI kuanzisha miradi ya pembeni, kufanya freelancing haraka na kupata kipato.
πŸ“š Wanafunzi & Walimu – Tumia AI kwa utafiti, kuandika, kutengeneza mawazo mapya na kufanikisha masomo yako. Utakachojifunza: βœ… AI ni nini hasa (na sio nini)
βœ… Jinsi ya kuandika prompt bora ili kupata matokeo ya kweli
βœ… Sehemu AI inavyotumika kwenye biashar
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ Kesho kutokuwa na uzinduzi wa Google Pixel 10 series
@Huduma

πŸ’¨ Xiaomi OpenWear Stereo

Hizi earphone zina mziki wa bilioni 7 ila Xiaomi wanaziuza 350,000

Kwa watu wanaokimbia mali hii hapa
@Huduma

πŸ’¨ Oppo Find X9 Pro inakuja ikiwa na jumla ya Camera 4

Kati ya hizo sensors 3 wamezitoa Samsung na 1 Sony.
πŸ’‘ Kumbuka:
Simu yako ni investment. Ikiwa utaitunza vizuri, itakudumu kwa muda mrefu, kufanya kazi kwa ufanisi, na kukupa experience nzuri kila siku.
Zaidi ya hayo, simu inakuwa slow, na apps zinaweza ku-crash mara kwa mara.

Suluhisho: Funga apps zisizohitajika mara baada ya kutumia. Tumia task manager au settings za battery optimization ili kudhibiti background activities.
3. KUACHA APPS ZIKI-RUN BACKGROUND
Kuna apps ambazo huendelea kufanya kazi nyuma ya pazia (background) bila wewe kujua.

Hii inaharibu RAM, battery na mara nyingine husababisha simu kupasha moto.