This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma
Jifunze Matumizi ya kila Usb unazokutana nazo kila siku na matumizi yake katika Vifaa mbalimbali
Jifunze Matumizi ya kila Usb unazokutana nazo kila siku na matumizi yake katika Vifaa mbalimbali
〽︎ Teknolojia
💨Baada ya mapokeo ya Samsung A06 series (A06,A16, A26,A36na A56) kufanya poa kwenye soko mwishoni na mwanzoni mwa mwaka huu. Samsung wapo mbioni kuwaletea A07 series.
Huu utakuwa Muonekano wa Samsung A17🔥🔥👇
💨Baada ya mapokeo ya Samsung A06 series (A06,A16, A26,A36na A56) kufanya poa kwenye soko mwishoni na mwanzoni mwa mwaka huu. Samsung wapo mbioni kuwaletea A07 series.
Huu utakuwa Muonekano wa Samsung A17🔥🔥👇
5️⃣ Njia ya muda mfupi (bypass)
Ikiwa uko kwenye simu na screen imezimika kabisa:
Bonyeza power button kwa sekunde 1 kurudisha screen
Tumia earphones au Bluetooth ili usiguse screen kabisa
Tumia apps kama Call Confirm kuzuia kupiga bila kuthibitisha
Ikiwa uko kwenye simu na screen imezimika kabisa:
Bonyeza power button kwa sekunde 1 kurudisha screen
Tumia earphones au Bluetooth ili usiguse screen kabisa
Tumia apps kama Call Confirm kuzuia kupiga bila kuthibitisha
4️⃣ Ufumbuzi wa haraka
🧽 Safisha eneo la juu la simu (karibu na kamera)
🧩 Ondoa tempered glass nzito au isiyo na ‘sensor hole’
⚙️ Test sensor kwa app kama Sensor Test
🔧 Ikiwa imeharibika kabisa – fundi anaweza kubadilisha proximity sensor
🧽 Safisha eneo la juu la simu (karibu na kamera)
🧩 Ondoa tempered glass nzito au isiyo na ‘sensor hole’
⚙️ Test sensor kwa app kama Sensor Test
🔧 Ikiwa imeharibika kabisa – fundi anaweza kubadilisha proximity sensor