Note: – Backup hurekodiwa kila siku au kila wiki kulingana na settings zako. – Ukiwa huja-backup kwa muda mrefu, chats za karibuni zinaweza kupotea.
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
Simu haijui lugha ya kibinadamu, lakini mbona ukiandika "A" kwenye keyboard inaandika herufi hiyo hiyo kwenye kioo? Jibu litakushangaza — yote ni ujanja wa namba na binary!
Simu haijui lugha ya kibinadamu, lakini mbona ukiandika "A" kwenye keyboard inaandika herufi hiyo hiyo kwenye kioo? Jibu litakushangaza — yote ni ujanja wa namba na binary!
@Huduma
💨 VIVO imeongoza kuuza simu nyingi zaidi India kwenye robo ya pili ya 2025
XIAOMI toka 2022 alianza kupotea sokoni wakatolewa No1 na SAMSUNG sasa wameshushwa hadi No4.
NB: Vivo, Oppo na Realme zote zipo chini ya BKK Company.
💨 VIVO imeongoza kuuza simu nyingi zaidi India kwenye robo ya pili ya 2025
XIAOMI toka 2022 alianza kupotea sokoni wakatolewa No1 na SAMSUNG sasa wameshushwa hadi No4.
NB: Vivo, Oppo na Realme zote zipo chini ya BKK Company.
🛡️ 8. Jinsi ya kujikinga baada ya hapa
Kama hujapoteza picha zako leo, jifunze kabla hujalia kesho:
✅ Washa Google Photos Backup
✅ Copy picha zako kwenye external SD card au USB flash drive
✅ Tumia Telegram kujitumia picha zako kwa usalama
Kama hujapoteza picha zako leo, jifunze kabla hujalia kesho:
✅ Washa Google Photos Backup
✅ Copy picha zako kwenye external SD card au USB flash drive
✅ Tumia Telegram kujitumia picha zako kwa usalama
🔧 7. Tumia Apps za Recovery (kwa Android)
App kama DiskDigger, EaseUS MobiSaver, au Dr.Fone huweza ku-recover picha hata baada ya kufutwa kabisa.
App kama DiskDigger, EaseUS MobiSaver, au Dr.Fone huweza ku-recover picha hata baada ya kufutwa kabisa.
➡️ Tumia search (kwa jina, mahali, tarehe nk).
➡️ Ukiziona, unaweza kuzidownload moja kwa moja.
NB: Backup inafanya kazi tu kama uliwahi kuiwasha.
➡️ Ukiziona, unaweza kuzidownload moja kwa moja.
NB: Backup inafanya kazi tu kama uliwahi kuiwasha.
Hapa unaweza kukuta picha nyingi ndogo (low res), lakini bora kuliko kupoteza zote.
NB: Hakikisha ume-ON "Show hidden files".
NB: Hakikisha ume-ON "Show hidden files".
⚠️ Lakini:
➡️ Inafanya kazi vizuri kama bado hujatumia sana simu tangu ulipofuta.
➡️ Root access inaweza kuhitajika kwa recovery ya kina.
➡️ Inafanya kazi vizuri kama bado hujatumia sana simu tangu ulipofuta.
➡️ Root access inaweza kuhitajika kwa recovery ya kina.