Teknolojia
129 subscribers
3.71K photos
4.37K videos
90 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
5. Usinunue simu kwa jina au brand — nunua kulingana na thamani.

Simu nyingi zenye jina zina gharama ya jina tu, lakini performance iko sawa na simu nyingine nusu bei yake.
▪️Nahitaji 5G au 4G inanitosha?

▪️Naweza kutumia simu hii kwa miaka mingapi?
3. Gawa bajeti yako katika makundi haya:

🔹 <250,000 TZS → Basic communication (calls, SMS, WhatsApp).

🔹 250K–500K → Kwa wanaotaka apps za kawaida + kamera ya wastani.
Simu nzuri ni ile inayokidhi mahitaji yako, si ile inayowashangaza watu kwenye meza ya kahawa.
︎ Teknolojia

💨KWA BAJETI YAKO UNUNUE SIMU YA NAMNA GANI?

Jinsi ya kujua bajeti sahihi kabla hujanunua simu”

Thread ya kusaidia watu wanaotaka kununua simu lakini hawajui bajeti yao halisi wala mahitaji yao ya msingi.

🧵🧵👇
🔹 500K–1M → Kazi, kamera nzuri, multitasking.

🔹 1M+ → High performance, content creation, gaming, 5G.
1. Bajeti ya simu siyo hela tu uliyonayo ni uwezo wako + mahitaji yako.

Kuna watu wana 1M lakini wakinunua simu ya 1M watashindwa hata kununua vocha wiki mbili.

Bajeti nzuri hujengwa kwa kufikiria matumizi yako ya kila siku.
4. Angalia gharama za "baada ya kununua":

Je, betri ya simu hii ni rahisi kuharibika?

Spare parts zipo na ni rahisi?

Screen protector au kava zinapatikana kirahisi?
6. Angalia review kwenye YouTube & X kuhusu simu hiyo lakini chuja hype.

Review sahihi itakuambia kama simu hiyo ina matatizo kama: overheating, poor battery life, au software bugs.
2. Jiulize maswali 5 kabla ya kutafuta simu:

▪️Je, nitaitumia zaidi kwa kazi, mawasiliano au starehe?

▪️Kamera ni muhimu sana kwangu?

▪️Natumia apps nzito kama video editing au games?
︎ Teknolojia

💨Umesikia kuhusu hii simu?
Doogee S200 Max simu yenye battery yenye capacity ya 22000 mAh na fast charger ya 66W.

Kwa sasa huenda ndo simu yenye battery yenye capacity kubwa zaidi.

Lakini simu bado haijazinduliwa iliyopo ni Doogee S200 yenye battery ya capacity 10,100mAh
👇
︎ Teknolojia

💨 OFFER SAMSUNG A SERIES

▪️A05 (4+64) - 250K
▪️A06 (4+64) - 300K
▪️A06 (4+128) - 330K
▪️A05s (4+128) - 350K
▪️A16 (4+128) -420K
▪️A16 (6+128) - 450K
▪️A16 (8+256) - 580K
▪️A26 5G (6+128) - 680K
▪️A26 5G (8+256) - 780K
▪️A36 5G (6+128) - 900K
▪️A36 5G (8+256) - 1M
▪️A56 5G (8+128) - 1M
▪️A56 5G (8+256) - 1.15M

📍Dar: KKKT Kariakoo
📍Mwanza: Roundabout ya Samaki
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 NOTHING NEW UPDATE 💥

▪️CMF Phone1 (6+128) - 600K
▪️Phone2a (12+256) - 850K
▪️Phone 2 (12+256) - 980K

(NON ACTIVE)
▪️CMF Phone1 (8+256) - 850K
▪️Phone2a (8+256) - 1.15m
▪️Phone2a Plus (12+256) - 1.3m
▪️Phone 2 (12+256) - 1.58m
▪️Phone 3a (12+256) - 1.25M
▪️Phone 3a Pro (12+256) - 1.45M

📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

Kuna watu walijua maduka mazuri yapo Dar tu😂😂Kumbe mbeya pia kuna babalao BLAX STORE 😬
︎ Teknolojia

💨 USED DUBAI (Original Display)👇

▪️Pixel 7 (8+128) - 550K
▪️Pixel 7a (8+128) - 550K
▪️Pixel 8 (8+128) - 850K
▪️Pixel 8 Pro (12+128) - 1.15M

PIXEL MPYA (Non Active)💥
▪️Pixel 9a (8+128) - 1.45M
▪️Pixel 9a (8+256) - 1.7M
▪️Pixel 9 (12+128) - 1.75M
▪️Pixel 9 (12+256) - 2.1M
▪️Pixel 9 Pro (16+128) - 2.35M
▪️Pixel 9 Pro (16+256) - 2.65M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+128) - 2.4M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+256) - 2.65M

📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 Redmi 14C 💥

Redmi 14C Specifications
▪️ Camera: 50MP
▪️ Storage: 128GB/256GB
▪️ RAM: 4GB
▪️ Battery Capacity: 5000mAh 👇

💥 Price: (4GB + 128GB) 300,000
(8GB + 256GB) 350,000

📍 Likoma, Opposite KKKT Kariakoo
📍 Roundabout ya samaki, Mwanza
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
📊 Threads inazidi kupanda kwa spidi, na soon itaipita X/Twitter kwa kuwa na watumiaji wengi ambao wapo active.

Meta imemteua Connor Hayes, Makamu wa Rais wa Bidhaa kwa upande wa Generative AI, kuongoza Threads, akichukua nafasi ya Adam Mosseri ambaye alikuwa Mkuu wa Instagram.
7. Epuka haya ili usiharibu battery calibration:

Kuacha simu ipoteze chaji hadi 0 mara kwa mara
Kuchaji usiku kucha kila siku
Kuweka apps zinazodanganya stats za battery
Kutumia simu kwenye joto kali au apps nzito wakati inachaji
3. Chanzo cha tatizo hili ni nini?

Battery calibration inaweza kuharibika kutokana na:

— Kuacha simu mpaka ifike 0% mara kwa mara
— Kuweka firmware isiyo rasmi (custom ROMs)