Teknolojia
129 subscribers
3.71K photos
4.37K videos
90 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
Tumia apps salama kama CCleaner au SD Maid
Futa OTA residues: Settings > About > Software updates > Storage cleanup
Kama storage yako iko chini ya 10% – simu yako inaweza kuwa slow kwa hadi 30%.
5. Njia za kufuta hii hidden data (bila kufomati simu):
Tumia Files by Google → nenda Clean
Nenda Settings > Storage > Apps > Clear cache manually
Tafuta na futa folder .thumbnails
9. Ukiona “Other files” kwenye storage yako zina 5GB+ — jua kuna cache, logs, na OTA updates zimejificha humo.

🎯 Zifuatilie. Zisafishe. Linda performance ya simu yako.
4. Matokeo ya hali hii?
🔻 Simu inakuwa slow

🔻 Inashindwa kupokea updates

🔻 Kamera inashindwa kupiga picha

🔻 Apps zinagoma kufunguka
7. BONUS: Jinsi ya kuzuia storage kujaa mara kwa mara:
🔹 Badilisha settings za WhatsApp auto-download
🔹 Clear cache ya TikTok, YouTube, IG weekly
🔹 Usiruhusu apps zisizotumika kukaa idle kwa miezi
🔹 Tumia app ya Storage Analyzer ku-track folders zenye mzigo mkubwa
3. Mfano kwenye simu ya kawaida ya Android (storage breakdown):
📱 TikTok cache – 1.5GB
📱 WhatsApp hidden media – 800MB
📱 .thumbnails – 600MB
📱 Logs za mfumo – 1GB
📱 App update backups – 500MB
🟰 Zaidi ya 4.5GB umejaa kimyakimya!
6. Tahadhari kubwa ⚠️
⚠️ Usifute mafaili kwenye /Android/data/ au system folders bila kuelewa maana yake.
⚠️ Ukifuta OTA packages vibaya – unaweza kuvuruga updates zako.
90% ya watumiaji Android hawajui hizi hidden files zipo.
👉 Ndiyo maana storage hujaa na hawajui nini cha kufanya – wanaishia kufomati tu!
Kumbuka:
🧹 Kusafisha cache si kosa – ni njia ya kuongeza maisha ya simu yako.
🛠️ Usitumie apps za usafishaji hovyo hovyo – zingine huiba data au kuweka ads.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

Hakikisha Hizi settings umezifanya ili uweze kuitrack sim yako ikiibiwa
︎ Teknolojia

💨 Xiaomi Mi 11 lite 5G 128GB - 380K tu

📍KKKT Kariakoo
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨iPhone 17 pro max rangi ya dark blue na Orange 🔥🔥
︎ Teknolojia

💨 NOTHING PHONE (Non Active)

▪️CMF Phone1 (8+256) - 850K
▪️Phone2a (8+256) - 1.2m
▪️Phone2a Plus (12+256) - 1.35m
▪️Phone 2 (12+256) - 1.58m
▪️Phone 2 (12+512) - 1.75m
▪️Phone 3a (12+256) - 1.25M
▪️Phone 3a Pro (12+256) - 1.45M

📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

CGJ2J39UELG Imethibitishwa UMEUSTUA MOYO WANGU Tarehe 19/7/25 saa 2:18 PM. Salio langu jipya ni UPENDO WA DHATI KWAKO.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
🆕 DuckDuckGo imeweka sehemu mpya ya kuficha picha zilizotengenezwa na AI kwenye matokeo ya utafutaji. https://twitter.com/DuckDuckGo/status/1944766326381089118#m
︎ Teknolojia

💨 Dada ukikutana na kijana anatumia simu kama hii ujue;-

Ni muaminifu, hadanganyi, anapenda kusikiliza, ukimkosea hakupigi anakuelekeza kwa upole, anakufundisha mambo mapya,

Sio tajiri ila anaweza kukufanya ujihisi uko peponi.