✅ Tumia apps salama kama CCleaner au SD Maid
✅ Futa OTA residues: Settings > About > Software updates > Storage cleanup
✅ Futa OTA residues: Settings > About > Software updates > Storage cleanup
5. Njia za kufuta hii hidden data (bila kufomati simu):
✅ Tumia Files by Google → nenda Clean
✅ Nenda Settings > Storage > Apps > Clear cache manually
✅ Tafuta na futa folder .thumbnails
✅ Tumia Files by Google → nenda Clean
✅ Nenda Settings > Storage > Apps > Clear cache manually
✅ Tafuta na futa folder .thumbnails
9. Ukiona “Other files” kwenye storage yako zina 5GB+ — jua kuna cache, logs, na OTA updates zimejificha humo.
🎯 Zifuatilie. Zisafishe. Linda performance ya simu yako.
🎯 Zifuatilie. Zisafishe. Linda performance ya simu yako.
4. Matokeo ya hali hii?
🔻 Simu inakuwa slow
🔻 Inashindwa kupokea updates
🔻 Kamera inashindwa kupiga picha
🔻 Apps zinagoma kufunguka
🔻 Simu inakuwa slow
🔻 Inashindwa kupokea updates
🔻 Kamera inashindwa kupiga picha
🔻 Apps zinagoma kufunguka
7. BONUS: Jinsi ya kuzuia storage kujaa mara kwa mara:
🔹 Badilisha settings za WhatsApp auto-download
🔹 Clear cache ya TikTok, YouTube, IG weekly
🔹 Usiruhusu apps zisizotumika kukaa idle kwa miezi
🔹 Tumia app ya Storage Analyzer ku-track folders zenye mzigo mkubwa
🔹 Badilisha settings za WhatsApp auto-download
🔹 Clear cache ya TikTok, YouTube, IG weekly
🔹 Usiruhusu apps zisizotumika kukaa idle kwa miezi
🔹 Tumia app ya Storage Analyzer ku-track folders zenye mzigo mkubwa
3. Mfano kwenye simu ya kawaida ya Android (storage breakdown):
📱 TikTok cache – 1.5GB
📱 WhatsApp hidden media – 800MB
📱 .thumbnails – 600MB
📱 Logs za mfumo – 1GB
📱 App update backups – 500MB
🟰 Zaidi ya 4.5GB umejaa kimyakimya!
📱 TikTok cache – 1.5GB
📱 WhatsApp hidden media – 800MB
📱 .thumbnails – 600MB
📱 Logs za mfumo – 1GB
📱 App update backups – 500MB
🟰 Zaidi ya 4.5GB umejaa kimyakimya!
6. Tahadhari kubwa ⚠️
⚠️ Usifute mafaili kwenye /Android/data/ au system folders bila kuelewa maana yake.
⚠️ Ukifuta OTA packages vibaya – unaweza kuvuruga updates zako.
⚠️ Usifute mafaili kwenye /Android/data/ au system folders bila kuelewa maana yake.
⚠️ Ukifuta OTA packages vibaya – unaweza kuvuruga updates zako.
90% ya watumiaji Android hawajui hizi hidden files zipo.
👉 Ndiyo maana storage hujaa na hawajui nini cha kufanya – wanaishia kufomati tu!
👉 Ndiyo maana storage hujaa na hawajui nini cha kufanya – wanaishia kufomati tu!
Kumbuka:
🧹 Kusafisha cache si kosa – ni njia ya kuongeza maisha ya simu yako.
🛠️ Usitumie apps za usafishaji hovyo hovyo – zingine huiba data au kuweka ads.
🧹 Kusafisha cache si kosa – ni njia ya kuongeza maisha ya simu yako.
🛠️ Usitumie apps za usafishaji hovyo hovyo – zingine huiba data au kuweka ads.
〽︎ Teknolojia
💨 NOTHING PHONE (Non Active)
▪️CMF Phone1 (8+256) - 850K
▪️Phone2a (8+256) - 1.2m
▪️Phone2a Plus (12+256) - 1.35m
▪️Phone 2 (12+256) - 1.58m
▪️Phone 2 (12+512) - 1.75m
▪️Phone 3a (12+256) - 1.25M
▪️Phone 3a Pro (12+256) - 1.45M
📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
💨 NOTHING PHONE (Non Active)
▪️CMF Phone1 (8+256) - 850K
▪️Phone2a (8+256) - 1.2m
▪️Phone2a Plus (12+256) - 1.35m
▪️Phone 2 (12+256) - 1.58m
▪️Phone 2 (12+512) - 1.75m
▪️Phone 3a (12+256) - 1.25M
▪️Phone 3a Pro (12+256) - 1.45M
📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
〽︎ Teknolojia
CGJ2J39UELG Imethibitishwa UMEUSTUA MOYO WANGU Tarehe 19/7/25 saa 2:18 PM. Salio langu jipya ni UPENDO WA DHATI KWAKO.
CGJ2J39UELG Imethibitishwa UMEUSTUA MOYO WANGU Tarehe 19/7/25 saa 2:18 PM. Salio langu jipya ni UPENDO WA DHATI KWAKO.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
🆕 DuckDuckGo imeweka sehemu mpya ya kuficha picha zilizotengenezwa na AI kwenye matokeo ya utafutaji. https://twitter.com/DuckDuckGo/status/1944766326381089118#m
Puma Energy Yazindua Kampeni ya “Safari ya Uhakika na Oil za Puma”:
https://telegra.ph/Puma-Energy-Yazindua-Kampeni-ya-Safari-ya-Uhakika-na-Oil-za-Puma-07-19
https://telegra.ph/Puma-Energy-Yazindua-Kampeni-ya-Safari-ya-Uhakika-na-Oil-za-Puma-07-19
Telegraph
Puma Energy Yazindua Kampeni ya “Safari ya Uhakika na Oil za Puma”
Dar es Salaam, 18 Julai 2025 Kampuni ya Puma Energy Tanzania leo imezindua rasmi kampeni kabambe ya miezi mitatu inayoitwa “Safari ya Uhakika na Oil za Puma”, ikiwa ni sehemu ya mwendelezo wa kampeni yao ya kitaifa ya “Twende Tanzania”. Kampeni hii inalenga…
〽︎ Teknolojia
💨 Dada ukikutana na kijana anatumia simu kama hii ujue;-
Ni muaminifu, hadanganyi, anapenda kusikiliza, ukimkosea hakupigi anakuelekeza kwa upole, anakufundisha mambo mapya,
Sio tajiri ila anaweza kukufanya ujihisi uko peponi.
💨 Dada ukikutana na kijana anatumia simu kama hii ujue;-
Ni muaminifu, hadanganyi, anapenda kusikiliza, ukimkosea hakupigi anakuelekeza kwa upole, anakufundisha mambo mapya,
Sio tajiri ila anaweza kukufanya ujihisi uko peponi.