Teknolojia
132 subscribers
3.8K photos
4.49K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
🔍 7. Njia ya kuangalia apps za ajabu kwa haraka:

1. Nenda Settings > Apps > All Apps

2. Angalia apps zisizo na icon au jina la ajabu

3. Angalia apps zilizo na access ya “Usage Access” au “Device Admin” – chunguza zote
⚠️ 5. Keylogger ni aina ya spyware – na ni vigumu sana kuigundua kama hujui mbinu.
– Baadhi hujiita “Accessibility Tool”

– Nyingine hujificha kwenye app ya kawaida kama calculator

– Zinabaki nyuma ya system bila kuonekana screen
🧵 1. Keylogger ni nini?
Ni programu inayorekodi kila unachokiandika kwenye simu yako kila herufi, namba, password, message, search... kila kitu.

Na mbaya zaidi: hutuma taarifa hizo kwa mtu mwingine kisiri
Usitumie Wi-Fi ya bure isiyo na ulinzi

Futa apps usizozitumia mara kwa mara
📴 8. Ukiwa na mashaka:
– Tumia Safe Mode kuangalia kama tatizo linaendelea

– Fanya Factory Reset kama ni lazima (na uhakikishe huna malware kwenye backup)

– Badili password zako zote muhimu mara moja
🛡️ 6. Jinsi ya kujikinga:
Usifungue link usiyoielewa (hata kama ni ya promosheni)

Tumia Google Play Protect au antivirus ya kuaminika

Ruhusu apps chache sana ku-access “Accessibility” kwenye settings
📥 2. Unaweza kuwekewa keylogger kwa njia hizi:
– Kufungua link ya tapeli (phishing site)
– Kudownload app ya bandia (loan app, VPN, games)
– Kupokea file kwenye WhatsApp au Telegram
– Kutumia Wi-Fi ya bila password (public Wi-Fi)
︎ Teknolojia

💨 Nothing Phone 3 Pro?
@Huduma

💨Kushoto ni Motorola Razr 60 kulia ni Samsung flip 7.
Kuna mmoja kamcopy mwenzake kwa mbali
︎ Teknolojia

💨 Samsung Z Fold 7 ni nyembamba 🔥
︎ Teknolojia

💨 USED DUBAI (Original Display)👇

▪️Pixel 7 (8+128) - 550K
▪️Pixel 7a (8+128) - 550K
▪️Pixel 8 (8+128) - 850K
▪️Pixel 8 Pro (12+128) - 1.15M

PIXEL MPYA (Non Active)💥
▪️Pixel 9a (8+128) - 1.45M
▪️Pixel 9a (8+256) - 1.7M
▪️Pixel 9 (12+128) - 1.75M
▪️Pixel 9 (12+256) - 2.1M
▪️Pixel 9 Pro (16+128) - 2.35M
▪️Pixel 9 Pro (16+256) - 2.65M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+128) - 2.4M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+256) - 2.65M

📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 JBL SPEAKER (Original💯)

▪️JBL Go 3 - 145K
▪️JBL Go 4 - 190K
▪️JBL Flip6 - 300K
▪️JBL Flip7 - 380K
▪️JBL Charger5 - 450K
▪️JBL Charger6 - 550K
▪️JBL XTRME3 - 700K
▪️JBL XTRME4 - 840K
▪️JBL Boombox X3 Wi-Fi - 1.3M

📍Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 COMING SOON COMING SOON
💥REDMI 15C💥

Kampuni ya Xiaomi wako mbioni kuzindua simu ya Redmi 15C.

Simu hii itakayokuwa na battery capacity ya 6000mAh pia itakuwa na Android 15, HyperOS 2.

Pia Storage yake ni 128GB & 256GB
RAM ikiwa 4GB
Specifications nyingine
Key Features:
▪️6.88" HD+ 120HZ IPS Display
▪️4GB/128GB RAM/Storage
▪️Android 15/HyperOS
▪️50MP Main Camera
▪️13MP Selfie Camera
▪️6000mah Battery/33W Charging
▪️Colours: Black, Blue, Gold, Green

Muonekano wake 👇
︎ Teknolojia

💨Picha imepigwa na Tecno Pova 7
︎ Teknolojia

💨 XIAOMI REDMI (Brand new) 💥

▪️Redmi A5 (3+64) - 250K
▪️Redmi A5 (4+128) - 280K
▪️Redmi 14C (4+128) - 300K
▪️Redmi 14C (8+256) - 350K
▪️Note 13 (6+128) - 450K
▪️Note 13 (8+256) - 530K
▪️Note 13 Pro 4G (8+256) - 680K
▪️Note 13 Pro+ 5G (8+256) - Tsh. 880K
▪️Note 13 Pro+ 5G (12+512) - Tsh. 1.05M
▪️Redmi Note 14 (6+128) - 480K
▪️Redmi Note 14 (8+256) - 580K
▪️Redmi Note 14 5G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 4G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 5G (8+256) - 800K
▪️Redmi Note 14 Pro+ 5G (8+256)
💨 Kwani hizi siku za karibuni ni kitu gani kimetokea dar?

Maana kila sehemu kuna foleni.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

Tecno Spark 30 Vs Tecno Spark 30 5G Vs Tecno Spark 30 Pro Full Specs Review
The video explains the full specifications and comparison between Tecno Spark 30, Tecno Spark 30 5G, Tecno Spark 30 Pro. And there price as well as which you should buy.
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

Prefix Numbers : Unajua maana ya zile namba za mwanzo kwenye simu kama +255, 0713, au 0789? 🤔 Hizi ndizo huitwa Prefix Numbers na zinaweza kukuambia mengi: Nchi ilikotoka namba Mtandao unaotumika Wakati mwingine hata eneo la usajili! Fuatilia video hii 📲 ili ujue kila kitu kuhusu prefix numbers na kwanini kila moja ina maana yake!