5: Software Updates
Fold 7 inapata miaka 7 ya updates (Android + Security).
Fold 6 inapata 4-5 years.
Kama unapanga kutumia simu muda mrefu – hii ni point kubwa ya kuzingatia.
Fold 7 inapata miaka 7 ya updates (Android + Security).
Fold 6 inapata 4-5 years.
Kama unapanga kutumia simu muda mrefu – hii ni point kubwa ya kuzingatia.
7: Bei
Z Fold 7 imezinduliwa kwa bei ileile ya Fold 6:
💰 $1,899
Tofauti iko tu kwa nchi tofauti na promotions mpya.
K
wa sasa, Fold 6 inashuka bei haraka – good deal kwa wanaotaka Fold bila kuvunja benki.
Z Fold 7 imezinduliwa kwa bei ileile ya Fold 6:
💰 $1,899
Tofauti iko tu kwa nchi tofauti na promotions mpya.
K
wa sasa, Fold 6 inashuka bei haraka – good deal kwa wanaotaka Fold bila kuvunja benki.
6: Main Camera
Hakuna mabadiliko ya maana kwenye main camera setup.
Still 200MP wide + 12MP ultra-wide + 10MP telephoto.
📸 Tofauti zipo kwenye AI enhancements tu.
Hakuna mabadiliko ya maana kwenye main camera setup.
Still 200MP wide + 12MP ultra-wide + 10MP telephoto.
📸 Tofauti zipo kwenye AI enhancements tu.
Samsung hawajafanya mapinduzi makubwa.
Wameboresha palepale – lakini wanategemea AI kuvutia watu.
Na kama AI ni muhimu kwako – Fold 7 ni hatua sahihi.
Wameboresha palepale – lakini wanategemea AI kuvutia watu.
Na kama AI ni muhimu kwako – Fold 7 ni hatua sahihi.
Kama unatumia Fold 5 au 6 – bado huna sababu ya haraka kubadilisha.
👉 Kama uko na Fold 4 au chini – Fold 7 ni kwa ajili yako
AI features, updates, na performance ni deal ya ukweli kwa power users.
👉 Kama uko na Fold 4 au chini – Fold 7 ni kwa ajili yako
AI features, updates, na performance ni deal ya ukweli kwa power users.
〽︎ Teknolojia
💨 NOTHING PHONE (Non Active)
▪️CMF Phone1 (8+256) - 850K
▪️Phone2a (8+256) - 1.1m
▪️Phone2a Plus (12+256) - 1.2m
▪️Phone 2 (12+256) - 1.58m
▪️Phone 3a (12+128) - 1.1M
▪️Phone 3a (12+256) - 1.25M
▪️Phone 3a Pro (12+256) - 1.45M
📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
💨 NOTHING PHONE (Non Active)
▪️CMF Phone1 (8+256) - 850K
▪️Phone2a (8+256) - 1.1m
▪️Phone2a Plus (12+256) - 1.2m
▪️Phone 2 (12+256) - 1.58m
▪️Phone 3a (12+128) - 1.1M
▪️Phone 3a (12+256) - 1.25M
▪️Phone 3a Pro (12+256) - 1.45M
📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
〽︎ Teknolojia
💨 JBL SPEAKER (Original💯)
▪️JBL Go 3 - 145K
▪️JBL Go 4 - 190K
▪️JBL Flip6 - 300K
▪️JBL Flip7 - 380K
▪️JBL Charger5 - 450K
▪️JBL Charger6 - 550K
▪️JBL XTRME3 - 700K
▪️JBL XTRME4 - 840K
▪️JBL Boombox X3 Wi-Fi - 1.3M
📍Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
💨 JBL SPEAKER (Original💯)
▪️JBL Go 3 - 145K
▪️JBL Go 4 - 190K
▪️JBL Flip6 - 300K
▪️JBL Flip7 - 380K
▪️JBL Charger5 - 450K
▪️JBL Charger6 - 550K
▪️JBL XTRME3 - 700K
▪️JBL XTRME4 - 840K
▪️JBL Boombox X3 Wi-Fi - 1.3M
📍Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
〽︎ Teknolojia
💨 Redmi 14C 💥
Redmi 14C Specifications
▪️ Camera: 50MP
▪️ Storage: 128GB/256GB
▪️ RAM: 4GB
▪️ Battery Capacity: 5000mAh 👇
💥 Price: (4GB + 128GB) 300,000
(8GB + 256GB) 350,000
📍 Likoma, Opposite KKKT Kariakoo
📍 Roundabout ya samaki, Mwanza
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
💨 Redmi 14C 💥
Redmi 14C Specifications
▪️ Camera: 50MP
▪️ Storage: 128GB/256GB
▪️ RAM: 4GB
▪️ Battery Capacity: 5000mAh 👇
💥 Price: (4GB + 128GB) 300,000
(8GB + 256GB) 350,000
📍 Likoma, Opposite KKKT Kariakoo
📍 Roundabout ya samaki, Mwanza
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
Namna ya kuhamisha vitu kutoka device yoyote ile ya apple kwenda devices za android na windows 🤣🤣 🇰🇪
Namna ya kuhamisha vitu kutoka device yoyote ile ya apple kwenda devices za android na windows 🤣🤣 🇰🇪
3️⃣
🔍 IMEI hupatikana wapi?
✅ Piga *# kwenye simu yoyote
✅ Au iangalie kwenye box la simu
✅ Au kwenye sehemu ya nyuma ya simu (kando ya battery – kwa baadhi)
Hifadhi namba hiyo sehemu salama!
🔍 IMEI hupatikana wapi?
✅ Piga *# kwenye simu yoyote
✅ Au iangalie kwenye box la simu
✅ Au kwenye sehemu ya nyuma ya simu (kando ya battery – kwa baadhi)
Hifadhi namba hiyo sehemu salama!
4️⃣
⚠️ Madhara ya IMEI kufutwa au kuuzwa:
Simu yako ikipotea, huwezi kuifuatilia wala kuifungia.
Simu inaweza kutumiwa kufanya uhalifu, jina lako lihusishwe.
⚠️ Madhara ya IMEI kufutwa au kuuzwa:
Simu yako ikipotea, huwezi kuifuatilia wala kuifungia.
Simu inaweza kutumiwa kufanya uhalifu, jina lako lihusishwe.
Ikitumika kwenye uhalifu, unaweza kukamatwa bila hatia.
Unaweza kuuziwa simu ya wizi (na ukafungiwa bila taarifa).
Unaweza kuuziwa simu ya wizi (na ukafungiwa bila taarifa).
5️⃣
💣 Watu wengi huuza simu lakini husahau kufuta IMEI yao kwenye database za usalama (kama za mitandao).
Hii huacha mwanya wa hatari ya wewe kubanwa kwa kosa usilolijua.
USIUZIE mtu simu bila kuhakikisha IMEI yake ni salama.
💣 Watu wengi huuza simu lakini husahau kufuta IMEI yao kwenye database za usalama (kama za mitandao).
Hii huacha mwanya wa hatari ya wewe kubanwa kwa kosa usilolijua.
USIUZIE mtu simu bila kuhakikisha IMEI yake ni salama.