Teknolojia
133 subscribers
3.82K photos
4.53K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
5. Sensor yenyewe ina tatizo la software au hardware

Kuna wakati fingerprint sensor inaweza kuwa na bug, au imeharibika.

Mara nyingi huonekana baada ya kuangusha simu au baada ya update isiyo kamili.
. Umeweka screen protector au case
inayoziba sehemu ya fingerprint

Baadhi ya screen protectors au cases zinaweza kuathiri uwezo wa sensor kufanya kazi, hasa kama sensor ipo juu ya screen (in-display sensor).
6. Simu haijafanya update muhimu
Firmware updates huja na maboresho ya fingerprint recognition.
Ukiwa na toleo la zamani, unaweza kupata matatizo haya mara kwa mara.
1. Vidole vikavu sana au vyenye mafuta

Kidole kikavu kupita kiasi (dry skin) au chenye mafuta/hali ya unyevunyevu, kinaathiri uwezo wa sensor kusoma alama.
︎ Teknolojia

💨 BRAND NEW 💥

▪️Samsung A55 5G (8+256) - 950K
▪️Samsung A56 5G (8+256) - 1.1M

📍KKKT Kariakoo
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 JBL SPEAKER (Original💯)

▪️JBL Go 3 - 145K
▪️JBL Go 4 - 190K
▪️JBL Flip6 - 300K
▪️JBL Flip7 - 380K
▪️JBL Charger5 - 450K
▪️JBL Charger6 - 550K
▪️JBL XTRME3 - 700K
▪️JBL XTRME4 - 840K
▪️JBL Boombox X3 Wi-Fi - 1.3M

📍Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 OFFER SAMSUNG A SERIES

▪️A05 (4+64) - 250K
▪️A06 (4+64) - 300K
▪️A06 (4+128) - 330K
▪️A05s (4+128) - 350K
▪️A16 (4+128) -420K
▪️A16 (6+128) - 450K
▪️A16 (8+256) - 580K
▪️A26 5G (6+128) - 680K
▪️A26 5G (8+256) - 780K
▪️A36 5G (6+128) - 900K
▪️A36 5G (8+256) - 1M
▪️A56 5G (8+128) - 1M
▪️A56 5G (8+256) - 1.15M

📍Dar: KKKT Kariakoo
📍Mwanza: Roundabout ya Samaki
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
@Huduma

💨Muonekano wa Samsung Z flip 7 na fold 7 utakavyokuwa upande wa camera
👇👇
︎ Teknolojia

💨Hapa ikiingia bongo tambo lipi utaruka nalo
Poco F7🔥
︎ Teknolojia

💨 XIAOMI REDMI (Brand new) 💥

▪️Redmi A5 (3+64) - 250K
▪️Redmi A5 (4+128) - 280K
▪️Redmi 14C (4+128) - 300K
▪️Redmi 14C (8+256) - 350K
▪️Note 13 (6+128) - 450K
▪️Note 13 (8+256) - 530K
▪️Note 13 Pro 4G (8+256) - 680K
▪️Note 13 Pro+ 5G (8+256) - Tsh. 880K
▪️Note 13 Pro+ 5G (12+512) - Tsh. 1.05M
▪️Redmi Note 14 (6+128) - 480K
▪️Redmi Note 14 (8+256) - 580K
▪️Redmi Note 14 5G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 4G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 5G (8+256) - 800K
▪️Redmi Note 14 Pro+ 5G (8+256)
@Huduma

Nothing 3(a). Vs. Nothing 3
︎ Teknolojia

💨Infinix hivi karibuni imezindua Hot 60i yenye Helio G81 Ultimate chip, na sasa imetangaza kuwa itazindua hivi karibuni Hot 60 5G+ ambayo itakuja na kipengele kipya kinachoitwa "One-Tap AI Button."

Picha iliyoshirikiwa na Infinix inaonyesha kuwa One-Tap AI Button itakuwa upande wa kulia wa Hot 60 5G+, chini ya volume rocker na power button. Infinix inasema hii ni "smart and seamless shortcut inayobadili kabisa namna mtumiaji anavyoingiliana na simu," na imesanifiwa mahsusi kwa ajili ya professi
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

💨Dakika 21💥 120W hakikisha simu yako ina support tofauti na hapo ni kilio🔥
👋 Free link
Hii ni feature ambayo inakusaidia kuweza kufanya mawasiliano kwenye eneo ambalo hakuna mtandao bila Bando utaweza kufanya mawasiliano mpaka umbali wa kilomita 2.
︎ Teknolojia

kwa kuwasiliana na uwapendao bila Bando kupitia Bluetooth utaweza kutuma ujumbe, kupokea au kupiga voice calls na kutuma sms.
︎ Teknolojia

𝗠𝗮𝗺𝗯𝗼 𝘆𝗮𝗹𝗶𝘆𝗼𝗳𝗶𝗰𝗵𝘄𝗮 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝗺𝗽𝘆𝗮 𝘆𝗮 𝗧𝗲𝗰𝗻𝗼 𝗶𝗻𝗮𝘀𝗵𝗮𝗻𝗴𝗮𝘇𝗮

Usichokijua kuhusu TECNO SPARK 40 na mambo yaliyofichwa ndani yake !!!

Kwa hii simu Tecno wametisha sana ✍️

Threads ni yako
︎ Teknolojia

😛 Water resistant
haijalishi unapiga simu kwenye Mvua unachati au kupiga picha mahali Kuna vumbi Kali, Mvua kubwa we enjoy TU hii simu haingizi maji kabisa ina IP 64 rating ambayo inakusaidia kuzuia vumbi na maji kuingia kwenye mfumo wa simu yako.

@Bongotech255
︎ Teknolojia

Kampuni ya TECNO imeachia matoleo matatu ya SPARK 40 Series;
TECNO SPARK 40
TECNO SPARK 40 PRO na
TECNO SPARK 40 PRO +

TECNO wametisha kinoma noma leo nakuletea baadhi ya feature utakutana nazo kwenye toleo jipya.

Kama ifuatavyo 👇👇