Teknolojia
133 subscribers
3.82K photos
4.56K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
Suluhisho:

Hakikisha namba ni sahihi.

Tuma tena baada ya muda au jaribu kumpigia umjulishe.

Ikiwezekana tumia app kama WhatsApp au Telegram kama njia mbadala.
4. Hupokei SMS Kabisa
Tatizo: Watu wanakutumia SMS lakini hupokei hata moja.
Sababu:

Umezuia (blocked) namba nyingi au umeweka filter fulani.

Line haijarekodiwa vizuri kwenye simu nyingine.
Sababu:

App ya messaging imepata bug au corrupted.
Suluhisho:

Update app ya Messages.

Clear cache kupitia Settings > Apps > Messages > Clear Cache.

Restart simu.
6. Ujumbe Unapotea Baada ya Kutumwa (Sent lakini haionekani kwenye outbox)
Tatizo: Unatuma SMS lakini haikai kwenye Sent/Outbox.
Suluhisho:

Jaribu ku-restart simu.

Tumia laini nyingine au jaribu kuwasiliana na huduma kwa wateja.

Clear messages zako ikiwa inbox imejaa.
ZINGATIA
Kama tatizo linaendelea licha ya suluhisho zote hizi, ni vizuri kuwasiliana na huduma kwa wateja wa mtandao wako au kujaribu kutumia laini nyingine kwenye simu yako.

Pia, unaweza kutumia apps mbadala kama WhatsApp kwa ujumbe mfupi wa haraka.
︎ Teknolojia

💨 Happy birthday to you
@Huduma

💨Ni wakati wa kuwazingatia Vivo kwa jicho la tatu
@Huduma

💨 NOTHING PHONE SERIES 🥶

▪️CMF Phone1 (8+256) - 850K
▪️Phone2a (8+256) - 1.25m
▪️Phone2a (12+256) - 1.35m
▪️Phone 2 (12+256) - 1.58m
▪️Phone 2 (12+512) - 1.75m
▪️Phone 3a (12+256) - 1.25M
▪️Phone 3a Pro (12+256) - 1.45M

📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 Cole Palmer anakuwaga na picha zake za kimiyeyusho sana 😂😂
︎ Teknolojia

💨 Umetisha sana mzigo tayari nishaupokea 🙏
︎ Teknolojia

💨 😂😂😂
💨 Toka juzi network ya voda inapotea na kurudi.

Hii ni kwangu tu?
︎ Teknolojia

💨Asante kwa kutuamini🤝

@Njiwa_Store
@NjiwaFLow

Tunakufikia popote kwa uaminifu mkubwa sana✊🏽
︎ Teknolojia

💨 Vitu kama hivi wanawake ndio mnatakiwa mtupe kama zawadi.
@Huduma

💨 Picha moja imepigwa na Vivo X200 Ultra na nyingine ni DSLR Camera.

Kwa mtu makini anaweza kuona gape kubwa lililopo kati ya Camera ya simu na Camera kama Camera.