Teknolojia
132 subscribers
3.83K photos
4.59K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
︎ Teknolojia

💡 Kuna mtu mmoja Aliweza kuibiwa simu yake baada ya masaa kadhaa ikaweza kufanyika miamala kwenye line yake bila Yeye kujua ambapo kiasi Cha zaidi ya Tsh 1,000,000/= kiliweza kuhamishwa kutoka laini A kwenda laini X.
︎ Teknolojia

💨 Muonekano wa iPhone 17 Pro Max

Bado miezi minne hii simu iingizwe sokoni.
@Huduma

💨Huku Vivo X200 Ultra huku Oppo Find X8 ultra.

Nani katisha zaidi🔥
︎ Teknolojia

Darasa kubwa 🔥🔥🔥🔥🔥
︎ Teknolojia

💨huu ndo ubaya
︎ Teknolojia

💨Hii mtacheza tu😅
👍1
︎ Teknolojia

💨Kuelekea September iPhone 17 series ya moto🔥
︎ Teknolojia

💨 Hii Geita inaonekana kuna mali sana.
︎ Teknolojia

💨Realme wanataka kunyamazisha zote.
Simu inakuja na 10000mAh kwenye suala la battery 🔥
︎ Teknolojia

💨 JBL SPEAKER (Original💯)

▪️JBL Go 3 - 145K
▪️JBL Go 4 - 190K
▪️JBL Flip6 - 300K
▪️JBL Flip7 - 420K
▪️JBL Charger5 - 450K
▪️JBL Charger6 - 550K
▪️JBL XTRME3 - 700K
▪️JBL XTRME4 - 840K

📍Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 OFFER SAMSUNG A SERIES

▪️A05 (4+64) - 250K
▪️A06 (4+64) - 300K
▪️A06 (4+128) - 330K
▪️A05s (4+128) - 350K
▪️A16 (4+128) -450K
▪️A16 (8+256) - 580K
▪️A26 5G (6+128) - 680K
▪️A26 5G (8+256) - 780K
▪️A36 5G (6+128) - 900K
▪️A36 5G (8+256) - 1M
▪️A56 5G (8+128) - 1M

📍Dar: KKKT Kariakoo
📍Mwanza: Roundabout ya Samaki
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨Simu ni nyingi sana mjini

🔥Yuva star 2🔥
︎ Teknolojia

💥REDMI 5A 💥

Redmi A5 Specifications
▪️ Camera: 32MP
▪️ Storage: 128GB, 64GB
▪️ RAM: 4GB
▪️ Battery Capacity: 5200mAh 👇

💥Budget: 250,000/ 280,000

📍 Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo
📍 Roundabout ya Samaki Mwanza
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 PIXEL MPYA 💥

▪️Pixel 9 (12+128) - 1.75M
▪️Pixel 9 (12+256) - 2.15M
▪️Pixel 9 Pro (16+128) - 2.4M
▪️Pixel 9 Pro (16+256) - 2.8M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+128) - 2.5M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+256) - 2.8M

USED DUBAI (Original Display)👇
▪️Pixel 6a (6+128) - 430K
▪️Pixel 7 (8+128) - 650K
▪️Pixel 7a (8+128) - 650K
▪️Pixel 8 (8+128) - 950K
▪️Pixel 8a (8+128) - 950K
▪️Pixel 8 Pro (12+128) - 1.1M

📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

⚠️ Kwa Tanzania sasa Watu wengi wakitumia vibaya kwa kuweza kuchukua picha za watu na kuweza kuzifanya watakavyo,

💡 asilimia kubwa ya watumiaji wa mtandao wa X wanachukua picha za watu mara wazivue nguo au kufanya wafanyavyo.
︎ Teknolojia

𝗛𝗮𝘁𝗮𝗿𝗶 𝘆𝗮 𝗔𝗸𝗶𝗹𝗶 𝗯𝗮𝗻𝗱𝗶𝗮 𝘆𝗮 𝗚𝗿𝗼𝗸 𝗻𝗰𝗵𝗶𝗻𝗶 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝘀𝗶𝗼 𝗽𝗼𝗮

AISEEE hii Grok inazidi kuleta Hatari kwa watumiaji wa Mtandao wa X sio poa 😌

Watanzania Tujihadhari sana

Threads ni Yako
︎ Teknolojia

🚀 Lakini Teknolojia hiyo ambayo inasaidia watu kufanya shughuli mbalimbali kwa kupitia chati boti ambayo unaweza kuitumia ndani ya we browser au kupitia app ya X ya Tajiri Elon musk.