Teknolojia
132 subscribers
3.83K photos
4.7K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
Simu ya Samsung Galaxy A35 imeonekana kwenye Geekbench ikiwa na chip ya Exynos 1380
🆕 Google ina mpango wa kuboresha sehemu ya Side-Panel ya Chrome
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

20 COOL TOOLS YOU SHOULD KNOW ABOUT
Mind Warehouse ►

1) Laguna PiBurn


2) Gude RFP Garden Machine



3) TUBELESS
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
🆕 YouTube imeweka njia rahisi ya kubadilisha video zako kuwa Shorts.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

How to Unlock FRP on TECNO Pop 7 Bypass Google Account Verification Remove FRP
#google #frp #googleplay #tecnopop 7
Tecn
🔥 ZTE Nubia Red Magic 6s Pro
#Chuma
🆕 Katika ripoti mpya, kampuni ya Transsion ( ambayo inazimiliki Tecno, itel, Infinix, Oraimo, Scooper, Syinix na Carlcare) imeitoa kampuni ya Vivo katika Top 5 https://twitter.com/Swahili_Tek/status/1747309574497894764#m
Apple imeshika nafasi ya kwanza ya kuwa mtengenezaji mkubwa wa simu za mkononi duniani mwaka 2023, kulingana na data ya awali kutoka kampuni ya utafiti wa masoko ya IDC.

Hii ni mara ya kwanza kwa Samsung kupoteza nafasi ya juu kwa kampuni nyingine katika miaka 13. Ripoti inaonyesha kuwa mwaka 2023 Apple ilichukua asilimia 20.1% ya soko, huku Samsung ikiwa na asilimia 19.4%.

Apple ndiyo pekee kati ya kampuni tatu za juu zenye ukuaji mzuri kwa mwaka, ikiongeza usafirishaji kutoka idadi ya simu milioni 226.3 hadi milioni 234.6. Hii inatokea licha ya changamoto za kisheria na ushindani kutoka kwa Huawei nchini China.

Kushuka kwa Samsung kunachukuliwa kama matokeo ya mauzo mazuri ya iPhone 14 na iPhone 15, pamoja na ushindani katika soko la Android kwa kurudi kwa Huawei nchini China.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Smartphone + xbox controller + smart TV = Playstation or xbox Powered by @PHONE POINT DAR
🆕 Google imepunguza mamia ya ya wafanyakazi katika team yake ya mauzo

🔘 Swala la kampuni za tek kupunguza wafanyakazi limekuwa ni ugonjwa usiotibika!

🔘 Kwa mwaka 2024 mpaka sasa, kampuni nyingi za teknolojia zimepunguza zaidi ya wafanyakazi 10,000
📰 Jarida jipya la Techlife limetoka!

Link: t.me/swtek/378