Teknolojia
140 subscribers
3.87K photos
5.56K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli πŸ‘‹
Download Telegram
Hizi Hapa Apps ambazo ni Mbadala wa Soko la Play Store

Ukweli ni kwamba kuna watu wengi sana wanaotumia simu za Android ambazo hazina uwezo wa kupakua programu kutoka soko la play store. Hii inafanya watu wengi kushindwa kupakua kwa haraka programu za muhimu au kukosa update za programu hizo kwa wakati. Kuliona hili leo nimekuletea list ya masoko ya apps ambayo yatakusaidia kupakua apps za […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/03/masoko-ya-apps/
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

MAMBO 10 USIYOYAJUA KUHUSU ROMAN ABRAMOVICH
#Abramovich #chelsea
Roman Abramovich - bilionea anayejulikana kwa kuleta mapinduzi ya soka katika karne ya 21 baada ya kununua Klabu ya Soka ya Chelsea kuna sitofahamu kede kede juu ya utajiri wake

0:00​ | Introduction
0:52​ | Historia ya Abramovich
1:36​ | Biashara yake ya kwanza ya ujasiriamali
2:20​ | Abramovich na biashara za magendo
3:13 | Roman Abramovich na wanasiasa Urusi
3:50 | Utajiri wa Abramovich
4:47 | Uhusiano wa Abramovich na raisi Putin
5:27​ | Abramovich Kununua Chelsea mwaka 2003
6:04 | Putin anahusikaje kwenye ununuzi wa Chelsea?
6:55​ | Boti na ndege ya Abramovich
7:36​ | Kwanini Abramovich awekewa Vikwazo?

Episode za Newzfid,
Script, narration and editing by Jimmy James
Jinsi ya Kuondoa Background Kwenye Picha Bila App Yoyote

Kama wewe ni mmoja wa watu ambao hutumia muda mwingi kuedit picha zako basi leo nimekuandalia maujanja rahisi sana ambayo unaweza kutumia kuweza kuondoa background kwenye picha zako bila kutumia programu yoyote. Njia hii ni rahisi sana na uhitaji kuwa na ujuzi wowote bali unacho hitaji ni kuwa na simu yako au kuwa na kompyuta. […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/03/kuondoa-background/
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

ITU has announced the list of nominated projects, some of which are from Tanzania. The public/ WSIS stakeholders are encouraged to cast their votes by 31 March 2022 to increase the chances for Tanzanian projects to win.

To Vote, click link https://www.itu.int/net4/wsis/stocktaking/Account/Login?ReturnUrl=%2Fnet4%2Fwsis%2Fstocktaking%2FPrizes%2F2022%2FVote to register into WSIS platform under WSIS PRIZEZ 2022.
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Tumia internet ya Bure kwenye simu yako 2022 bila kuwa na mb ?
Sasa unaweza kutumia internet bila kuwa na mb yoyote na kuperuzi sehemu mbalimbali Yani una haja ya kuwa na mb wewe tu na simu yako tizama sasa

Subscribe for more videos

Tuachie maoni yako umefanikiwa au lah ?

Jiunge nasi telegram πŸ”₯πŸ”‹πŸŒ

https://t.me/bongoTechs255
Umuhimu wa Kurestart Simu Yako Angalau Mara 1 kwa Wiki

Ni wazi kuwa smartphone zimekuwa sehemu ya maisha yetu ya kila siku kiasi kwamba pale simu yako inapokuwa imezima angalau kwa dakika chache unakuwa na wasiwasi wa kushindwa kufanya mambo yako ya kila siku. Lakini ni kweli kwamba β€œkila kitu huchoka” nahisi hii ni sababu ya wewe kuendelea kusoma makala hii kama unataka kujua kwanini […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/03/restart-simu/