Teknolojia
141 subscribers
3.87K photos
5.55K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli 👋
Download Telegram
Joby Aviation inashirikiana na shirika la ndege la Japan kuzindua huduma ya teksi za anga

Joby Aviation inashirikiana na shirika la ndege la Japani ANA kuleta huduma za usafiri wa anga nchini Japani. Toyota Motor Corporation itashirikiana na kampuni hizo mbili, pia, ili kutafuta njia za kuunganisha teksi za ndege na usafiri wa chini. Nia ya Joby ya kuanzisha shughuli nchini Japan imedhihirika wiki moja baada ya kampuni hiyo kutangaza...

The post Joby Aviation inashirikiana na shirika la ndege la Japan kuzindua huduma ya teksi za anga appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.

https://teknolojia.co.tz/joby-aviation-inashirikiana-na-shirika-la-ndege-la-japan-kuzindua-huduma-ya-teksi-za-anga/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=joby-aviation-inashirikiana-na-shirika-la-ndege-la-japan-kuzindua-huduma-ya-teksi-za-anga
Zuia Picha Zako Kuibiwa Kwenye Mitandao ya Kijamii

Katika ulimwengu wa sasa wa mitandao ya kijamii kama Instagram, Facebook na mitandao mingine ni wazi kuwa picha zina thamani kubwa sana, iwe wewe ni mtu binafsi, mfanyabiashara au wewe ni mwandishi wa habari ni wazi kuwa picha inaweza kukusaidia kubadilisha maisha kwa namna moja ama nyingine. Kuliona hilo hivi leo nimekuletea njia rahisi na […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/02/zuia-picha-zako-kuibiwa/
Makosa 5 Yanayofanya Battery ya Simu Yako Kuharibika

Linapokuja swala la battery ya simu yako kudumu na chaji hapa kuna mambo mengi sana yanayochangia, lakini pia kuna baadhi ya makosa ambayo tumekua tukiyafanya ambayo yanachangia sana kwa battery ya simu yako kutuwa na uwezo wa kudumu na chaji. Kupitia Tanzania Tech leo tunakuleta makala hii ambayo utaweza kujifunza makosa 5 ambayo tunayafanya ambayo […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/02/makosa-matano-yanayofanya-battery-ya-smartphone-yako-kuharibika/
Instagram sasa yaruhusu kutuma likes za Hadithi za faragha

Instagram ya Meta inatambulisha njia mpya ya watu kuingiliana na Hadithi. Kuanzia leo, unaweza kutuma like kwa faragha mtu anaposhiriki picha au video inayovutia macho yako. Hapo awali, njia pekee ya kujibu Hadithi ilikuwa kutuma mtayarishi ujumbe wa moja kwa moja au hisia ya emoji. Kwa vyovyote vile, jibu lako lingeonekana katika kisanduku pokezi cha...

The post Instagram sasa yaruhusu kutuma likes za Hadithi za faragha appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.

https://teknolojia.co.tz/instagram-sasa-yaruhusu-kutuma-likes-za-hadithi-za-faragha/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=instagram-sasa-yaruhusu-kutuma-likes-za-hadithi-za-faragha
Fahamu Biashara Bora ya Kuuza Nguo Mtandaoni

Kama wewe ni mmoja wa watu ambao bado hawaja anza biashara yoyote mtandaoni basi pengine huu ni wakati wako. Kwa siku ya leo nitaenda kuelekeza kuhusu biashara ya mtandaoni ambayo nadhani watu wengi hawafahamu lakini inaweza kukusaidia kubadilisha maisha yako. Biashara hii ni “Printing On Demand”, kupitia makala hii nitakueleza biashara hii inafanywaje ikiwa pamoja […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/02/biashara-ya-kuuza-nguo-mtandaoni/
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Tanzania Communications Regulatory Authority on Facebook Watch
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Ufafanuzi uliotolewa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) kuhusu masuala ya matumizi na udhibiti wa...
TeknoKona (Facebook)

Kuna mengi mazuri yatakuja kutoka kwa TTCL.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Tanzania Communications Regulatory Authority on Facebook Watch
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Ufafanuzi uliotolewa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) kuhusu masuala ya matumizi na udhibiti wa...
Twitter inafungua Hali yake ya Usalama ya kupinga unyanyasaji kwa zaidi ya mamilioni ya watumiaji

Twitter inapanua ufikiaji wa Hali yake ya Usalama kwa kuleta beta kwa takriban asilimia 50 ya akaunti nchini Marekani, Uingereza, Kanada, Australia, Ireland na New Zealand. Kampuni ilianza kujaribu kipengele hicho Septemba na idadi ndogo ya watu. Inapanua toleo la beta katika nchi za ziada zinazozungumza Kiingereza ili kupata maarifa zaidi na kutafuta njia za...

The post Twitter inafungua Hali yake ya Usalama ya kupinga unyanyasaji kwa zaidi ya mamilioni ya watumiaji appeared first on TeknoKona Teknolojia Tanzania.

https://teknolojia.co.tz/twitter-inafungua-hali-yake-ya-usalama-ya-kupinga-unyanyasaji-kwa-zaidi-ya-mamilioni-ya-watumiaji/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=twitter-inafungua-hali-yake-ya-usalama-ya-kupinga-unyanyasaji-kwa-zaidi-ya-mamilioni-ya-watumiaji
Jinsi ya Kufufua Spika ya Simu Yako Bila Kufungua

Ni wazi kuwa spika ni sehemu ya muhimu sana kwenye smartphone yoyote, hii ni kwa sababu sehemu hii ndio hutumika kusikiliza hivyo bila spika haiwezekani simu yako kufanya kazi anavyotakiwa. Kuliona hili leo Tanzania tech tunakuletea njia moja ambayo ni bora kuliko zote ambayo itakusaidia kufufua spika ya simu yako bila kufungua au kupeleka kwa […]

https://www.tanzaniatech.one/2022/02/spika-ya-simu/
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

fahamu Jinsi simu zinavyoweza kuingiliwa na Virusi mwaka 2022 #virusi
Hivi unajua kuwa simu pia zinaweza kuathiliwa na Virusi kupelekea kufa kabisa ?
Wengi wetu tunazani Virusi anafanya kazi kwenye kompyuta tu 😄.

Ila hapana zamani ilikua hivyo lakini maendeleo ya Teknolojia ndiyo yamesababisha waarifu wakazidi 😄 kuwa imara zaidi

tizama video sasa

DON'T FORGET TO SUBSCRIBE LIKE & COMMENT FOR MORE VIDEOS 🌏❤️

jiunge nasi Telegram 👇

https://t.me/bongoTechs255

Ebu tuambie umeshawahi kuingiliwa na Virusi kwenye simu Yako ulijuaje tuachie maoni Yako tujifunze ?