Teknolojia
132 subscribers
3.74K photos
4.4K videos
90 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Wi-Fi si Internet! Usichanganye! Wi-Fi ni njia ya kuunganisha vifaa, si huduma ya internet yenyewe. Jifunze tofauti kati ya Wi-Fi na internet hapa! πŸŒπŸ“Ά
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

Naomba neno moja kwa hawa vijana wangu kwenye Dancing!! γ‚š
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma

LINI WATANZANIA TUTAANZA KUJITOA KWA MOYO KWA TIMU YETU YA TAIFA. πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
6. Hakiki na thibitisha

β€’ Facebook au Instagram watakagua tangazo (huchukua dakika hadi masaa machache)

β€’ Likikubaliwa – litaanza kuonekana kwa watu wa miji au rika ulilolenga
3. Chagua lengo la tangazo

Facebook au Instagram itakuuliza unataka watu wafanye nini:

βœ… Kutuma ujumbe
βœ… Kutembelea tovuti
βœ… Kuongeza likes/comments
βœ… Kupiga simu

⚠️ Chagua Send Message kama unauza bidhaa unazojibu DM moja kwa moja.
5. Weka Bajeti

πŸ’° Budget ni kiasi cha pesa unataka kutumia:

β€’ Tsh 3,000 kwa siku (kawaida)
β€’ Tsh 10,000 kwa siku (kwa matokeo zaidi)

Unaweza kuboost kwa siku 3 au 5. Facebook itaonyesha makadirio ya watu watakaoona.

πŸ“Œ Hakikisha umeunganisha mpesa au kadi ya malipo
8. Baada ya Boost

βœ… Jibu DM zote haraka
βœ… Tumia β€œQuick Replies”
βœ… Tambua aina ya watu wanaouliza
βœ… Boresha tangazo linalofuata kwa kuzingatia maswali yao
4. Chagua walengwa (Audience)

Hii sehemu ni muhimu sana:

πŸ›‘ Usichague β€œAutomatic”. Tengeneza audience mpya:

πŸ“ Location: Tanzania au mji maalum
🎯 Age: 18–40 (kulingana na wateja wako)
πŸ“š Interests: Android, Fashion, iPhone, Delivery, Women Clothing, etc.
πŸ“Œ Mambo ya Kukumbuka

βœ… Usitumie picha mbaya au zenye maandishi mengi
βœ… Usipost bidhaa haramu (Facebook wata-kataa boost)
βœ… Jaribu picha tofauti – fanya A/B Testing
πŸ’‘ Mfano:
Unauza simu? Chagua watu wenye interest:
πŸ‘‰ Android phones
πŸ‘‰ Smartphones
πŸ‘‰ Jumia
πŸ‘‰ Dar es Salaam
πŸ‘‰ Tanzania
9. Bonus: Boost ya Instagram Bila Akaunti ya Biashara

πŸ‘‰ Badilisha akaunti yako kuwa Professional Account
πŸ‘‰ Fungua sehemu ya β€œInsights”
πŸ‘‰ Tumia Boost tools pale pale kwenye post zako
7. Jinsi ya Kulipia Boost kwa M-PESA

πŸ‘‰ Tumia apps kama:
β€’ Chipper Cash
β€’ Payday
β€’ Grey
β€’ Barter
β€’ Eversend

πŸ” Zote zinawezesha kupata VISA card ya kulipia Facebook Ads kwa M-PESA moja kwa moja!
πŸ“ Kama una duka au biashara ya mtandaoni – Boost ni njia rahisi ya kuwafikia maelfu ya watu bila gharama kubwa.