5️⃣ Njia ya muda mfupi (bypass)
Ikiwa uko kwenye simu na screen imezimika kabisa:
Bonyeza power button kwa sekunde 1 kurudisha screen
Tumia earphones au Bluetooth ili usiguse screen kabisa
Tumia apps kama Call Confirm kuzuia kupiga bila kuthibitisha
Ikiwa uko kwenye simu na screen imezimika kabisa:
Bonyeza power button kwa sekunde 1 kurudisha screen
Tumia earphones au Bluetooth ili usiguse screen kabisa
Tumia apps kama Call Confirm kuzuia kupiga bila kuthibitisha
4️⃣ Ufumbuzi wa haraka
🧽 Safisha eneo la juu la simu (karibu na kamera)
🧩 Ondoa tempered glass nzito au isiyo na ‘sensor hole’
⚙️ Test sensor kwa app kama Sensor Test
🔧 Ikiwa imeharibika kabisa – fundi anaweza kubadilisha proximity sensor
🧽 Safisha eneo la juu la simu (karibu na kamera)
🧩 Ondoa tempered glass nzito au isiyo na ‘sensor hole’
⚙️ Test sensor kwa app kama Sensor Test
🔧 Ikiwa imeharibika kabisa – fundi anaweza kubadilisha proximity sensor
1️⃣ Simu ina sensor ya ‘proximity’
Sensor hii ipo juu karibu na kamera ya mbele. Kazi yake ni kuzima screen pindi unapokaribia uso wako ili kuepusha kugusa screen kwa pua au mashavu bila kukusudia.
Lakini...
Sensor hii ipo juu karibu na kamera ya mbele. Kazi yake ni kuzima screen pindi unapokaribia uso wako ili kuepusha kugusa screen kwa pua au mashavu bila kukusudia.
Lakini...
2️⃣ Sensor ikiziba kabla ya muda ....
Kuna wakati simu inaweza kudhani umeweka sikioni, kumbe haujaweka. Sababu kuu ni:
Kioo kuwa na stika nzito au tempered glass mbaya
Uchafu mbele ya kamera ya mbele
Sensor yenyewe kuharibika
Kuna wakati simu inaweza kudhani umeweka sikioni, kumbe haujaweka. Sababu kuu ni:
Kioo kuwa na stika nzito au tempered glass mbaya
Uchafu mbele ya kamera ya mbele
Sensor yenyewe kuharibika
〽︎ Teknolojia
💨KWANINI SIMU YAKO INAZIMA SCREEN KABLA HUJAWEKA SIKIONI UNAPOPIGA SIMU?
Ni tatizo linalowasumbua wengi – unapopiga simu, kabla hujaweka sikioni tayari screen imezimika, huwezi hata bonyeza speaker au end call. Kwanini hili hutokea?
Fuata uzi huu hadi mwisho 👇
💨KWANINI SIMU YAKO INAZIMA SCREEN KABLA HUJAWEKA SIKIONI UNAPOPIGA SIMU?
Ni tatizo linalowasumbua wengi – unapopiga simu, kabla hujaweka sikioni tayari screen imezimika, huwezi hata bonyeza speaker au end call. Kwanini hili hutokea?
Fuata uzi huu hadi mwisho 👇
3️⃣ Dalili kuu za sensor tatizo
✅ Simu inazima screen haraka hata kabla hujaiweka sikioni
✅ Screen haijawaki hata baada ya kuiweka mbali
✅ Hautaweza kutumia speaker, keypad au hata kuhang up unless uitumie kwa earphones
✅ Simu inazima screen haraka hata kabla hujaiweka sikioni
✅ Screen haijawaki hata baada ya kuiweka mbali
✅ Hautaweza kutumia speaker, keypad au hata kuhang up unless uitumie kwa earphones
🔚 Kwa kifupi:
Sensor ya proximity ni muhimu – lakini ikileta usumbufu, tatua kwa:
✔️ Kusafisha kioo
✔️ Kuondoa screen protector nzito
✔️ Kufanya sensor test
✔️ Kumwona fundi kama njia zote zimeshindikana
Sensor ya proximity ni muhimu – lakini ikileta usumbufu, tatua kwa:
✔️ Kusafisha kioo
✔️ Kuondoa screen protector nzito
✔️ Kufanya sensor test
✔️ Kumwona fundi kama njia zote zimeshindikana
〽︎ Teknolojia
💨 Oppo Find X8 Ultra ndiyo simu yenye Camera kali kwasasa duniani
Kwa mujibu wa DXO Mark hawa ni wataalamu wa kupima ubora wa vifaa vya Electronics duniani
Vivo X200 Ultra nafasi ya pili imemkaribia Oppo zaidi. Xiaomi huu mwaka kwao umekuwa mzito kila sehemu.
💨 Oppo Find X8 Ultra ndiyo simu yenye Camera kali kwasasa duniani
Kwa mujibu wa DXO Mark hawa ni wataalamu wa kupima ubora wa vifaa vya Electronics duniani
Vivo X200 Ultra nafasi ya pili imemkaribia Oppo zaidi. Xiaomi huu mwaka kwao umekuwa mzito kila sehemu.
Huawei comes up with an unusual solution for Mate 80's cooling fan:
https://telegra.ph/Huawei-comes-up-with-an-unusual-solution-for-Mate-80s-cooling-fan-08-08
https://telegra.ph/Huawei-comes-up-with-an-unusual-solution-for-Mate-80s-cooling-fan-08-08
Telegraph
Huawei comes up with an unusual solution for Mate 80's cooling fan
We've seen a bunch of mainstream smartphones with cooling fans so far, most recently the Oppo K13 Turbo and K13 Turbo Pro, and it seems like Huawei wants to outfit the upcoming Mate 80 with such a contraption as well.
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@Huduma
Wi-Fi si Internet! Usichanganye! Wi-Fi ni njia ya kuunganisha vifaa, si huduma ya internet yenyewe. Jifunze tofauti kati ya Wi-Fi na internet hapa! 🌐📶
Wi-Fi si Internet! Usichanganye! Wi-Fi ni njia ya kuunganisha vifaa, si huduma ya internet yenyewe. Jifunze tofauti kati ya Wi-Fi na internet hapa! 🌐📶