Kumbuka:
Simu si tu kifaa — ni sehemu ya maisha yetu.
Mtu akidhibiti simu yako remotely, anaweza:
Kuiba data zako
Kufunga biashara yako
Kukusababishia stress kubwa
Simu si tu kifaa — ni sehemu ya maisha yetu.
Mtu akidhibiti simu yako remotely, anaweza:
Kuiba data zako
Kufunga biashara yako
Kukusababishia stress kubwa
Unajilindaje?
Badilisha password zako mara kwa mara
Tumia 2FA kwenye Google/Apple ID
Ondoa vifaa visivyofahamika kwenye account yako
Usilogin kwenye simu au kompyuta ya mtu mwingine
Badilisha password zako mara kwa mara
Tumia 2FA kwenye Google/Apple ID
Ondoa vifaa visivyofahamika kwenye account yako
Usilogin kwenye simu au kompyuta ya mtu mwingine
Vipi mtu anaweza kufanya hivi?
Kama aliwahi kupata access ya Google/iCloud yako
Kama ulilogin kwenye kifaa chake
Kama ulishare credentials zako bila kujua
Kama ulidanganywa na link ya phishing
Kama aliwahi kupata access ya Google/iCloud yako
Kama ulilogin kwenye kifaa chake
Kama ulishare credentials zako bila kujua
Kama ulidanganywa na link ya phishing
〽︎ Teknolojia
💨Kampuni ya Amazon kwa sasa wanamekuja na njia ya kutumia drones kufanya delivery kwa wateja wa iphone na Galaxy.
Hii gharama yake ni $4.99
Hii ni kwa taifa la Marekani pekee.
💨Kampuni ya Amazon kwa sasa wanamekuja na njia ya kutumia drones kufanya delivery kwa wateja wa iphone na Galaxy.
Hii gharama yake ni $4.99
Hii ni kwa taifa la Marekani pekee.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
💨 Chopa! hizi hesabu zinavyopigwa hapa na namna hawa jamaa wanavyoweza kucheza na muda kwenye kupangilia matukio yao ni akili kubwa inatumika hapa.
Binafsi bado naamini CDM itabaki kuwa ni imani.
💨 Chopa! hizi hesabu zinavyopigwa hapa na namna hawa jamaa wanavyoweza kucheza na muda kwenye kupangilia matukio yao ni akili kubwa inatumika hapa.
Binafsi bado naamini CDM itabaki kuwa ni imani.
〽︎ Teknolojia
💨 XIAOMI REDMI (Brand new) 💥
▪️Redmi A5 (3+64) - 250K
▪️Redmi A5 (4+128) - 280K
▪️Redmi 14C (4+128) - 300K
▪️Redmi 14C (8+256) - 350K
▪️Note 13 (6+128) - 450K
▪️Note 13 (8+256) - 530K
▪️Note 13 Pro 4G (8+256) - 650K
▪️Note 13 Pro 5G (8+256) - 780K
▪️Note 13 Pro+ 5G (8+256) - Tsh. 880K
▪️Note 13 Pro+ 5G (12+512) - Tsh. 1.05M
▪️Redmi Note 14 (6+128) - 480K
▪️Redmi Note 14 (8+256) - 580K
▪️Redmi Note 14 5G (8+256) - 750K
▪️Redmi Note 14 Pro 4G (8+256) - 800K
▪️Redmi Note 14 Pro 5G (8+256) - 900K
💨 XIAOMI REDMI (Brand new) 💥
▪️Redmi A5 (3+64) - 250K
▪️Redmi A5 (4+128) - 280K
▪️Redmi 14C (4+128) - 300K
▪️Redmi 14C (8+256) - 350K
▪️Note 13 (6+128) - 450K
▪️Note 13 (8+256) - 530K
▪️Note 13 Pro 4G (8+256) - 650K
▪️Note 13 Pro 5G (8+256) - 780K
▪️Note 13 Pro+ 5G (8+256) - Tsh. 880K
▪️Note 13 Pro+ 5G (12+512) - Tsh. 1.05M
▪️Redmi Note 14 (6+128) - 480K
▪️Redmi Note 14 (8+256) - 580K
▪️Redmi Note 14 5G (8+256) - 750K
▪️Redmi Note 14 Pro 4G (8+256) - 800K
▪️Redmi Note 14 Pro 5G (8+256) - 900K
5. Weka Email Backup Salama na Secure Password
→ Watu wengi hupoteza account kwa sababu email yao ndiyo imehackiwa.
→ Hakikisha email yako nayo ina 2FA.
→ Watu wengi hupoteza account kwa sababu email yao ndiyo imehackiwa.
→ Hakikisha email yako nayo ina 2FA.
10. Update App Mara kwa Mara
→ Updates huleta patches dhidi ya security bugs.
→ Epuka kutumia X kwa browser isiyojulikana au app ya kutiliwa shaka.
→ Updates huleta patches dhidi ya security bugs.
→ Epuka kutumia X kwa browser isiyojulikana au app ya kutiliwa shaka.
3. Usihifadhi Password Browser Bila Ku-encrypt
→ Password zako zikiwa saved kwa browser bila protection, zipo hatarini.
→ Tumia password manager salama kama Bitwarden au 1Password.
→ Password zako zikiwa saved kwa browser bila protection, zipo hatarini.
→ Tumia password manager salama kama Bitwarden au 1Password.
8. Usitoe Number au Code Yoyote Unayotumiwa kwa DM
→ Social engineering ni njia rahisi ya hackers kupata access kupitia wewe mwenyewe.
→ No one from X will DM you asking for codes.
→ Social engineering ni njia rahisi ya hackers kupata access kupitia wewe mwenyewe.
→ No one from X will DM you asking for codes.
1. Tumia Strong Password isiyodhaniwa Kirahisi
→ Acha kutumia majina, tarehe ya kuzaliwa au namba zako.
→ Tumia mix ya herufi kubwa, ndogo, namba na symbols.
Mfano mzuri: Z!mA@2024Tw#
→ Acha kutumia majina, tarehe ya kuzaliwa au namba zako.
→ Tumia mix ya herufi kubwa, ndogo, namba na symbols.
Mfano mzuri: Z!mA@2024Tw#
6. Ondoa Access za App Zisizojulikana
→ Settings > Security > Apps and sessions
→ Ondoa access za apps hujazisajili au unazotumia tena.
Zingine hutumiwa kuiba token zako kwa siri.
→ Settings > Security > Apps and sessions
→ Ondoa access za apps hujazisajili au unazotumia tena.
Zingine hutumiwa kuiba token zako kwa siri.
2. Weka 2FA (Two-Factor Authentication)
→ Ingia Settings > Security > Two-Factor Authentication
→ Chagua “Authentication App” kama Google Authenticator au Authy.
Usitumie SMS 2FA pekee – inaweza kuwa spoofed au intercepted.
→ Ingia Settings > Security > Two-Factor Authentication
→ Chagua “Authentication App” kama Google Authenticator au Authy.
Usitumie SMS 2FA pekee – inaweza kuwa spoofed au intercepted.
7. Epuka kutumia Public Wi-Fi bila VPN
→ Public Wi-Fi inaweza kuwa “trap” ya hackers kusniff credentials zako.
→ Tumia VPN kama ProtonVPN, NordVPN nk.
→ Public Wi-Fi inaweza kuwa “trap” ya hackers kusniff credentials zako.
→ Tumia VPN kama ProtonVPN, NordVPN nk.
9. Angalia Devices Zilizopo Logged In
→ Settings > Account > Sessions
→ Toa any unrecognized device.
→ Kumbuka: unaweza pia kulog out zote instantly.
→ Settings > Account > Sessions
→ Toa any unrecognized device.
→ Kumbuka: unaweza pia kulog out zote instantly.
4. Usibonye Link za Ajabu Ajabu (Phishing)
→ Links kama twltter-login.help au support-x.profiles ni mtego!
→ Wanaiba login info zako kwa ujanja – ignore au report.
4. Usibonye Link za Ajabu Ajabu (Phishing)
→ Links kama twltter-login.help au support-x.profiles ni mtego!
→ Wanaiba login info zako kwa ujanja – ignore au report.
💭 Umewaza nini kuhusu mtu kuwa na uwezo wa Kubadilisha Taka za plastiki kuwa Matofali (bricks) 🧱
Vipi hii Teknolojia ikija nchini Tanzania?? 🇹🇿🇹🇿
Usisahau kutu follow @Bongotech255 kwa Maujanja zaidi 💡
Vipi hii Teknolojia ikija nchini Tanzania?? 🇹🇿🇹🇿
Usisahau kutu follow @Bongotech255 kwa Maujanja zaidi 💡
💭 Hii sio tu inasaidia kupunguza uchafuzi wa plastiki lakini pia hutoa suluhisho endelevu na la bei nafuu kwa ujenzi.
💭 Mjasiriamali mmoja toka nchini Kenya ameanzisha Kampuni yake kubwa inayowezesha kugeuza taka taka za Plastiki kuwa matofali ya ujenzi yenye nguvu na rafiki kwa mazingira.
💭 Matofali haya yamejaribiwa na kuonekana kuwa na nguvu zaidi kuliko saruji ya kawaida.
💭 Matofali haya yamejaribiwa na kuonekana kuwa na nguvu zaidi kuliko saruji ya kawaida.