Teknolojia
133 subscribers
3.83K photos
4.68K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

Finally No #0# New Method 2024 Samsung FRP Bypass Android 14 Google Account Remove Adb Fail
Samsung Android 14 FRP Bypas
KONA YA TEKNOLOJIA | TEKNOLOJIA.CO.TZ

🌟 Teknokona! tunakutakieni waislamu wote Eid Mubarak 🌙 Baraka tele ziwe kwako leo. Twende pamoja na habari za teknolojia zenye kusisimua! 🔥 kwa kutembelea www.teknolojia.co.tz. #EidAlFitr #Teknokona
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

INGENIOUS СAR INVENTIONS
Mind Warehouse ►

1) Magna Thermal Sensing



2) CRUNK DRAWERS



3) Mastercard In-Car-
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

connector #shorts
Hello, dear friends, I am posting tutorials in this channel that I hope will be useful for everyone, it is about mobile repairs and Electronic circuit
help you to get acquainted with electronic repair tools
Also, how to change electronic parts using heat gun and soldering iron.
If you are interested in this topic, please follow us and subscribe my channel

These are our ways of
Gmail
techshow1374@gmail.com
#mobilerepairing #mobile #electronic #soldering #sircuit #samsung #poweric #qualcomm #snapdragon #cpu #brokenpads
🆕 iPhone 16 zitakuwa na rangi mpya

Tetesi mpya zinaonyesha iPhone 16 zitatoka na aina 7 za rangi zikiwemo Nyeupe na Zambarau katika simu za iPhone 16 Plus.

iPhone 16 Pro zinaweza kuwa na aina mpya ya rangi za “Space Black” na “Rose” zote zikiwa katika case ya titanium. Tetesi hizo pia zinaonyesha rangi ya “space black” itatumika badala ya “blue titanium”.
🚨📺 Maelfu ya TV za LG zipo hatarini kudukuliwa

Bitdefender wamegundua kasoro nne kwenye mfumo wa uendeshaji wa TV ya LG, WebOS, zikiaathiri vifaa takriban 91,000 duniani kote.

Madhaifu haya, yapo kwenye toleo la WebOS 4 hadi 7, yanaweza kuruhusu wahalifu kupata nafasi, kuingiza kwenye akaunti ambazo zipo logged in, na kuchukua taarifa za TV, na data binafsi za akaunti - mpaka password.

Bitdefender aliwaonya LG mwezi Novemba, na LG walitoa kifurushi cha kurekebisha tarehe 22 Machi, ambacho vifaa vingi vingeweza kupakua kiotomatiki.

Kuhakikisha kifaa chako kimeboreshwa, fuata maelekezo ya LG: Settings > Support > Software Update, ili kulinda TV yako dhidi ya udukuzi."

More infos: https://qz.com/lg-smart-tvs-devices-security-bugs-hackers-1851402127
🆕 Google imezindua mfumo wa Find my Device kwa watumiaji wa baadhi ya nchi duniani.

- Mfumo huu utapatikana kwa watumiaji wote duniani
💾 Teknolojia za zamani bado zinatumika mpaka sasa

The San Francisco Municipal Transportation Agency (SFMTA) inatumia diski za floppy kwenye treni zake tangu mwaka 1998! Lakini sasa wanataka kuziacha.

Wanasema itawachukua miaka sita na mamilioni ya pesa kuzitupa. Diski hizo hufanya kazi kwenye mfumo wa kudhibiti treni ambao ni muhimu sana. #TeknolojiaYaZamani

Chanzo: https://arstechnica.com/gadgets/2024/04/5-25-inch-floppy-disks-expected-to-help-run-san-francisco-trains-until-2030/
Teknolojia nyingine mhhh....
🖥️ Inspirations za setups
🆕 INSTAGRAM na FACEBOOK zitakuwa zinaweka alama ya kuonyesha post imetengenezwa kwa kutumia AKILI BANDIA

- Meta itaweka utaratibu mpya kuhusu aina za maudhui katika patform za Instagram, Facebook na Threads. Sheria mpya inalenga post ambazo zimetengenezwa kwa kutumia Akili Bandia, hii itakuwa katika video, picha na nyimbo.

- Mifumo ya Instagram, Facebook na Threads utakuwa na uwezo wa kutambua na kuweka alama ya kuonyesha post imetengenezwa kwa kutumia AI na sio natural (halisia).

- Post zote ambazo zimetengenezwa kwa kutumia akili bandia zitakuwa na alama ya kuonyesha kuwa zimetengenezwa kwa kutumia akili bandia. Hii itatofautisha post za ukweli na post ambazo zimebadilishwa na AI.

- Meta imesema haitakataza akaunti kuwa na posta mambazo zimetengenezwa kwa kutumia AI, kama post hizo hazijaharibu.
🛰️ Picha ya kupatwa kwa Jua iliyopigwa katika Kituo cha Anga cha Kimataifa (ISS)
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

Complete installation home solar energy storage 24V system
24v inverter 2000W test with maximum continuous discharging c
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

Samsung a225f a22 android 13 frp bypass
Samsung a225f a22 android 13 frp bypass
Hello, dear friends, I am posting tutorials in this channel that I hope will be useful for everyone, it is about mobile repairs and Electronic circuit
help you to get acquainted with electronic repair tools
Also, how to change electronic parts using heat gun and soldering iron.
If you are interested in this topic, please follow us and subscribe my channel

These are our ways of
Gmail
techshow1374@gmail.com
#frp #a22 #frpbypass #googleaccountremove #googleaccount #samsung #unlocktool #unlock #mobilerepairing #mobile #electronic #sircuit
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

INCREDIBLE INVENTIONS THAT CAN SAVE YOUR LIFE
Mind Warehouse ►

1) Cirrus





2) LUF Nano



3) Vetter E-Vehi
🗓️🧠 Mei 15: Google Photo itaweka features zake kubwa za AI kwa watumiaji wa iPhone.

Google itaweka akili bandia yake ya kurekebisha picha katika app ya Google Photo kwa watumiaji wa iPhone. Mwanzo AI features nyingi zilikuwa zinapatikana tu kwa watumiaji wa simu za Google Pixel 8.

Tools mpya ambazo zitaongezeka kwatumiaji wa iPhone ni Magic Editor ambayo ni akili bandia inayoweza kurekebisha rangi, details, filter, mwanga na settings za picha. Inaweza kujaza nafasi iliyoachwa kwenye picha, kuhamisha subjects, background na details.

Tool nyingine ni Photo Unblur ambayo inawezesha kuongeza quality ya picha na endapo kama picha ina blur sana inaweza kuifanya kuwa sharp.

Huduma hizi zitakuwa ni free lakini kwa limit mfano unaweza kutumia Magic Editor mara 10 kwa mwezi. Mabadiliko haya yataanza May 15 lakini katika iPhone ambazo zinatumia mfumo wa iOS 15 mpaka iOS 17.
TikTok imeongeza uwezo wa watumiaji wake kupakia video zenye urefu wa dakika 30.

#TikTok #Videos