Samsung Yatabiri Kifaa Cha Kwanza Cha Kujikunja Kutoka Apple Hakitakua iPhone!
InstantView from Source
InstantView from Source
Telegraph
Samsung Yatabiri Kifaa Cha Kwanza Cha Kujikunja Kutoka Apple Hakitakua iPhone!
Kwa upande wa Samsung ndio ambao wameliteka soko hili katika simu janja, makampuni mengine mengi tuu yapo ambayo yana simu za aina hiiโvipi kuhusiana na Apple?
bongotech255 - Tanzania ni Moja wapo ya nchi yenye watu...
bongotech255 - Home | Facebook
Tanzania ni Moja wapo ya nchi yenye watu wengi wenye vipato vya chini, maisha ya watu wengi ni ya kawaida sana kumekua na changamoto ya familia nyingi kutokuwa na mahitaji muhimu kama maji , chakula na mavazi.
Jambo linalopelekea wazazi wengi kushindwa hata kuwahudumia watoto wao juu ya mahitaji muhimu. Wakati Dunia inapambana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Kuna mtanzania mmoja anaitwa Innocent James akiwa na wenzake wamefanikiwa kutengeneza kiwanda cha @somabagstz chenye kubuni mabegi yenye mfumo wa umeme wa jua ili kuwasaidia Watu wa vijijini kupata mwanga. Mabegi hayo yametengenezwa kwa kutumia takataka mbalimbali kama vile virob...
View original post
bongotech255 - Home | Facebook
Tanzania ni Moja wapo ya nchi yenye watu wengi wenye vipato vya chini, maisha ya watu wengi ni ya kawaida sana kumekua na changamoto ya familia nyingi kutokuwa na mahitaji muhimu kama maji , chakula na mavazi.
Jambo linalopelekea wazazi wengi kushindwa hata kuwahudumia watoto wao juu ya mahitaji muhimu. Wakati Dunia inapambana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Kuna mtanzania mmoja anaitwa Innocent James akiwa na wenzake wamefanikiwa kutengeneza kiwanda cha @somabagstz chenye kubuni mabegi yenye mfumo wa umeme wa jua ili kuwasaidia Watu wa vijijini kupata mwanga. Mabegi hayo yametengenezwa kwa kutumia takataka mbalimbali kama vile virob...
View original post
bongotech255 - Moja kati ya kampuni inayofanya vyema...
bongotech255 - Home | Facebook
Moja kati ya kampuni inayofanya vyema Katika nchi za Kiafrika, India ni Infinix wamekua washindani wakubwa Sana kwenye soko la simu ulimwenguni.
Infinix wamekua wakitoa simu Bora | nzuri zenye muonekano Poa sana kwa bei nafuu nakufanya watu wengi wafurahie matumizi ya simu. Hivi punde Infinix ilizindua rasmi simu mpya aina ya Infinix ZERO Ultra, Infinix ZERO Ultra imejizolea sifa ya kuwa simu ya kwanza duniani kuchaji simu kwa dakika chache 12min kwa fast charger ya wat 180. Kwa Sasa ๐๐ป๐ณ๐ถ๐ป๐ถ๐ ๐ญ๐๐ฅ๐ข ๐จ๐น๐๐ฟ๐ฎ imeleta ushindani mkubwa katika soko la simu kwa makampuni ya simu makubwa duniani kama Samsung na nyenginezo. Moja na t...
View original post
bongotech255 - Home | Facebook
Moja kati ya kampuni inayofanya vyema Katika nchi za Kiafrika, India ni Infinix wamekua washindani wakubwa Sana kwenye soko la simu ulimwenguni.
Infinix wamekua wakitoa simu Bora | nzuri zenye muonekano Poa sana kwa bei nafuu nakufanya watu wengi wafurahie matumizi ya simu. Hivi punde Infinix ilizindua rasmi simu mpya aina ya Infinix ZERO Ultra, Infinix ZERO Ultra imejizolea sifa ya kuwa simu ya kwanza duniani kuchaji simu kwa dakika chache 12min kwa fast charger ya wat 180. Kwa Sasa ๐๐ป๐ณ๐ถ๐ป๐ถ๐ ๐ญ๐๐ฅ๐ข ๐จ๐น๐๐ฟ๐ฎ imeleta ushindani mkubwa katika soko la simu kwa makampuni ya simu makubwa duniani kama Samsung na nyenginezo. Moja na t...
View original post
Elon Musk na Twitter: Ni nini kitafuata katika mtandao wa kijamii maarufu kwa mazungumzo/mijadala?
InstantView from Source
InstantView from Source
Telegraph
Elon Musk na Twitter: Ni nini kitafuata katika mtandao wa kijamii maarufu kwa mazungumzo/mijadala?
Haina ubishi kuna asilimia kubwa ya wafanyakazi wa mtandao huo wa kijamii ambao si mashabiki sana wa mitazamo ya Bwana Musk, tokea aonyeshe nia ya kuununua mtandao huo tayari wafanyakazi wengi walianza kuonesha kutopendezwa na jambo hilo. Hali ilikuwa mbayaโฆ
bongotech255 - Kumekua na taarifa nyingi za watu kusema...
bongotech255 - Home | Facebook
Kumekua na taarifa nyingi za watu kusema kuhusu hackers wanavyoathili taarifa za watu kwa namna Moja au nyingine.
hackers wamegawanyika Kuna wale Ambao wanakuonyesha madhaifu ya mfumo wako kisha wanakupatia suluhisho ila Kuna wale wengine ambao ufanya mambo ya kuhalibu kabisa taarifa za watu. Ulimwenguni mpaka kufikia mwaka 2018 zaidi ya hackers 166k walikua wanajulikana duniani. Leo nakuletea list lao baadhi ๐ 1๏ธโฃ ๐๐ป๐ผ๐ป๐๐บ๐ผ๐๐ Hiki ni kikundi cha watu ambacho ufanya shughuli za uhalifu mtandaoni wakitambulika kwa jina la unknown hawajulikani. Walianza mwaka 2003 huwalenga sana watumiaji wa games , software au kampuni za Amazo...
View original post
bongotech255 - Home | Facebook
Kumekua na taarifa nyingi za watu kusema kuhusu hackers wanavyoathili taarifa za watu kwa namna Moja au nyingine.
hackers wamegawanyika Kuna wale Ambao wanakuonyesha madhaifu ya mfumo wako kisha wanakupatia suluhisho ila Kuna wale wengine ambao ufanya mambo ya kuhalibu kabisa taarifa za watu. Ulimwenguni mpaka kufikia mwaka 2018 zaidi ya hackers 166k walikua wanajulikana duniani. Leo nakuletea list lao baadhi ๐ 1๏ธโฃ ๐๐ป๐ผ๐ป๐๐บ๐ผ๐๐ Hiki ni kikundi cha watu ambacho ufanya shughuli za uhalifu mtandaoni wakitambulika kwa jina la unknown hawajulikani. Walianza mwaka 2003 huwalenga sana watumiaji wa games , software au kampuni za Amazo...
View original post